kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Kweli ni magumashi ya kulipiza kisasa baada ya kushughulika vema na ufisadi hai.
Tumeona washitakiwa wengine wenye kosa zaidi ya moja kufunguliwa kesi moja na kisha kutumikia hukumu moja kwa makosa yote. Ila kwa sabaya wanamshitaki kesi tofauti ku maximise kifungo na kumdhalilisha.
Hebu wanasheria waje huku kuhusu mtu kashafungwa halafu analetwa mahakamati kwa kesi nyingine kesi ambazo zimefunguliwa wakati mmoja.
Mabwanyenye wa kimachame mungu anawaona.
Tumeona washitakiwa wengine wenye kosa zaidi ya moja kufunguliwa kesi moja na kisha kutumikia hukumu moja kwa makosa yote. Ila kwa sabaya wanamshitaki kesi tofauti ku maximise kifungo na kumdhalilisha.
Hebu wanasheria waje huku kuhusu mtu kashafungwa halafu analetwa mahakamati kwa kesi nyingine kesi ambazo zimefunguliwa wakati mmoja.
Mabwanyenye wa kimachame mungu anawaona.