ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Mmeanza mdomo tutawapiga tenaUchawi.
Masharti ya mganga lazma yazingatiwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeanza mdomo tutawapiga tenaUchawi.
Masharti ya mganga lazma yazingatiwe.
Kama ile aliyolazimisha kupiga akiwa pembeni wakati wenzie wako kwenye box kibao, aliniudhiiiiii!Du! Rekodi ya Hat-trick ya Kibaden kumbe nayo ilikuwa ivunjwe jana!
Pacome naye angekuwa makini Rekodi ya Goli 7 ilikuwa inawekwa jana...
Pia alicheza vizuri sana jana, ni halali apate goli lake.Pacome alikuwa amekosa goli la wazi muda mfupi uliopita kwa hiyo walimpa penalti ili ajiliwaze.
Ndio maana Gamondi analalamika kuwa hakuridhishwa na matokeo. Anachoamini wachezaji wake walikosa magoli ya wazi.Pacome kakosa yeye na kipa
Zengeli naye baada ya kupata goli kapata clear chance akamlenga Manula akaicheza.
Kuna counter attack moja ilikuwa matata sana baada ya wachezaji wa Yanga kuwin mpira zikagongwa pasi chache za haraka haraka kisha mpira ukapigwa mpaka alipo Mzize, ikawa ni one against one ilikuwa Mzize atumie maarifa tu akamsalimie Manula ila akapokonywa mpira.
Pole, panauma? Jikaze kidogo.Kibaden alifunga magoli halali, sio hayo ya offside na faulo ndio maana hawataki rekodi nzuri ivunjwe.
Binafsi nilitamani sana Pacome apate goli ili MAP ikamilike maana jana huyu ndio alikuwa anawafungua wachezaji wa Simba kwa kutokukabika kwake na kutengeneza space kwa wenzake. Ile penati sijui ni yeye kataka kupiga nahisi pengine wenzie ndio waliompa apige yeye.Pia alicheza vizuri sana jana, ni halali apate goli lake.
Rekodi itavunjwa kama mfungaji atafunga goli 4. Goli tatu maana yake atakuwa ameifikia rekodi, sio kuivunja. Naona watu hawajui maana ya kuvunja rekodi.Jana kuna tukio lilitokea na kujirudia kama lilivyotokea miaka 11 iliyopita.
Miaka 11 iliyopita Simba ilimgaraza Yanga magoli 5-0. Emanuel Okwi akiwa kashatupia goli mbili, Simba wakapata penati katika hali ya kushangaza penati ile akapewa Kaseja na akafunga. Ikamnyima Okwi hat-trick.
Jana Max Nzengeli akiwa tayari kashafunga bao mbili Yanga wakapata penati na kama ilivyotokea miaka 11 iliyopita, Nzengeli akanyimwa kuandika hat trick yake katika derby ya Kariakoo na badala yake akapewa Pacome.
Je, kuna namna hawataki rekodi ya Kibadeni ivunjwe? Abdallah Kibadeni anabakia mchezaji pekee kuwahi kufunga hat trick katika derby ya Kariakoo.
KamuulizeJana kuna tukio lilitokea na kujirudia kama lilivyotokea miaka 11 iliyopita.
Miaka 11 iliyopita Simba ilimgaraza Yanga magoli 5-0. Emanuel Okwi akiwa kashatupia goli mbili, Simba wakapata penati katika hali ya kushangaza penati ile akapewa Kaseja na akafunga. Ikamnyima Okwi hat-trick.
Jana Max Nzengeli akiwa tayari kashafunga bao mbili Yanga wakapata penati na kama ilivyotokea miaka 11 iliyopita, Nzengeli akanyimwa kuandika hat trick yake katika derby ya Kariakoo na badala yake akapewa Pacome.
Je, kuna namna hawataki rekodi ya Kibadeni ivunjwe? Abdallah Kibadeni anabakia mchezaji pekee kuwahi kufunga hat trick katika derby ya Kariakoo.
kocha ndio hufanya uamuzi wa nani mpigaji penati namba moja kwenye timuJana kuna tukio lilitokea na kujirudia kama lilivyotokea miaka 11 iliyopita.
Miaka 11 iliyopita Simba ilimgaraza Yanga magoli 5-0. Emanuel Okwi akiwa kashatupia goli mbili, Simba wakapata penati katika hali ya kushangaza penati ile akapewa Kaseja na akafunga. Ikamnyima Okwi hat-trick.
Jana Max Nzengeli akiwa tayari kashafunga bao mbili Yanga wakapata penati na kama ilivyotokea miaka 11 iliyopita, Nzengeli akanyimwa kuandika hat trick yake katika derby ya Kariakoo na badala yake akapewa Pacome.
Je, kuna namna hawataki rekodi ya Kibadeni ivunjwe? Abdallah Kibadeni anabakia mchezaji pekee kuwahi kufunga hat trick katika derby ya Kariakoo.
Ulitaka apige puuu! Ninavyojua mimi penati inahitaji ufundiJana kuna tukio lilitokea na kujirudia kama lilivyotokea miaka 11 iliyopita.
Miaka 11 iliyopita Simba ilimgaraza Yanga magoli 5-0. Emanuel Okwi akiwa kashatupia goli mbili, Simba wakapata penati katika hali ya kushangaza penati ile akapewa Kaseja na akafunga. Ikamnyima Okwi hat-trick.
Jana Max Nzengeli akiwa tayari kashafunga bao mbili Yanga wakapata penati na kama ilivyotokea miaka 11 iliyopita, Nzengeli akanyimwa kuandika hat trick yake katika derby ya Kariakoo na badala yake akapewa Pacome.
Je, kuna namna hawataki rekodi ya Kibadeni ivunjwe? Abdallah Kibadeni anabakia mchezaji pekee kuwahi kufunga hat trick katika derby ya Kariakoo.
Aziz ki match ijayo anawapiga makolo 4 peke yakeRekodi itavunjwa kama mfungaji atafunga goli 4. Goli tatu maana yake atakuwa ameifikia rekodi, sio kuivunja. Naona watu hawajui maana ya kuvunja rekodi.
Ndiye man of the match jana, hakuna ubishi.Binafsi nilitamani sana Pacome apate goli ili MAP ikamilike maana jana huyu ndio alikuwa anawafungua wachezaji wa Simba kwa kutokukabika kwake na kutengeneza space kwa wenzake. Ile penati sijui ni yeye kataka kupiga nahisi pengine wenzie ndio waliompa apige yeye.
Inasemekana wachezaji wa yanga hawakuwa wanajua kama ile ilikuwa dabi, walikuwa wanaona kama vile wanacheza na KMC au JKT au AsasJana kuna tukio lilitokea na kujirudia kama lilivyotokea miaka 11 iliyopita.
Miaka 11 iliyopita Simba ilimgaraza Yanga magoli 5-0. Emanuel Okwi akiwa kashatupia goli mbili, Simba wakapata penati katika hali ya kushangaza penati ile akapewa Kaseja na akafunga. Ikamnyima Okwi hat-trick.
Jana Max Nzengeli akiwa tayari kashafunga bao mbili Yanga wakapata penati na kama ilivyotokea miaka 11 iliyopita, Nzengeli akanyimwa kuandika hat trick yake katika derby ya Kariakoo na badala yake akapewa Pacome.
Je, kuna namna hawataki rekodi ya Kibadeni ivunjwe? Abdallah Kibadeni anabakia mchezaji pekee kuwahi kufunga hat trick katika derby ya Kariakoo.
Penati haina ufundiUlitaka apige puuu! ninavyojua mimi penati inahitaji ufundi
Comments reservedPenati haina ufundi
Kaka wewe ni zuzuKibaden alifunga magoli halali, sio hayo ya offside na faulo ndio maana hawataki rekodi nzuri ivunjwe.
Kuna ofside jana?Kibaden alifunga magoli halali, sio hayo ya offside na faulo ndio maana hawataki rekodi nzuri ivunjwe.