Kwanini Pacome hakumuachia Max Nzengeli ile penati?

Kwanini Pacome hakumuachia Max Nzengeli ile penati?

Pacome kakosa yeye na kipa
Zengeli naye baada ya kupata goli kapata clear chance akamlenga Manula akaicheza.
Kuna counter attack moja ilikuwa matata sana baada ya wachezaji wa Yanga kuwin mpira zikagongwa pasi chache za haraka haraka kisha mpira ukapigwa mpaka alipo Mzize, ikawa ni one against one ilikuwa Mzize atumie maarifa tu akamsalimie Manula ila akapokonywa mpira.
Ndio maana Gamondi analalamika kuwa hakuridhishwa na matokeo. Anachoamini wachezaji wake walikosa magoli ya wazi.

Hii show paka shume alikuwa anachezea dungu 7 kama wachezaji wetu wangekuwa makini.
 
Pia alicheza vizuri sana jana, ni halali apate goli lake.
Binafsi nilitamani sana Pacome apate goli ili MAP ikamilike maana jana huyu ndio alikuwa anawafungua wachezaji wa Simba kwa kutokukabika kwake na kutengeneza space kwa wenzake. Ile penati sijui ni yeye kataka kupiga nahisi pengine wenzie ndio waliompa apige yeye.
 
Jana kuna tukio lilitokea na kujirudia kama lilivyotokea miaka 11 iliyopita.

Miaka 11 iliyopita Simba ilimgaraza Yanga magoli 5-0. Emanuel Okwi akiwa kashatupia goli mbili, Simba wakapata penati katika hali ya kushangaza penati ile akapewa Kaseja na akafunga. Ikamnyima Okwi hat-trick.

Jana Max Nzengeli akiwa tayari kashafunga bao mbili Yanga wakapata penati na kama ilivyotokea miaka 11 iliyopita, Nzengeli akanyimwa kuandika hat trick yake katika derby ya Kariakoo na badala yake akapewa Pacome.

Je, kuna namna hawataki rekodi ya Kibadeni ivunjwe? Abdallah Kibadeni anabakia mchezaji pekee kuwahi kufunga hat trick katika derby ya Kariakoo.
Rekodi itavunjwa kama mfungaji atafunga goli 4. Goli tatu maana yake atakuwa ameifikia rekodi, sio kuivunja. Naona watu hawajui maana ya kuvunja rekodi.
 
Jana kuna tukio lilitokea na kujirudia kama lilivyotokea miaka 11 iliyopita.

Miaka 11 iliyopita Simba ilimgaraza Yanga magoli 5-0. Emanuel Okwi akiwa kashatupia goli mbili, Simba wakapata penati katika hali ya kushangaza penati ile akapewa Kaseja na akafunga. Ikamnyima Okwi hat-trick.

Jana Max Nzengeli akiwa tayari kashafunga bao mbili Yanga wakapata penati na kama ilivyotokea miaka 11 iliyopita, Nzengeli akanyimwa kuandika hat trick yake katika derby ya Kariakoo na badala yake akapewa Pacome.

Je, kuna namna hawataki rekodi ya Kibadeni ivunjwe? Abdallah Kibadeni anabakia mchezaji pekee kuwahi kufunga hat trick katika derby ya Kariakoo.
Kamuulize
 
Jana kuna tukio lilitokea na kujirudia kama lilivyotokea miaka 11 iliyopita.

Miaka 11 iliyopita Simba ilimgaraza Yanga magoli 5-0. Emanuel Okwi akiwa kashatupia goli mbili, Simba wakapata penati katika hali ya kushangaza penati ile akapewa Kaseja na akafunga. Ikamnyima Okwi hat-trick.

Jana Max Nzengeli akiwa tayari kashafunga bao mbili Yanga wakapata penati na kama ilivyotokea miaka 11 iliyopita, Nzengeli akanyimwa kuandika hat trick yake katika derby ya Kariakoo na badala yake akapewa Pacome.

Je, kuna namna hawataki rekodi ya Kibadeni ivunjwe? Abdallah Kibadeni anabakia mchezaji pekee kuwahi kufunga hat trick katika derby ya Kariakoo.
kocha ndio hufanya uamuzi wa nani mpigaji penati namba moja kwenye timu
 
Jana kuna tukio lilitokea na kujirudia kama lilivyotokea miaka 11 iliyopita.

Miaka 11 iliyopita Simba ilimgaraza Yanga magoli 5-0. Emanuel Okwi akiwa kashatupia goli mbili, Simba wakapata penati katika hali ya kushangaza penati ile akapewa Kaseja na akafunga. Ikamnyima Okwi hat-trick.

Jana Max Nzengeli akiwa tayari kashafunga bao mbili Yanga wakapata penati na kama ilivyotokea miaka 11 iliyopita, Nzengeli akanyimwa kuandika hat trick yake katika derby ya Kariakoo na badala yake akapewa Pacome.

Je, kuna namna hawataki rekodi ya Kibadeni ivunjwe? Abdallah Kibadeni anabakia mchezaji pekee kuwahi kufunga hat trick katika derby ya Kariakoo.
Ulitaka apige puuu! Ninavyojua mimi penati inahitaji ufundi
 
Binafsi nilitamani sana Pacome apate goli ili MAP ikamilike maana jana huyu ndio alikuwa anawafungua wachezaji wa Simba kwa kutokukabika kwake na kutengeneza space kwa wenzake. Ile penati sijui ni yeye kataka kupiga nahisi pengine wenzie ndio waliompa apige yeye.
Ndiye man of the match jana, hakuna ubishi.
Safi ya ulinzi ya Simba haitokaa imsahau!

Kama ilivyokuwa kwa Aziz Ki kuwa sajili bora msimu uliopita, msimu huu ni Pacome.
 
Jana kuna tukio lilitokea na kujirudia kama lilivyotokea miaka 11 iliyopita.

Miaka 11 iliyopita Simba ilimgaraza Yanga magoli 5-0. Emanuel Okwi akiwa kashatupia goli mbili, Simba wakapata penati katika hali ya kushangaza penati ile akapewa Kaseja na akafunga. Ikamnyima Okwi hat-trick.

Jana Max Nzengeli akiwa tayari kashafunga bao mbili Yanga wakapata penati na kama ilivyotokea miaka 11 iliyopita, Nzengeli akanyimwa kuandika hat trick yake katika derby ya Kariakoo na badala yake akapewa Pacome.

Je, kuna namna hawataki rekodi ya Kibadeni ivunjwe? Abdallah Kibadeni anabakia mchezaji pekee kuwahi kufunga hat trick katika derby ya Kariakoo.
Inasemekana wachezaji wa yanga hawakuwa wanajua kama ile ilikuwa dabi, walikuwa wanaona kama vile wanacheza na KMC au JKT au Asas
 
Back
Top Bottom