Kwanini Pacome hakumuachia Max Nzengeli ile penati?

Najua unatafuta Kilazima Kuingiliwa Kinyume na Maumbile na ndiyo maana Kutwa unapenda Kunishobokea na Kujipendekeza Kwangu. Tafadhali Mimi GENTAMYCINE sifanyi Dhambi hiyo iliyokataliwa na Mola / Maulana kupitia Vitabu vyake Vitakatifu vya Biblia na Quran.
 
Na aliiweza kweli kweli! Kipa huko na mpira huku
 


Kama wakati wa penalty huwa kuna kikao cha majadiliano ni sawa, inaonekana unapoteza mda mwingi kusikiliza wachambuzi hewa.
 
Unakumbuka Mayele alivyokua anakosa kosa penalty? Pia nadhani kumpa penalty Max wakati ana shauku ya hat trick ingemletea wenge mwisho apige nje.
 
Naona vyura wamejaa hapa wanafanya kukufuru!
 
 
Watakaopenda Ufanikiwe zaidi yao ni wazazi wako tu mkuu. Maisha yako hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…