Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama alitangaza amempa kazi ya ushauri ofisini kwake ambayo ni muhimu kuliko huo uwaziri. Kwani hukumbuki?Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.
Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.
Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.
Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Huyu huyu kabudi wa jalalani? Au unamaanisha yule aloenda Madagascar 🇲🇬 kuleta juice akasema ni dawa ya UVICO 19?Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.
Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.
Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.
Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Sio lazima kila msomi awe waziriNimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.
Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.
Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.
Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Usaliti gani? Sasa umeona mama alivyoanza nduki kupinga mwelekeo wa kimagufuli? Kuweka wahuni kwenye nafasi nyeti ili kufanya upigaji.Kabudi ni nyoka hatari sana, huyu alikuwa miongoni mwa wapanga mikakati ili mama yetu asiwe raisi wa hii nchi. Bahati mbaya janja yao ilijulikana, hivyo hata yeye Kabuni anaelewa kwa nini yupo nje ya baraza, na labda awamu ijayo asiwepo kabisa.
Wasaliti wote wanaondolewa pole pole na kwa akili kubwa.
Ni kweli ana uwezo mkubwa....Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.
Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.
Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.
Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Exquisite [emoji2956][emoji2956]Usomi pekee hautoshi uongozi, uaminifu na usiwe mnafiki, kuwa na makundi ya kupinga chini chini uongozi wa juu, kisa jinsia.
Yap boss hawezi kuwa na subordinate mwenye kumzid akili 🙏Kama Mbwembwe. Wewe hujui kwa nini?
Mtawala huwezi kumtumia mtu anayekuzidi akili:
Lazima awe YES MAN
Hakuna Cha maana umeandika kumtetea huyo unaedai ana uwezo mkubwa sana..Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.
Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.
Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.
Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Kwani wewe huwezi ukamchagua kuwa waziri wa ukoo wenu?Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.
Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.
Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.
Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Sa100 anapangiwa tu na kikwete na pia marehem benard membe ndo walikuwa washauri wake ukiuliza sababu za kumtoa lukuvi na palamagamba ndo utashangaaNimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.
Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.
Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.
Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Chief negotiator Mr kabudi alitusaliti kwenye kile kishika uchumba!! Njaa na elimu havikai pamoja!!Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.
Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.
Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.
Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
itakuaje wanaoondoa 'wasaliti' wakiondoka wao?Kabudi ni nyoka hatari sana, huyu alikuwa miongoni mwa wapanga mikakati ili mama yetu asiwe raisi wa hii nchi. Bahati mbaya janja yao ilijulikana, hivyo hata yeye Kabuni anaelewa kwa nini yupo nje ya baraza, na labda awamu ijayo asiwepo kabisa.
Wasaliti wote wanaondolewa pole pole na kwa akili kubwa.
Huyu si ndiye aliyeokotwa jalalani na kulambishwa asali hadi akasahau alikotoka?Huyu siye Yule wakumuita mungu binaadamu mwenzake...
Afadhali kijiji ni kikubwa, tundu lisu hafai kuongoza hata nyumba 10.Kabudi hafai kuongoza hata Kijiji.
Huyo aliyetuaminisha nchi italipwa mapesa mengi na Barrick ambazo kila Mtanzania angeweza kupewa gari aina ya Noah halafu baadaye anakuja anakili mwenyewe kuwa kiasi hicho cha hela haikuwa hali halisi. Hafai.Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.
Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.
Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.
Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Shida nyie mtu akiongea vizuri, mnajua ndio kipimo cha uongozi.Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.
Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.
Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.
Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.