Kwanini Palamagamba Kabudi yupo nje ya Baraza la Mawaziri?

Kwanini Palamagamba Kabudi yupo nje ya Baraza la Mawaziri?

Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.

Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.

Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.

Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Mama alitangaza amempa kazi ya ushauri ofisini kwake ambayo ni muhimu kuliko huo uwaziri. Kwani hukumbuki?
 
Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.

Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.

Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.

Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Huyu huyu kabudi wa jalalani? Au unamaanisha yule aloenda Madagascar 🇲🇬 kuleta juice akasema ni dawa ya UVICO 19?
tafadhali mkuu
 
Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.

Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.

Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.

Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Sio lazima kila msomi awe waziri
 
Kabudi ni nyoka hatari sana, huyu alikuwa miongoni mwa wapanga mikakati ili mama yetu asiwe raisi wa hii nchi. Bahati mbaya janja yao ilijulikana, hivyo hata yeye Kabuni anaelewa kwa nini yupo nje ya baraza, na labda awamu ijayo asiwepo kabisa.

Wasaliti wote wanaondolewa pole pole na kwa akili kubwa.
Usaliti gani? Sasa umeona mama alivyoanza nduki kupinga mwelekeo wa kimagufuli? Kuweka wahuni kwenye nafasi nyeti ili kufanya upigaji.
 
Kabudi ana akili gani?. Kumwita mwanadamu Mungu au kukitukana chuo Cha UDSM kuwa jalala.
Hapo si misinformatio tu. Kupotosha tu kauli zake kwa kumuogopa msimamo wake wa kizalendo.
 
Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.

Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.

Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.

Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Ni kweli ana uwezo mkubwa....
Ni kweli ni mzalendo......

Ni kweli anazijua tunu za taifa....

Ila hataki kuzijua tunu za CCM....chama chetu kina mambo yake bora duniani.....na sote ni kutii juu ya hayo mambo.....

Lakini haitakiwi kuwa na "mipango hasi ya kisiasa dhidi ya boss.....

NEVER GIVE WISDOM TO UNWORTHY BECAUSE IT IS UNFAIR TO THE KNOWLEDGEABLE
 
Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.

Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.

Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.

Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Hakuna Cha maana umeandika kumtetea huyo unaedai ana uwezo mkubwa sana..

Pili Ili mtu aoneshe uwezo wake kwani lazima awe ndani ya Hilo Baraza? Kwa Sasa unajua kazi anayofanya?

Mwisho ni ujinga mwingine kudhani Kila mtu lazima awe Waziri au Rais ndio aisaidie Nchi..
 
Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.

Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.

Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.

Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Kwani wewe huwezi ukamchagua kuwa waziri wa ukoo wenu?
 
Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.

Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.

Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.

Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Sa100 anapangiwa tu na kikwete na pia marehem benard membe ndo walikuwa washauri wake ukiuliza sababu za kumtoa lukuvi na palamagamba ndo utashangaa
 
Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.

Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.

Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.

Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Chief negotiator Mr kabudi alitusaliti kwenye kile kishika uchumba!! Njaa na elimu havikai pamoja!!
 
Kabudi ni nyoka hatari sana, huyu alikuwa miongoni mwa wapanga mikakati ili mama yetu asiwe raisi wa hii nchi. Bahati mbaya janja yao ilijulikana, hivyo hata yeye Kabuni anaelewa kwa nini yupo nje ya baraza, na labda awamu ijayo asiwepo kabisa.

Wasaliti wote wanaondolewa pole pole na kwa akili kubwa.
itakuaje wanaoondoa 'wasaliti' wakiondoka wao?
 
Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.

Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.

Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.

Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Huyo aliyetuaminisha nchi italipwa mapesa mengi na Barrick ambazo kila Mtanzania angeweza kupewa gari aina ya Noah halafu baadaye anakuja anakili mwenyewe kuwa kiasi hicho cha hela haikuwa hali halisi. Hafai.
 
Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.

Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.

Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.

Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Shida nyie mtu akiongea vizuri, mnajua ndio kipimo cha uongozi.
 
Back
Top Bottom