MOONFISH
Senior Member
- Jul 30, 2022
- 135
- 268
Habari wakuu natumaini ni wazima wa afya kabisa.
Swali langu kubwa ni kuwa hivi kwanini pale mtu anapo fariki huwa wanatoa nguo zake zote na kuzigawa.
Mfano kama mimi kuna mzazi wangu mmoja ali tangulia ila hata kabla hawaja mzikaa wakakusanya nguo zake zote na kuzikunja na kuzipack yani mapema tu.
Ile kitu iliniumiza sana maana nikiangalia ni mtu wa karibu na ukiingia room kwake hakuna kumbukumbu hata moja yani hata kiatu ni kama room iko empty kama alikuwa haishi hapo.
Ikabidi nipate nafasi ya kusubiria nione maana ndo ilikuwa mara ya kwanza, baadae kwenye eneo la kutawanyika ndo nikaona vitu vina letwa na kugaiwa kwa ndugu mbali mbali dhaaaa aiseee ile kitu iliniuma sana.
Swali langu ni:
1: Kwanini wasiwe wanavihifadhi kwa mda flani kisha ndo wana pata nafasi ya kuwapa wale watu wa karibu au walio kuwa rafiki na marehemu.
2: Kwanini wasiwe wana acha kwa ajili ya kumbukumbu
3: Kwanini wasi chome moto tu. maana una kuta marehemu alikuwa anatupia balaa halafu nguo anaenda kuchukua mtu back.
4: Wazo lako je? Maoni yako tafadhari
Swali langu kubwa ni kuwa hivi kwanini pale mtu anapo fariki huwa wanatoa nguo zake zote na kuzigawa.
Mfano kama mimi kuna mzazi wangu mmoja ali tangulia ila hata kabla hawaja mzikaa wakakusanya nguo zake zote na kuzikunja na kuzipack yani mapema tu.
Ile kitu iliniumiza sana maana nikiangalia ni mtu wa karibu na ukiingia room kwake hakuna kumbukumbu hata moja yani hata kiatu ni kama room iko empty kama alikuwa haishi hapo.
Ikabidi nipate nafasi ya kusubiria nione maana ndo ilikuwa mara ya kwanza, baadae kwenye eneo la kutawanyika ndo nikaona vitu vina letwa na kugaiwa kwa ndugu mbali mbali dhaaaa aiseee ile kitu iliniuma sana.
Swali langu ni:
1: Kwanini wasiwe wanavihifadhi kwa mda flani kisha ndo wana pata nafasi ya kuwapa wale watu wa karibu au walio kuwa rafiki na marehemu.
2: Kwanini wasiwe wana acha kwa ajili ya kumbukumbu
3: Kwanini wasi chome moto tu. maana una kuta marehemu alikuwa anatupia balaa halafu nguo anaenda kuchukua mtu back.
4: Wazo lako je? Maoni yako tafadhari