Kwanini pale mtu anapofariki huwa wanatoa nguo zake zote na kuzigawa?

Kwanini pale mtu anapofariki huwa wanatoa nguo zake zote na kuzigawa?

Kwa namna fulani hivi unaonekana una hoja ila umejaa roho mbaya,ubinfsi na uchoyo. Yaani unaumia kabisa tu kupewa nguo za Marehemu eti kwa sababu alikuwa anatupia sana viwalo. Ukifa umekufa walio hai ndio wanaamua cha kufanya hasa ukizingatia mila, tamaduni na desturi za ukoo, familia ama jamii husika
 
Aisee hivi umefikiria vizuri? Kama umezaliwa peke yako katika familia unadhani ni wote? Mgao hufanyika kwa makubaliano ya watoto wa marehemu wenye haki ya kwanza ya kurithi. Kama umezaliwa peke yako waweza kufanya unavyopenda.
acha kabisa mkuu yani wanatokea watu ambao hata hujawahi kuwaona wanagawiwa tu bila hata kutia neno. nikikukumba yale ma wax ma viatu na mapochiii si ange kuja kuchukua mke wangu akashone au ndugu ambao niko nao kila siku si wange vaa.
 
Mbona vya baba yangu wanavaa kaka zangu na had leo nguo zingine ziko kabatini tena mpaka viatu na mtu amefariki anatimiza miaka 14 sasa.
Hata za baba yetu zipo hadi Leo...tukienda nyumbani tunajichagulia tshirts. Za kuwagaia watu zilipelekwa zile zilizochakaa. Wale wachaga lazima walinuna.
 
Hata za baba yetu zipo hadi Leo...tukienda nyumbani tunajichagulia tshirts. Za kuwagaia watu zilipelekwa zile zilizochakaa. Wale wachaga lazima walinuna.
sijui kama walizigawa mana nachokumbuka mie ilibidi nije kwenye 40 ya mzee skuwahi mazishi kabisa hivosjui kama ziligaiwa lakini kaka zangu zipo nguo wakizivaa najua kabisa hizi za baba
 
sijui kama walizigawa mana nachokumbuka mie ilibidi nije kwenye 40 ya mzee skuwahi mazishi kabisa hivosjui kama ziligaiwa lakini kaka zangu zipo nguo wakizivaa najua kabisa hizi za baba
Sisi ndugu zake walizidai...so mama akachagua maronya ronya akawapelekea wapambane nazo.
Kaka yetu bado anazivaa, Sie wakike tunafaidi t-shirts. Wajukuu nao wanapata bado...tukiendaga nyumbani tunajichagulia.
 
We fanya unachotaka hamna anaekununulia ugali.
 
Habari wakuu natumaini ni wazima wa afya kabisa.

Swali langu kubwa ni kuwa hivi kwanini pale mtu anapo fariki huwa wanatoa nguo zake zote na kuzigawa.

Mfano kama mimi kuna mzazi wangu mmoja ali tangulia ila hata kabla hawaja mzikaa wakakusanya nguo zake zote na kuzikunja na kuzipack yani mapema tu.

Ile kitu iliniumiza sana maana nikiangalia ni mtu wa karibu na ukiingia room kwake hakuna kumbukumbu hata moja yani hata kiatu ni kama room iko empty kama alikuwa haishi hapo.

Ikabidi nipate nafasi ya kusubiria nione maana ndo ilikuwa mara ya kwanza, baadae kwenye eneo la kutawanyika ndo nikaona vitu vina letwa na kugaiwa kwa ndugu mbali mbali dhaaaa aiseee ile kitu iliniuma sana.

Swali langu ni:

1: Kwanini wasiwe wanavihifadhi kwa mda flani kisha ndo wana pata nafasi ya kuwapa wale watu wa karibu au walio kuwa rafiki na marehemu.

2: Kwanini wasiwe wana acha kwa ajili ya kumbukumbu

3: Kwanini wasi chome moto tu. maana una kuta marehemu alikuwa anatupia balaa halafu nguo anaenda kuchukua mtu back.

4: Wazo lako je? Maoni yako tafadhari
Huwa ni kawaida kugawa kwa watoto,wajomba,mashangazi na hata wajukuu wa marehemu ili wabaki na kumbukumbu na kupokea kwako nguo za marehemu inaonesha kweli ulikuwa unampenda.
 
acha kabisa mkuu yani wanatokea watu ambao hata hujawahi kuwaona wanagawiwa tu bila hata kutia neno. nikikukumba yale ma wax ma viatu na mapochiii si ange kuja kuchukua mke wangu akashone au ndugu ambao niko nao kila siku si wange vaa.
Mkeo hapana. Mara zote ni ndugu wa ukoo basi.
 
Sisi ndugu zake walizidai...so mama akachagua marina ronya akawapelekea wapambane nazo.
Kaka yetu bado anazivaa, Sie wakike tunafaidi t-shirts. Wajukuu nao wanapata bado...tukiendaga nyumbani tunajichagulia.
duh watu bwana mlilie nguo za marehmu kwani hawanunui?? mama aliwakomesha
 
Back
Top Bottom