Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Huu ni uzi wa maelezo ya kijana SATIVA (katika mtandao wa X) namna alivyomtambua Mafwele kwenye sakata lake la jaribio la kuuawa lililoshindikana - Boniface Jacob: Sativa amemtambua ACP Faustine Mafwele miongoni mwa askari waliomhoji Oysterbay alipotekwa
TAFAKURI:
Kwa nini Jeshi la Polisi hawajawahi kukanusha taarifa hii ya uhusika wa Mafwele na maafande wengine kwenye sakata la utekaji nyara na hata kuua raia hovyo?
SAMIA MUST GO
TAFAKURI:
Kwa nini Jeshi la Polisi hawajawahi kukanusha taarifa hii ya uhusika wa Mafwele na maafande wengine kwenye sakata la utekaji nyara na hata kuua raia hovyo?
SAMIA MUST GO