Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Huyu Sativa bila kumung'unya maneno ametamka wazi kuwa mhusika wa yeye kutekwa ni Mafwele. Nadhani Mafwele hajapewa hizi Taarifa kuwa kuna mtu anamchafua.
Aambiwe ili huyu dogo akamatwe apelekwe Mahakamani kumsafisha Mafwele.
Aambiwe ili huyu dogo akamatwe apelekwe Mahakamani kumsafisha Mafwele.