KaananiNchi ya ahadi.
Naskia roboti anasoma twisheni ya kiswahili sasa hiviHii sura hata mi Roboti wa Nape nimeshawahi iona sehemu. Ngoja nikumbuke.
Ndugu zangu wagogo lishe duni hiyo sura wataitolea wapi ππmbona kama MGOGOHALISI kabisa kutoka UDOM?π
Kwa akili ya chura,utashangaa huyo ibilisi akapandishwa cheoKamanda Ataandamwa Waananchi Wanangoja Apandishwe Cheo Sasa
Kwani mimi ndio nimeleta suala la roboti? Kha!!!Usiharibu thread kwa kushift hoja
sura ile ile kama ya ex sipika Kazi Ndugu wiiππNdugu zangu wagogo lishe duni hiyo sura wataitolea wapi ππ
Ulisikia wapi fisi aliye sadikika kukamata mwana mbuzi huyo hyo fisi apewe jukumu la kumtafta huyo mwana mbuzi β¦β¦.. unacho jaribu kisema ni kwamba mimi nikupige wew alafu mimi ndo nichunguze sababu za mmi kukupiga β¦. Uliona wapiHuu ni uzi wa maelezo ya kijana SATIVA (katika mtandao wa X) namna alivyomtambua Mafwele kwenye sakata lake la jaribio la kuuawa lililoshindikana - Boniface Jacob: Sativa amemtambua ACP Faustine Mafwele miongoni mwa askari waliomhoji Oysterbay alipotekwa
TAFAKURI:
Kwa nini Jeshi la Polisi hawajawahi kukanusha taarifa hii ya uhusika wa Mafwele na maafande wengine kwenye sakata la utekaji nyara na hata kuua raia hovyo?
SAMIA MUST GO
Cheo alichonacho ni kikubwa ni vyeo viwili tu kutoka IGPKamanda Ataandamwa Waananchi Wanangoja Apandishwe Cheo Sasa