Pre GE2025 Kwanini Polisi haijibu tuhuma alizotoa Sativa juu ya Faustine Mafwele kuhusika kwenye utekaji wake?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Ulisikia wapi fisi aliye sadikika kukamata mwana mbuzi huyo hyo fisi apewe jukumu la kumtafta huyo mwana mbuzi …….. unacho jaribu kisema ni kwamba mimi nikupige wew alafu mimi ndo nichunguze sababu za mmi kukupiga …. Uliona wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…