Pre GE2025 Kwanini Polisi haijibu tuhuma alizotoa Sativa juu ya Faustine Mafwele kuhusika kwenye utekaji wake?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Halafu ana jitokeza mtu mmoja mwenye tamaa ya uwaziri badala ya kudeal na taarifa zilizo tayari ati ana sema mwenye taarifa apeleke ili zifanyiwe kazi.
Masauni must goo
 
Hata huyu hawakum hukulia hatua
 
Polisi waseme nini wakati Mafwele anaripoti moja kwa moja Ikulu?

Mafwele aliwaua watu wengi kule kibiti. Mashekhe na wale walioonekana wamecaa kanzu, hawakuhojiwa, bali ni risasi. Zito alilalamika sana lakini Serikali ilikaa kimya. Azory aliyeenda kufanya uchunguzi ili kujua watu walipuawa bila hatia, naye alitekwa na kuuawa. Nchi hii mauaji yameanza kitambo na sasa yanaota mizizi.
 
Boniface anasema hujiita mwenyekiti wa ma RCO nchi nzima na hata alipokuwa RCO Arusha RPC alikuwa ana mgwaya .
Pia huko X imeandikwa pia Mwanza ana "kikosi kazi" chake cha kuwapelekea mamba alio wakamata.
 
Wanatoa tuhuma wakiitwa njooni mudhibitishe wanaruka hawataki kutoa ushirikiano oooh sisi tutaoa ushahidi tu kama sijui Scotland Yard wakija nk wana utoto mwingi sana ndio maana jeshi la polidi lina wa ignore

Unatoa tuhuma ukiambiwa njoo basi toa ushirikiano tunataka hiki hutaki

Ujinga mtupu .
 
Bado hamjasema.
 
Jamaa ana hisi hisi tu sidhani kama ana uhakika.
 
Ukitumia nyundo 🔨 usipo gonga kwenye msumari utajigonga kwenye vidole
 
Mwanae ana scholarship ya mkuu
 

Attachments

  • 20240913_221629.jpg
    253.8 KB · Views: 8
Jamani polisi wamejibu kuwa acheni kufanya maandamano au hamjasikia? Asiyesikia na mkuu huvinjika guu shauri yenu.
 
Sometimes silence means admission of guilt.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…