Huyu Sativa bila kumung'unya maneno ametamka wazi kuwa mhusika wa yeye kutekwa ni Mafwele. Nadhani Mafwele hajapewa hizi Taarifa kuwa kuna mtu anamchafua.
Aambiwe ili huyu dogo akamatwe apelekwe Mahakamani kumsafisha Mafwele.
Huyu Sativa bila kumung'unya maneno ametamka wazi kuwa mhusika wa yeye kutekwa ni Mafwele. Nadhani Mafwele hajapewa hizi Taarifa kuwa kuna mtu anamchafua.
Aambiwe ili huyu dogo akamatwe apelekwe Mahakamani kumsafisha Mafwele.
Hiyo kesi ya bonny kuna mahala ikifika lazima huyo mafwele afike mahakani ndio hapo na sativa ataenda kumthibitisha na hapo ndio kila mmoja ataondoka na haki yake hiyo subiri uive bw mdogo
Hiyo kesi ya bonny kuna mahala ikifika lazima huyo mafwele afike mahakani ndio hapo na sativa ataenda kumthibitisha na hapo ndio kila mmoja ataondoka na haki yake hiyo subiri uive bw mdogo
Yule ndugu akiambiwa athibitishe kama aliyo yachapisha kwenye kurasa zake za mtandao kua ni kweli, unadhani nini kinatokea kama sio huyo mafwele kuitwa mahakamani, na shahidi namba moja wa kumtambua mafwele ni sativa ambae alimuona na anauhakika nae maana yeye ni muhanga wa huyo mafwele
Hiyo kesi ya bonny kuna mahala ikifika lazima huyo mafwele afike mahakani ndio hapo na sativa ataenda kumthibitisha na hapo ndio kila mmoja ataondoka na haki yake hiyo subiri uive bw mdogo