ThisisDenis
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 162
- 139
Hii inatia hasira kwa wananchi japo wananchi wanaonekana kucheka nao na kula nao ila wakati huwa ni mgumu sana kwa Polisi wote haijalishi ana cheo gani anapo staff. Ubadhilifu na kutokuwa waaminifu katika mazingira ya kazi ni nani hasa anawakingia kifua??
Course zao ni mbovu au mfumo wao. Mimi kwa ujumla siwaelewi hawa watu kwa ngazi yoyote ile.
Course zao ni mbovu au mfumo wao. Mimi kwa ujumla siwaelewi hawa watu kwa ngazi yoyote ile.