NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Haswaa.Buster ktk age kama ya huyo , pressure ni kama kumsukuma mlevi.
Nashauri wazee wenzangu kuridhika na zawadi aliotupa Mungu (uzee)
Odhis *
Uzee huambatana na magonjwa mengi sanaHaswaa.
Kwenye kupiga pumbu mapigo ya moyo uwa yanabadilika na ukizingatia binti damu bado inachemka,lakini pia umri wa uyu babu kama ulivyosema maradhi ya sugar,pressure n,k ni yakufikia tu.
Dhambi na kila mtu anatendaWeledi tu ni tatizo.
Kuhusu kuwa wengine wataacha baada ya kuona hilo, hilo haliwezekani, dhambi zipo toka dunia imeumbwa.
Huwezi kuzisikia mkuu Kwa sababu inaitwa ni Siri ya ndani, ukitoka nje si Siri tenaTaarifa za suala kama hili za kutokea majumbani sijawahi kuzisikia
Kusoma hujui? Aliyekuwa na humo ndani kasema alikuwa mpenzi wake. Wewe unaleta stori za sijui business partner.
Mbona majambazi wakiuwawa hawatajwi majina?...Sasa ulitaka polisi wadanganye kwamba alifia hospital? Je na yule mwanammke aliyekuwa naye watamshikilia kwa kigezo kipi kama wakisema alifia hospital? Unajua issue za kimahakama?
Mbona watoa rushwa wanatangazwa na TAKUKURU lakini bado hizo rushwa zinaendelea? Kwanini wasingesema tu mzee wa miaka 80 amekufa hotelini.............pasipo kutaja majina yao?...Wakificha wazee wengi watakata moto guest house bora walivyoweka wazi ili wazee wastuke kwamba booster,viagra,mkongo ni hatari.
Kwanini wataje majina hadharani? Mbona majambazi huwa hawatajwi?Polisi wangetamka kama Dr Davis alifia hospital basi Binti asingewekwa hatiani(ndani) ingebidi aachiwe,sasa hapo hauoni kama familia ya Dr Davis ingekosa haki yao ya kujua kilichomuua baba/babu/mjomba wao?
Mbona watoa rushwa wanatangazwa na TAKUKURU lakini bado hizo rushwa zinaendelea? Kwanini wasingesema tu mzee wa miaka 80 amekufa hotelini.............pasipo kutaja majina yao?...
Kwanini wataje majina hadharani? Mbona majambazi huwa hawatajwi majina kwenye media baada ya kufa?Wanaokufa hotelini 99% wanakuwa na MILUPO huku wakitumia viagra,booster,mkongo!! Mbona sijawahi kusikia mwanamke akifia Guest?
Kwanini wataje majina hadharani? Mbona majambazi huwa hawatajwi?
Ndugu wa marehemu ndio wanaopaswa kuitwa kituoni na kupewa taarifa. Sisi wengine inatusaidia nini tukijua?...Polisi wasingetangaza, ndg wa marehemu wangejuaje kama ndg yao amefariki dunia?
Kuna haja gani ya kuwataja majina wahusika ambao ni mtu na mpenzi wake?Polisi wasingekuwa wawazi katika mkasa huu, huoni kama wangekuja kugeuziwa 'kibao' kwamba wanahusika kwenye kifo hicho, ama wanamlinda muuaji?
Hilo la pesa ni suala lako binafsi ila mimi ninazungumzia kwanini wamemdhalilisha mstaafu huyu wa miaka 80?Hiyo pesa tu tsh 37,000/= aliyokutwa nayo marehemu, tayari baadhi ya watu wanahisi ilikuwa ni zaidi ya hiyo, ila polisi wameipunguza.
Jamaa unakazana kutetea upuuzi, kama unaona polisi wekosea nenda mahakamani ukawashitaki.Hilo la pesa ni suala lako binafsi ila mimi ninazungumzia kwanini wamemdhalilisha mstaafu huyu wa miaka 80?
Angekuwa baba yako huyu mzee sidhani kama ungesema kuwa ule ni upuuziJamaa unakazana kutetea upuuzi, kama unaona polisi wekosea nenda mahakamani ukawashitaki.
Mkikosea ni lazima tuwaambie ukweliJamaa unakazana kutetea upuuzi, kama unaona polisi wekosea nenda mahakamani ukawashitaki.