Kwanini Polisi walishindwa kuifichia aibu familia ya Mzee David Makerege? Yesu aliwaambia "asiye na dhambi miongoni mwenu awe wa kwanza kumtupia jiwe"

Una uhakika kuwa Kuna viongozi wakubwa wana shutuma Kama hizi na hawakusemwa?
 
Mfano mmoja tu, ni Ile shutuma ya Waziri mstaafu Kapuya.
 
Hujui lolote kaa kimya! Huoni kuwa Ni tukio lilifanyika nje ya familia yake? Na linahitaji uchunguzi wa kisheria?

Angefia kwake hapo polisi wasingehangaika, ila kafia guest house unataka polisi wasifuatilie?
Mbona mwaka jana mtoto wa ndugu yangu alikufa hostel ya chuo lakini Polisi hawakutangaza katika media?
 
Sioni kosa la polisi hadi sasa, labda uwezo wangu wa kutafakali bado upo chini. Taarifa ya mzee huyo imetrend kwa sababu zifuatazo
1. Umri wa mzee na binti bado ni chanzo cha taarifa kuonekana ni taarifa ya wiki kwa umaarufu.
2. Mazingira ya kifo chake ni chanzo cha taarifa kuonekana ni bora na inashawishi kila mmoja kuijua na kusema chochote.
3. Kwa wanaojua familia yake na kilichotokea bado hawaamini ila mazingira yameaminisha.
4. Aina ya mrembo ambae babu alikuwa anatafuna ikiwa kama mjukuu kama sio kitukuu.

Mwisho kifo cha kutatanisha polisi hutoa taarifa ya chanzo cha tukio na mazingira ya tukio na ndivyo polisi walichofanya shida ni hii hapa
80-33=?????

Mwisho kabisa VIJANA TUTAFUTE PESA
 
Mwisho kifo cha kutatanisha polisi hutoa taarifa ya chanzo cha tukio na mazingira ya tukio na ndivyo polisi walichofanya
Mbona mwaka jana 2020 January mtoto wa ndugu yangu alikufa hostel ya chuo lakini Polisi hawakutangaza katika media?
 
Mkuu mzee alishindwa kijistiri na kujiheshimu katika jamii yake,amefanya Mambo ya hovyo sana na kuizalilisha familia yake yeye mwenyewe kutokana na kuendekeza anasaa pasipo kujua jamii Ina mchukuli aje!Yule binti Ni Kama mwanae au mjukuu wake na alidiriki kwenda nae gesti Ni aibu.tusipende kufichaa uovu kwa Nia ya kumuonea mtu haya,nitabia chafuuu na inapaswa kukemewa.maana mzee alipo amua kuwa na huyo binti mwenye umri wa mjukuu au mwanae bila shakaa alisha dhalilisha familia
 
Assessment yako ni nzuri
 
Unajua tatizo kubwa la Wazee wa aina hii ni ile dhana potofu kwamba kufurahia sex ni lazima amtie demu bao moja au mbili, jambo ambalo linawapelekea kutafuta buster. Ukushavuka 70 yrs lazima ubadili sex techniques... Kama una uwezo wa kumpata mtoto mbichii, chuchu saa 6 tumia muda mwingi kwa foreplay/romance, tena kabinti ndiyo kawe kanakuchezea /chezea mashine /kula koni etc huku mzee akikapiga finger kwa clitoris, nipples kiasi kwamba binti atafika kileleni hata bila penetration na Mzee mashine ikichezewa vizuri ata ejaculated fresh kabisa na ku enjoy bila ya madhara yoyote. Sex is very broad, kuwa chumbani na ka demu kakaliii kakiwa naked na kukachezea mpaka kakakojoa mara 2 au 3 is so exciting and pleasurable....
 
Mimi nafikiri ingekua mwanaune miaka 40 mwanamke miaka 33 wala isingekua habari kubwa yangeisha siku hyo hyo...

Hapa shida miaka 80 upo gesti na vibinti so mzee ndio alaumiwe sio polisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…