sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Wana umuhimu Mkubwa hivyo kujazana barabarani au pia wanatakiwa kuwathibiti panya road!?Kama uko makini Tanzania hatuna jeshi la usalama barabarani, ila tuna jeshi la polisi ambamo ndani yake kuna kitengo ama vikosi vya usalama barabarani (traffic police), kwa misingi hiyo hakuna lililo haribika ni vitengo tu vya ofisi yao ila wote ni polisi
Tofauti na tulivyozoea polisi kitengo cha matrafki wenye uniform nyeupe ndio wawe wanashugulika na mambo ya magari, kwa sasa nao polisi wa vitengo vingine wanaingia barabarani kufanya kazi za matrafki, mbaya zaidi inaonekana wazi lengo ni kucheza mchezo ule ule wa matrafki
IGP mpya suruali zimempwayaTofauti na tulivyozoea, polisi kitengo cha trafiki wenye uniform nyeupe ndio wawe wanashugulika na mambo ya magari, kwa sasa polisi wa vitengo vingine wanaingia barabarani kufanya kazi za matrafki.
Mbaya zaidi inaonekana wazi lengo ni kucheza mchezo ule ule wa matrafki!
Tofauti na tulivyozoea, polisi kitengo cha trafiki wenye uniform nyeupe ndio wawe wanashugulika na mambo ya magari, kwa sasa polisi wa vitengo vingine wanaingia barabarani kufanya kazi za matrafiki.
Mbaya zaidi inaonekana wazi lengo ni kucheza mchezo uleule wa matrafiki!