Kwanini polisi wanapenda sana kujipost mitandaoni?

Military combat ni prestigious garment for hardened few humans. Picha zake mtu hawezi piga kujivunia bega hilo. Sana sana matukio maalumu kama kuapishwa kwa kupanda cheo kwa staff officers au kustaafu na ishu zingine za kitaifa.
 
Military combat ni prestigious garment for hardened few humans. Picha zake mtu hawezi piga kujivunia bega hilo. Sana sana matukio maalumu kama kuapishwa kwa kupanda cheo kwa staff officers au kustaafu na ishu zingine za kitaifa.
Umeona sasa hawa si mkubwa si mdogo anapost
 
Huyo ni mkubwa kapiga kapost mitandaoni kujisifia cheo alichopanda na mapozi juu
Wadogo watafanya nn kama sio kujaza picha zao na video TikTok
Inatafakarisha sana
 
Amezoea kutangaza injili kupitia uimbaji, naona hata hapo Kinehe hajionei shida yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…