Miwatamu
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 1,450
- 489
Leo asubuhi karibia vyombo vyote vya habari vimeandika juu ya ujio wa wachunguzi wa mambo ya milipuko na mabomu huko Arusha, wakitokea China. Kwangu binafsi nililipokea kwa furaha, lakini furaha yangu ilianza kuingiwa kiwewe pale Jeshi letu lilipoonesha kuwa tayari wanajua nini matokeo yatakayotolewa na makomandoo hao.
Je, tutaaminije taarifa zao kama hazitakuwa zimetengenezwa na serikali na wao wakaletwa kama mawakala wao na vipaza sauti tu wa kutoa taarifa iliyoandaliwa?
TAFAKARI
Je, tutaaminije taarifa zao kama hazitakuwa zimetengenezwa na serikali na wao wakaletwa kama mawakala wao na vipaza sauti tu wa kutoa taarifa iliyoandaliwa?
TAFAKARI