Kwanini Polisi wetu washangilie ujio wa wachunguzi wa Kichina hata kabla ya matokeo?

Kwanini Polisi wetu washangilie ujio wa wachunguzi wa Kichina hata kabla ya matokeo?

this is the high time mbowe atoe hiyo video yake , iam a pro chadema lakini hii ishu ya kukalia ushahidi inanikera
 
njia panda; Sijui kama unaelewe chochote kuhusu neno "dola", siku hizi dola ya Tanzania ni Wachina na FBI?
 
Last edited by a moderator:
Polisi lazima washangilie, wao pia wanajua nani anahusika na ishu hii, wanaona ugumu kumtaja na huku bado lawama inawaangukia wao. wanajua kuwa sasa mchawi atajulikana na lawama itaondolewa kwao.
 
Polisi wa Tanzania njaa goigoi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.Kulitokea mlipuko wa bomu BOSTON USA.Baada ya bomu tu kulipuka polisi walichkifanya ni kusaidia watu walioumia haraka haraka.TOFAUTI NA POLISI WAJA WAZITO WETU WAO WALITUPA MABOMU YA MACHOZI NA KUPIGA RISASI.HIYO INA MAANISHA NINI?.SHAME ON YOU SERIKALI YA KIKWETE
 
Hii nchi imelaaniwa

Tuachane na haya mambo ya Arusha tujenge "utaifa wetu".Obama asijekusikia bado bifu linaendelea wakati kulishafanya dhifa ya kitaifa pamoja.
 
mnashituka nini? wakati wametumiwa kwa mauaji, wanajua ujio wa wa china ukweli utajulikana
 
Halafu magazeti yetu bila research ya kutosha wanasema ni FBI ndo wamekuja hiyo yote ni kutengeneza ushahidi

Kwani FBI waliishia wapi au walishindwa? Ingawa sikulisoma lakini nimeona headline ya gazeti la Mtanzania likizingumzia walichokiona FBI kwenye mlipuko wa Arusha. Ina maana waliwachanganya na Wachina?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
serikali ya china ikukubali kutumika na serikali ya CCM wajue wanajipotezea, CCM yaweza kupita lakini TZ itabaki milele.
 
Nani amewaita Hao Wa China?????????????????????????????????
 
Hawa polisi ndo maana ofisi zao zilipekuliwa na mbwa hawaaminiki hata kidogo
 
Hilo linaweza maana wanajuana na police kuliko maeleza,kila siku police kwenye magereji kukamata wachina wasiokuwa na vibali vya kuishi nchini wakipewa kidogo wanawaachia kwa hyo kupata wachina wa kutengeneza inawezekana na wapo wengi na baadhi wanaongea kiswahili utazani wamezaliwa msata au kwa bi nyau naukiwa set mbona wafanya utakayo tena mbele ya police? Kazi ya kupambana na ccm sio ndogo kama tunavyodhania
 
Leo asubuhi karibia vyombo vyote vya habari vimeandika juu ya ujio wa wachunguzi wa mambo ya milipuko na mabomu huko Arusha, wakitokea China. Kwangu binafsi nililipokea kwa furaha, lakini furaha yangu ilianza kuingiwa kiwewe pale Jeshi letu lilipoonesha kuwa tayari wanajua nini matokeo yatakayotolewa na makomandoo hao.

Je, tutaaminije taarifa zao kama hazitakuwa zimetengenezwa na serikali na wao wakaletwa kama mawakala wao na vipaza sauti tu wa kutoa taarifa iliyoandaliwa?


TAFAKARI
kuishi tz ni kuona mengi.kachelo wa kichina kuchunguza mlipuko wa bomu wa arusha..........bila shaka wameokotwa kariakoo...ni mtazamo tu
 
Leo asubuhi karibia vyombo vyote vya habari vimeandika juu ya ujio wa wachunguzi wa mambo ya milipuko na mabomu huko Arusha, wakitokea China. Kwangu binafsi nililipokea kwa furaha, lakini furaha yangu ilianza kuingiwa kiwewe pale Jeshi letu lilipoonesha kuwa tayari wanajua nini matokeo yatakayotolewa na makomandoo hao.

Je, tutaaminije taarifa zao kama hazitakuwa zimetengenezwa na serikali na wao wakaletwa kama mawakala wao na vipaza sauti tu wa kutoa taarifa iliyoandaliwa?


TAFAKARI
Kuna jamaa alisema jana kuwa kama tumeamua kukaa na Mwameroka- Obama tukae nae na kama tumeamua kukaa na Mchina tuamuae mioja lakini hili la kuwatumikia mabwana wawili wenye interest tofauti nchi yetu inaweza akawa kama DRC lakini Mungu aepushie mbali
 
PHP:
Kwangu binafsi nililipokea kwa furaha, lakini furaha yangu ilianza kuingiwa kiwewe pale Jeshi letu lilipoonesha kuwa tayari wanajua nini matokeo yatakayotolewa na makomandoo hao.
Kama bomu limetoka China unategemea nini hapo? Polisi wanafurahi kwa kuwa wanajua kitakachosemwa na Hayo Machina. Mbona hawakuwaita FBI au MOSSAD?
 
Watanzania, kama hatuachi hizi tabia za kitu kutoka nje, basi kitakuwa na solution. Hivi mchina atachunguza nini? Tushajua bomu lilinunuliwa kwao na ni la kijeshi. Tushajua polisi walipiga watu risasi kusudi mrushaji akimbie. Sasa mchina atwambie nini? Mnataka aseme aliyerusha ni jirani ya nani au alikuwa amevaa viatu fulani?
Tujiulize tuliokwishajua tumeyafanyia nini? Bahati mbaya CCM huwa ina tabia moja. Kama kitu wamekifanya wao, hata kama ni kibaya..huwa hawawajibishi mtu. Ila wanaomba sana na hata kulazimisha kitendo kiovu kifanywe na mtu wa Chadema. Mchina hawezi kutupa taarifa zaidi ya tunayoyajua. Nina wasi wasi wanataka kupindisha hili tukio kwa kutumia wachina. Nikumbushe tu kwamba China ni taifa mojawapo kati ya mataifa yasiojali haki za binadamu. Sishangai kutumiwa na CCM.
........Ni kweli mkuu wachina nao ni watu wa mbinu chafu sana....na kwani tuwaamini WACHINA kwani wao ndo kina nani..?
 
Watanzania, kama hatuachi hizi tabia za kitu kutoka nje, basi kitakuwa na solution. Hivi mchina atachunguza nini? Tushajua bomu lilinunuliwa kwao na ni la kijeshi. Tushajua polisi walipiga watu risasi kusudi mrushaji akimbie. Sasa mchina atwambie nini? Mnataka aseme aliyerusha ni jirani ya nani au alikuwa amevaa viatu fulani?
Tujiulize tuliokwishajua tumeyafanyia nini? Bahati mbaya CCM huwa ina tabia moja. Kama kitu wamekifanya wao, hata kama ni kibaya..huwa hawawajibishi mtu. Ila wanaomba sana na hata kulazimisha kitendo kiovu kifanywe na mtu wa Chadema. Mchina hawezi kutupa taarifa zaidi ya tunayoyajua. Nina wasi wasi wanataka kupindisha hili tukio kwa kutumia wachina. Nikumbushe tu kwamba China ni taifa mojawapo kati ya mataifa yasiojali haki za binadamu. Sishangai kutumiwa na CCM.
Huo ndio ukweli ccm na polisi baada ya kuona ukweli unadhihirisha kuwa wamehusika kuwalipua wanachi na kuwauwa wameibuka na wachunguzi wa kichina. Yaani hapa ni kichina china. Fake as original fake. There is no investigation there.
Bunduki zinazotumiwa na green guard ambazo zimesababisha maafa kwa raia wengi zimetoka China. Bomu limetoka China. Viongozi wanaopanga ugaidi ccm kila siku kiguu na njia China. China haina haki za kidemokrasi na inachukia demokrasi. Mwaka 1989 vijana walioandama na kudai demokrasi China walipigwa risasi Tianmin Square jijini Beijing kwa mamia kuwatisha raia wasizungumze demokrasi. China inafanya hila zote za kigaidi kwa raia wake au kikundi chochote kinachoongelea demokrasi nchini China. Kwa maana nyingine China ni nchi moja pekee kubwa inayoabudu mfumo wa kiimla na kidikteta.
Sasa huu ni mchezo tu tunaochezewa na ccm make wanajua wakiunda tume huru ya mahakama wataumbuka, wakiita scotland yard au FBI watawaumbua na kuwatangaza chama cha kigaidi. Wafanyeje? Waletwe wachina. Watu ambao nyuso zao hazina haya kusema uongo na kutetea uovu.
Hatutaamini uchunguzi wowote unaofanywa na wachina. Manake tunajua wachina siku zote wako compromized. Hata China kwenyewe impunity ndio lugha ya utawala kuanzia ofisi ya Rais mpaka nyumba kumikumi. Wasiwahadae na kuwanyonga wala rushwa. Ni matukio moja katika maelf ya uvunjifu na ubadhirifu unaoshughulikiwa kwa njia hiyo na ni lazima iwe kwamba hawana ujanja public inataka hatua zichukuliwe.
 
Ninapata mashaka na hao wachina wanaotajwa kuwa makachero. Wana Arusha wafuatilieni kwa karibu hao wachina wasijekuwa ni wale waliojazana kule Lugoba kwenye ma crusher.
Hapa tutapigwa mchanga wa macho hivihivi tukishuhudia.
 
Bangoo; Bila shaka hajielewi huyo, kwani tangu lini Wachina na FBI wamekuwa sehemu ya dola ya Tanzania.Kinachoendelea ni utumwa wa kifikra!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom