Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
"HAINISTUI" in harmonize's voiceUchungu na harufu mbaya kwenye pombe huwa ni ujumbe kwa mtumiaji kuwa anachokifanya hakiko sahihi, na anaiangamiza NAFSI yake!
Na kwa bahati mbaya huwa hastuki.
JESUS IS LORD!
Umekunywa pombe gani ndugu?Kwanini pombe huwa zina harufu kali na ladha ya uchungu? Kwanini ile harufu kali husaidia nini kwenye pombe?
Na ile ladha mbaya na chungu imewekwa ili iweje? Au ndio inaongeza nguvu za kiumeni?
Ungewatag walevi waje wajibu haya maswali mm mwenyewe nataka kujua.Kwanini pombe huwa zina harufu kali na ladha ya uchungu? Kwanini ile harufu kali husaidia nini kwenye pombe?
Na ile ladha mbaya na chungu imewekwa ili iweje? Au ndio inaongeza nguvu za kiumeni?
Nyie ndio maliasili bin nyara za serikali, wazungu wanakuja kuwashangaeni na serikali kupata mapato yake?Mkuu sisi ndio tunaiwezesha Serikali iingize mapato kwa hiyo usidadisi sana
Dom perignonUmekunywa pombe gani ndugu?
Rudi hapa fastaNitaridi kusoma coments
DuhKulichooza lazima kiwe na harufu [emoji23][emoji23]