Kwanini pombe huwa ni chungu na zina harufu mbaya?

Kwanini pombe huwa ni chungu na zina harufu mbaya?

Kwanini pombe huwa zina harufu kali na ladha ya uchungu? Kwanini ile harufu kali husaidia nini kwenye pombe?
Na ile ladha mbaya na chungu imewekwa ili iweje? Au ndio inaongeza nguvu za kiumeni?
Mkuu sio pombe zote ni chungu na harufu kali,
Kifupi ni kwamba hapa duniani kuna pombe za aina zote, chungu tamu, zenye harufu kali, zenye harufu iliyopoa nk
Haya mambo sio ya kukariri.....
Eid Mubarak

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Wadada weng husema pombe chungu.

Jinsia yako plz mtoa mada..gilesi
 
faida za pombe ni kuepuka kumpiga mke nyumbani,unaamua kuwasha gari nakwenda bar
 
Back
Top Bottom