Kwanini pombe huwa ni chungu na zina harufu mbaya?

Acha kuisingizia pombe mambo yasiyofaa ilihali ukujua ni kosa kwa sheria za wanywaji!
 
Nimekunywa pombe kwa muda zaidi ya miaka 20 mfululizo,. NIKABAINI POMBE HAINA FAIDA YEYOTE KTK MAISHA YA MWANADAMU.

"Kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi" YOHANA 8:34

Unywaji wa pombe ni utumwa, kama ulivyo utumwa mwingine wa dhambi.
Uzinifu umefanya miaka mingapi? Kwanini huuiti utumwa?
 
Harufu na uchungu ndo utamu wenyewe its like cooking jar, zinaharufu ila tamu!
 
Kama ulisoma chemistry Alcohol ama base zina bitter test..
 
Nimekunywa pombe kwa muda zaidi ya miaka 20 mfululizo,. NIKABAINI POMBE HAINA FAIDA YEYOTE KTK MAISHA YA MWANADAMU.

"Kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi" YOHANA 8:34

Unywaji wa pombe ni utumwa, kama ulivyo utumwa mwingine wa dhambi.
Utakuwa umeishiwa "mahela" weye!Ndiyo visingizio vyenu hivyoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nimekunywa pombe kwa muda zaidi ya miaka 20 mfululizo,. NIKABAINI POMBE HAINA FAIDA YEYOTE KTK MAISHA YA MWANADAMU.

"Kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi" YOHANA 8:34

Unywaji wa pombe ni utumwa, kama ulivyo utumwa mwingine wa dhambi.
Unataka kusemaje? Acha na kila mmoja ajionee ubaya wa pombe ataacha mwenyewe..vinginevyo kila mmoja afanye anachoona ni bora.
 
Nimekunywa pombe kwa muda zaidi ya miaka 20 mfululizo,. NIKABAINI POMBE HAINA FAIDA YEYOTE KTK MAISHA YA MWANADAMU.

"Kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi" YOHANA 8:34

Unywaji wa pombe ni utumwa, kama ulivyo utumwa mwingine wa dhambi.
Kwangu mi pombe ina faida sana..kma siyo faida nayopata nikinywa ningeacha
 
Yasiyokuhusu yasikumbue[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unavyo lamba kwa bi dada huvi diss. Pombe iheshimiwe
 
We unazifuatila za nini!??


ulishaletewa mashtaka na mnyaji kuhusu madai yako!!?

Unakwama waaapi ndugu yangu!!??

alafuuu mambo yasiyokuhusu achana nayo😈😈😈😈😈😈😈😈😈😈
 
We unazifuatila za nini!??


ulishaletewa mashtaka na mnywaji kuhusu madai yako!!?

Unakwama waaapi ndugu yangu!!??

alafuuu mambo yasiyokuhusu achana nayo😈😈😈😈😈😈😈😈😈😈
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…