Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #21
AmenNimekunywa pombe kwa muda zaidi ya miaka 20 mfululizo,. NIKABAINI POMBE HAINA FAIDA YEYOTE KTK MAISHA YA MWANADAMU.
"Kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi" YOHANA 8:34
Unywaji wa pombe ni utumwa, kama ulivyo utumwa mwingine wa dhambi.
Uzinifu umefanya miaka mingapi? Kwanini huuiti utumwa?Nimekunywa pombe kwa muda zaidi ya miaka 20 mfululizo,. NIKABAINI POMBE HAINA FAIDA YEYOTE KTK MAISHA YA MWANADAMU.
"Kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi" YOHANA 8:34
Unywaji wa pombe ni utumwa, kama ulivyo utumwa mwingine wa dhambi.
Nimesharudi mkuuRudi hapa fasta
Utakuwa umeishiwa "mahela" weye!Ndiyo visingizio vyenu hivyoπππππNimekunywa pombe kwa muda zaidi ya miaka 20 mfululizo,. NIKABAINI POMBE HAINA FAIDA YEYOTE KTK MAISHA YA MWANADAMU.
"Kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi" YOHANA 8:34
Unywaji wa pombe ni utumwa, kama ulivyo utumwa mwingine wa dhambi.
Unataka kusemaje? Acha na kila mmoja ajionee ubaya wa pombe ataacha mwenyewe..vinginevyo kila mmoja afanye anachoona ni bora.Nimekunywa pombe kwa muda zaidi ya miaka 20 mfululizo,. NIKABAINI POMBE HAINA FAIDA YEYOTE KTK MAISHA YA MWANADAMU.
"Kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi" YOHANA 8:34
Unywaji wa pombe ni utumwa, kama ulivyo utumwa mwingine wa dhambi.
Kwangu mi pombe ina faida sana..kma siyo faida nayopata nikinywa ningeachaNimekunywa pombe kwa muda zaidi ya miaka 20 mfululizo,. NIKABAINI POMBE HAINA FAIDA YEYOTE KTK MAISHA YA MWANADAMU.
"Kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi" YOHANA 8:34
Unywaji wa pombe ni utumwa, kama ulivyo utumwa mwingine wa dhambi.
Silambagi, mnalamba nyie msio na hela za kuhonga na pia hamna nguvu za kiume za kuwatoshelezeniUnavyo lamba kwa bi dada huvi diss. Pombe iheshimiwe