ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Mpira sio rahisi hivo kamandaMatatizo ya dube yanaendelea,dube alitakiwa awe na goals angalau 13+ na asist kadhaa.
Wana struggle akina Mpambe, Kane, Mesi n.k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira sio rahisi hivo kamandaMatatizo ya dube yanaendelea,dube alitakiwa awe na goals angalau 13+ na asist kadhaa.
fitness haikuwa imara alipokuwa azam,akiguswa kidogo tu chini miezi mitatu nje. Ila alipoingia yanga kwa wakulungwa, kwenye mazoezi makali,presha ya viongozi+mashabiki na gharama za usajili zilizotumika kumsajili ameimarika kwa upande wa majeraha. Ila kwa upande wa ufungaji ni "failure pro max"Hivi Dube alikua ana fake injury Azam? Mbona tangu atue utopolo haendi tena wodini.
Nb: takwimu zake kwa sasa sio mbaya
13 machache sana tuzingumzie 20 huko....Maana magoli anayofunga ni ya Timu za mchangani hakuna tough game atakayoonekana hatariMatatizo ya dube yanaendelea,dube alitakiwa awe na goals angalau 13+ na asist kadhaa.