fitness haikuwa imara alipokuwa azam,akiguswa kidogo tu chini miezi mitatu nje. Ila alipoingia yanga kwa wakulungwa, kwenye mazoezi makali,presha ya viongozi+mashabiki na gharama za usajili zilizotumika kumsajili ameimarika kwa upande wa majeraha. Ila kwa upande wa ufungaji ni "failure pro max"