Kwanini Prodyuza Yogo anaacha muziki, tatizo Ali Kiba au malipo?

Kwanini Prodyuza Yogo anaacha muziki, tatizo Ali Kiba au malipo?

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
“I QUIT THE GAME SITAKI TENA MZIKI. F** THIS GAME” Ndiyo ambavyo Prodyuza Yogo alivyoandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kisha pembeni yake kwenye caption akaongezea kwa kuandika “Too Much Hunting”.

Bado hajaweza sababu hasa za kuamua kufanya hiyo, maamuzi ambayo yanakuja wiki chache tangu akamilishe kusimamia utengenezwaji wa albamu ya Ali Kiba.

Yogo amekuwa karibu na Kiba kiasi cha wengi kumuona ni prodyuza wa msanii huyo, lakini haijajulikana wazi mpaka sasa kama ni kupishana na Kiba au kuna tofauti nyingine yoyote.

Lakini kwa kwa jinsi alivyoelezea ni wazi kuwa sababu za kuandika hayo ni za kimuziki, ndiyo maana akasema F** This Game.

Kabla ya kuwa karibu na Yogo, Ali Kiba alikuwa karibu na Prodyuza Man Walter lakini wawili hao walitibuana na kila mmoja kumrushia maneno mwenzake wakishutumiana.

Unadhani tatizo linaweza kuwa ni wapi, Ali Kiba au muziki umemvuruga tu au ni ishu ya malipo hapo?

Yogo.jpg
 
Itakuwa pesa
Unafanya kazi sana
Unambulia maneno,pesa hakuna
Hakuna malipo blah blah tu
Haya mambo ndiyo wakina pfunk wamekuwa wakiyasema
Kwanza siku zote producer anatakiwa awe na hela kuliko msani na producer hatakiwi kumsujudia msanii

Ova
 
“I QUIT THE GAME SITAKI TENA MZIKI. F** THIS GAME” Ndiyo ambavyo Prodyuza Yogo alivyoandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kisha pembeni yake kwenye caption akaongezea kwa kuandika “Too Much Hunting”.

Bado hajaweza sababu hasa za kuamua kufanya hiyo, maamuzi ambayo yanakuja wiki chache tangu akamilishe kusimamia utengenezwaji wa albamu ya Ali Kiba.

Yogo amekuwa karibu na Kiba kiasi cha wengi kumuona ni prodyuza wa msanii huyo, lakini haijajulikana wazi mpaka sasa kama ni kupishana na Kiba au kuna tofauti nyingine yoyote.

Lakini kwa kwa jinsi alivyoelezea ni wazi kuwa sababu za kuandika hayo ni za kimuziki, ndiyo maana akasema F** This Game.

Kabla ya kuwa karibu na Yogo, Ali Kiba alikuwa karibu na Prodyuza Man Walter lakini wawili hao walitibuana na kila mmoja kumrushia maneno mwenzake wakishutumiana.

Unadhani tatizo linaweza kuwa ni wapi, Ali Kiba au muziki umemvuruga tu au ni ishu ya malipo hapo?

View attachment 2120192
Ali kiba ana ego sana jamaa japo sisemi kuwa ndiyo sababu ya Yogo kuandika hivyo
 
Kijana ebu heshimu majina watu utamwitaje mwenzako kibakuli wakati jina lake halisi ni Alikiba huo uhuru ulionao wacomment usiutumie vibaya kuchafua majina ya watu
Nawe chawa wa wcb eti umeumia!😁
 
Back
Top Bottom