Jana nmecheki salama na Master J, master anasema kwenye mziki wana faking sana. Watu wanaaminisha watu kuwa mafanikio walionayo yanatokana na mziki wakati watu wa kwenye industry wanajua sio kweli yanatokana na shughuli nyingine.Itakuwa pesa
Unafanya kazi sana
Unambulia maneno,pesa hakuna
Hakuna malipo blah blah tu
Haya mambo ndiyo wakina pfunk wamekuwa wakiyasema
Kwanza siku zote producer anatakiwa awe na hela kuliko msani na producer hatakiwi kumsujudia msanii
Ova
Maproducer hawathaminiki, huyo Man Walter sasa hivi ni Sound Engineer wa UFM hapo Azam Media uproducer anafanya ila sio kivile kama zamani.Mkuu asante sana kwa hii. Nimeitazama yote kiukweli mziki wetu unakwama pakubwa
Man Water ndiye producer ninayemkubali Sana kwanza hakopi beat, mbuninifu na beat zake nyingi zinaishi anajua kutengeneza mziki mzuri sijui kwanini Wasanii wengi hawamtumiiMaproducer hawathaminiki, huyo Man Walter sasa hivi ni Sound Engineer wa UFM hapo Azam Media uproducer anafanya ila sio kivile kama zamani.
Jmaa ameongea fact sanUkiitizama hii intvw ya Man Walter utapa sababu kwa nini jamaa kaamua kufanya maamuzi hayo.
Wasanii wengi wa bongo hawa thamini mchango wa producers.
Happy kwenye iman za kishilikina nakubaliana na wewe mziki wa bongo ni kama mpira wa miguu wa bongo wanalogana balaaYogo kakumbana na changamoto 3 hadi sasa ambazo zimemfanya aache muziki.
1: Familia, huyu mwamba hana mahusiano mazuri na mkewe hali uliyopelekea kuachana naye.
2: Kazi, suala la kufanya kazi na Kibakuli limeleta uhasama sana kwa ChaiJaba. Hivyo jamaa amejikuta yupo katika dimbwi la chuki na wasanii kadhaa kutoka kwenye kambi ya Wachafu.
3: Imani za kishirikina.