Kwanini Prof Janabi kafuta CV yake mitandaoni?

Kwanini Prof Janabi kafuta CV yake mitandaoni?

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
13,628
Reaction score
20,992
Prof Janabi Aliweka CV yake mitandaoni kwa bashasha sana, ikiwa imejaa karibu kurasa 18

Huko Instagram na Twitter ilikuwa ni hongera tu zinamwagika

CV yake ilipofika mikononi mwa Great thinker wa JF imechambuliwa kinagaubaga ,

Imeibua mambo mengi yanayoleta maswali ,kwanza kaonekana sio mbobevu wa maswala ya Moyo kama anavyojitanabaisha

Pili haijajulikana U profesa wake kaupatia wapi ,

Kwakweli maswali ni mengi sana

Gafla ameiondoa haraka hiyo CV mitandaoni
 
Prof Janabi Aliweka CV yake mitandaoni kwa bashasha sana, ikiwa imejaa karibu kurasa 18

Huko Instagram na Twitter ilikuwa ni hongera tu zinamwagika

CV yake ilipofika mikononi mwa Great thinker wa JF imechambuliwa kinagaubaga ,

Imeibua mambo mengi yanayoleta maswali ,kwanza kaonekana sio mbobevu wa maswala ya Moyo kama anavyojitanabaisha

Pili haijajulikana U profesa wake kaupatia wapi ,

Kwakweli maswali ni mengi sana

Gafla ameiondoa haraka hiyo CV mitandaoni
Tufanye we na mumeo mna elimu kumzidi yeye!
 
Back
Top Bottom