LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
waulize watoa hoja ya cv yakeKwani huko anaenda kupasua mioyo ya wazungu au ni uongozi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waulize watoa hoja ya cv yakeKwani huko anaenda kupasua mioyo ya wazungu au ni uongozi tu
Na huko ndipo alipobobea.sahivi naona anashauri watu wasile sana kuelekea msimu wa sikukuu 😊
HahahaNa huko ndipo alipobobea.
Jamani!CV ya janabi ni ya magumashi.Hafai kutuwakilisha WHO.kwanza ni mzee sana na amekongoroka
JF ya sasa ina GT wasiozidi 10 kwa sasa. Walio iharibu jf ni hivi vitoto vya juzi hapo. Vinaandika utumbo tu.Prof Janabi Aliweka CV yake mitandaoni kwa bashasha sana, ikiwa imejaa karibu kurasa 18
Huko Instagram na Twitter ilikuwa ni hongera tu zinamwagika
CV yake ilipofika mikononi mwa Great thinker wa JF imechambuliwa kinagaubaga ,
Imeibua mambo mengi yanayoleta maswali ,kwanza kaonekana sio mbobevu wa maswala ya Moyo kama anavyojitanabaisha
Pili haijajulikana U profesa wake kaupatia wapi ,
Kwakweli maswali ni mengi sana
Gafla ameiondoa haraka hiyo CV mitandaoni
Ukiweka CV TZ hadharani hakikisha Ina uhalisia lasivyo litakukuta jambo. Kuna watu vichwa wa kuchambua mambo huwezi kuwapeleleka peleka tu.Prof Janabi Aliweka CV yake mitandaoni kwa bashasha sana, ikiwa imejaa karibu kurasa 18
Huko Instagram na Twitter ilikuwa ni hongera tu zinamwagika
CV yake ilipofika mikononi mwa Great thinker wa JF imechambuliwa kinagaubaga ,
Imeibua mambo mengi yanayoleta maswali ,kwanza kaonekana sio mbobevu wa maswala ya Moyo kama anavyojitanabaisha
Pili haijajulikana U profesa wake kaupatia wapi ,
Kwakweli maswali ni mengi sana
Gafla ameiondoa haraka hiyo CV mitandaoni
Prof mi labda niwe mdogo wake,am 46yrs, siwezi kuwa mwanae,Acha makasiriko ya kipuuzi,, kosa lake ni nini hapo... Kama ni babaako kiukweli elimu anayo ya kuunga unga...
hamis77
Hakuna cha mtoa hoja, ni kikundi tu cha wahuni wachache ndio wanajaribu kumchafua mzee wa watu, wana ajenda zao binafsi ,wanasukumwa na itikadi na kingine wanahisi labda dikteta wa nchi ya mbali wakati anaumwa alipigwa sindano.......waulize watoa hoja ya cv yake
Prof Janabi Aliweka CV yake mitandaoni kwa bashasha sana, ikiwa imejaa karibu kurasa 18
Huko Instagram na Twitter ilikuwa ni hongera tu zinamwagika
CV yake ilipofika mikononi mwa Great thinker wa JF imechambuliwa kinagaubaga ,
Imeibua mambo mengi yanayoleta maswali ,kwanza kaonekana sio mbobevu wa maswala ya Moyo kama anavyojitanabaisha
Pili haijajulikana U profesa wake kaupatia wapi ,
Kwakweli maswali ni mengi sana
Gafla ameiondoa haraka hiyo CV mitandaoni
. Tuwe na chuki kwa mzee Janabi kwa sababu zipi labda???, WHO siyo tawi la CCM, wekeni mtu sahihi..✍️ ✍️ ✍️ ✍️Prof mi labda niwe mdogo wake,am 46yrs, siwezi kuwa mwanae,
Nyie mna chuki binafsi na Janabi,ila jamaa iyo nafasi inamfaa sana,labda mniambie kama kuna hospital ya WHO Janabi anaenda kushinda theater kupasua mioyo ya mashoga wa kizungu na wazayuni hapo sasa itakuwa hoja nyingine,na isitoshe huko kote kitaaluma yuko vizuri sana.
mbona yuko fresh tu! Ana uzee gani?CV ya janabi ni ya magumashi.Hafai kutuwakilisha WHO.kwanza ni mzee sana na amekongoroka
hivo vitoto ni vishenzi, vinaita watu wazee hata uzee hawajaufikiaJF ya sasa ina GT wasiozidi 10 kwa sasa. Walio iharibu jf ni hivi vitoto vya juzi hapo. Vinaandika utumbo tu.