Kwanini Prof Janabi kafuta CV yake mitandaoni?

Leave him alone!
 
GT hii hii ya vitoto visivokuwa na adabu au ipi.
 
Sawa bibie wamekusikia wahusika.
 
wapo wasomi wakubwa lakini hawana cv iliyoshiba. Umejibu ki povu
Hao wasomi wakubwa ni wa level gani? Hapa tunazungumzia professsor tena wale wa miaka ile ambayo wasomi walikua wa kuhesabu, ulitegemea CV iwe ndogo?

Tafuta professor yoyote bongo uone kama Kuna mwenye CV ambayo haijashiba. Zamani wasomj walikua hakuna hivyo maprofesa wengi walikua wanapewa nafasi nyingi mno
 
Dr. Janabi has a rich training history of truly global proportions. Dr. Janabi is a graduate of the Kharkov Medical Institute (Russia), Liverpool School of Tropical Medicine (England), University of Queensland Medical School (Australia), Graduate School of Medicine Osaka University Hospital (Japan), and Bergen University (Norway).
 
Mnasanabisha nianze kumkumbuka yule Doctor aliyetaka kinunua zile nyuma za LUGUMI
 
WHO walishaisoma !
Hata hivyo ilikuwa Haina impact !
Hawezi kupata ile nafasi!

Mkurugenzi wa WHO Kanda ya Afrika anahitaji sifa mbalimbali, ikiwa ni pamoja na ujuzi wa kuandika na kuzungumza Kifaransa. Hapa kuna sifa hizo:

1. Utaalamu wa Afya: Elimu ya juu katika sayansi za afya, kama vile udaktari au afya ya umma.

2. Uzoefu wa Kazi: Uzoefu katika sekta ya afya, hasa katika mazingira ya Afrika.

3. Uongozi na Usimamizi: Uwezo wa kuongoza na kusimamia timu kubwa, huku ukihamasisha ushirikiano.

4. Uelewa wa Sera za Afya: Maarifa kuhusu sera za afya za kimataifa na mahitaji ya kiafya ya Afrika.

5. Uwezo wa Kutoa Mwelekeo: Uwezo wa kupanga mikakati na kutoa mwelekeo wa kisera.

6. Uwezo wa Mawasiliano: Ujuzi mzuri wa mawasiliano ili kuweza kuwasiliana na wadau mbalimbali.

7. Uelewa wa Utamaduni: Uelewa wa tofauti za kitamaduni na kijamii katika kanda ya Afrika.

8. Uwezo wa Kujifunza na Kurekebisha: Uwezo wa kujifunza kutokana na makosa na kuboresha mikakati.

9. Ushirikiano wa Kimataifa: Uwezo wa kushirikiana na mashirika mengine ya kimataifa.

10. Uthibitisho wa Maadili: Maadili ya juu na kujitolea kwa huduma za afya.

11. Uwezo wa Kuandika na Kuzungumza Kifaransa: Uwezo wa kuwasiliana kwa ufanisi kwa lugha ya Kifaransa, ikiwa ni pamoja na kuandika ripoti na nyaraka rasmi.

12. Uwezo wa Kutatua Migogoro: Ujuzi wa kutatua migogoro katika mazingira magumu.

13. Ujuzi wa Takwimu na Utafiti: Uwezo wa kufanya na kuelewa tafiti za kiafya.

14. Uelewa wa Masuala ya Kiuchumi: Maarifa kuhusu masuala ya kiuchumi yanayoathiri sekta ya afya.

15. Ushirikiano wa Jamii: Uwezo wa kuunda na kudumisha uhusiano mzuri na jamii.

16. Uelewa wa Teknolojia ya Habari: Ujuzi wa teknolojia ya habari ili kuboresha huduma za afya.

17. Uwezo wa Kuendesha Mabadiliko: Uwezo wa kuongoza mabadiliko katika mifumo ya afya.

18. Ushirikiano na Sekta Binafsi: Uwezo wa kushirikiana na sekta binafsi.

19. Uelewa wa Mazingira: Uelewa wa jinsi mazingira yanavyoathiri afya.

20. Uthibitisho wa Kujitolea: Dhamira ya dhati ya kuboresha afya ya jamii.

Sifa hizi zitamuwezesha mkurugenzi huyo kukabiliana na changamoto za kiafya na kuboresha huduma za afya barani Afrika.
 
Hakuna cha mtoa hoja, ni kikundi tu cha wahuni wachache ndio wanajaribu kumchafua mzee wa watu, wana ajenda zao binafsi ,wanasukumwa na itikadi na kingine wanahisi labda dikteta wa nchi ya mbali wakati anaumwa alipigwa sindano.......
Yaani ilipaswa baada ya Rais kusema iwe agenda ya wote kumzungumza vizuri prof maana akishindq yeye Tanzania imeshinda Lakini sivyo kwa baadhi ya watu Hebu tupendane,tuipende nchi yetu.Sio kupinga tu kila kitu .
 
Yaani ilipaswa baada ya Rais kusema iwe agenda ya wote kumzungumza vizuri prof maana akishindq yeye Tanzania imeshinda Lakini sivyo kwa baadhi ya watu Hebu tupendane,tuipende nchi yetu.Sio kupinga tu kila kitu .
Nchi ina wajinga wengi,hawajui akipita iyo nafasi ni uwakilishi kwa Nchi na kuna faida lukuki.
 
Airudishe anadhani sisi hatujui kusoma eti certificate ya USSR ni sawa na degree ya bongo
 
Samia kampendekeza kwa mihemuko yake ya Udini bila uchambuzi makini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…