Kwanini programming code ni shida?

Tanzania nchi yetu hakika programming imekuwa shida haswa kwa vyuo vyetu shida ni nn? Walimu wabobezi hatuna au watanzania wagumu kufikiri?
Fafanua vizuri mkuu umeweka hili suala too general. Programming watu wanasoma chuo wengine ni self taught ni nini ulikuwa unataka watu wakashindwa kufanya.
Kuna code ulitaka watu wavunje au nini kwa sababu watu wanatengeza programs kila uchao. Kiukweli sijakupata au mpaka usikie cybercrime on codes ndo uone watu wanashughulika. Tafadhali jibu.
 
Hatuna msingi mzuri toka mwanzo,nchi nyingine watu huanza kusoma programming na computer studies kuanzia msingi, hivo vijana hao huwa vizuri zaid hata wakifika chuo compared na sisi
 

ok thank kwa reply yako yani ipo ivi unapozungumizia programming ni general kweli na mm lengo langu ni ugeneral

1. kinapozungumziwa kitu yani ni janga au tatizo kama hili la coding sio kwamba hakuna watu ila hawatoshelezi mfano mimi nimejaribu kufanya research chache japo zinauzito nimeenda tigo, voda na halotel pia kwenye mitandao ya simu baadhi na nimefanikiwa kufanya kazi kwenye mashirika ya kigeni kazi nao (as a backend dev) nimeona wenzetu walivyo na wanavyofanya kazi
majibu ya research yangu nikaja kugundua kuwa watanzania wengi ambao ni madeveloper wengi hawaza zile general programming concept kama data structure and algorith , design pattern n.k

pili ukiangalia mifumo mingi wanayotengeneza ni normal sana mfano mobile app za watz ni za kawaida wengi sio wabobevu wa kutumia library etc
tatu tigo, voda na halotel mifumo mingi dev wao sio wabongo ni wakenya
 
Hatuna msingi mzuri toka mwanzo,nchi nyingine watu huanza kusoma programming na computer studies kuanzia msingi, hivo vijana hao huwa vizuri zaid hata wakifika chuo compared na sisi
nakubaliana na wewe hakika msingi hatuna wengi wetu tunaanza kuizingatia programming baada ya kufika chuo au baada kumuona mtu alietoka chuo

mfano mimi msingi wangu niliupata baada ya mtalii kuniambia kwanini usifunze coding you will make money hapo ndo nikaanza lakini baadae yeye kwenye historia yake baada ya kuwa rafiki yangu ameanza kufanya coding tokea akiwa na miaka 8 lakini mimi nilikomaa nae mpaka sasa nafanya kazi kubwa sana na mashirika mengi ya nje ko hakika nakubaliana na wewe
 
yes ni kweli kabisa unapozungumzia computer studies vs programming ni vitu viwili tofauti
i) programming inahitaji skill nyingi sana za mtu binafsi
-kutokata tamaa
-kutokuwa na tamaa(yani haujamaliza hiki unaanza hiki)
-internet(mtandao) mfano mzuri kuna kampuni furan nafanya nalo kazi yani naenda kwa mara ya kwanza kukutana na project manager ambaye nae ni dev mchina aliongea kauli moja ambayo ilinichekesha lakini pia ilinijenga kutambua alisema kwamba ukiona dev anatumia sana kutengeneza mifumo yake kwa kutumia offline tools huyo ni absolute beginner nilicheka sana ila ukiwaza vizur utajua kwanini aliongea vile.
-Pesa
Low resource country mkuu ni kweli kuhusu computer studies. Ila programming is far beyond Computer Studies.s
 
Ulien
Ulienda kuomba job wapi mkuu
 
Tanzania nchi yetu hakika programming imekuwa shida haswa kwa vyuo vyetu shida ni nn? Walimu wabobezi hatuna au watanzania wagumu kufikiri?
Siku hizi program zote zinajifanya zenyewe kupitia open ai chat gpt, iambie kwa lugha yakawaida tu inakupa vitu.
 
Siku hizi program zote zinajifanya zenyewe kupitia open ai chat gpt, iambie kwa lugha yakawaida tu inakupa vitu.
Tatizo linakuja kwenye ku update na ku secure baada ya ugunduzi na pili hio haipo creative at all

Yaani ipo specific to some resources haiwezi kufikiri out of the box 🗃️🗃️
 
Tatizo linakuja kwenye ku update na ku secure baada ya ugunduzi na pili hio haipo creative at all

Yaani ipo specific to some resources haiwezi kufikiri out of the box 🗃️🗃️
Endelea kufikiri "out of the box" na uyajuayo. Hakuna matata.
 
Inakupa vitu gani nikitaka wali Samaki itanipa?
Achana nae Haelewi asemacho huyo mtu kasomea electrical engineering miaka ya 80's huko umweleze hivi vitu atakuelewa hajawahi hata kucode "hello world" ye kila anachoona google anakubali tu 🗺️🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…