Nilipokua najifunza code nilikua napenda sana kutumia notepad ya computer nikawa nakimbia sublime, notepad ++ & visual studio code sababu ukizitumia sana ingawa sawa zinarahisisha kazi Ila pia zinalemaza ubongoYaani ipo specific to some resources haiwezi kufikiri out of the box ποΈποΈ
Nchi hiii hii au Anga za mbali?Nilikua sijui C#, C++, PHP, JAVA, jQuery, JavaScript, Visual Basic, Python, CSS & HTML nilijifunza alone Ila nilichokuja kugundua hizO zote ni cha mtoto ukienda kuomba job unaulizwa unajua kutumia Flutter, React Native, B4X, Angular, jQuery Mobile, Stylify, Fuse, Sciter, Polymer, MonoDevelop, ASP.NET Core, Electron, Felgo, Native Script, Quasar Framework
Ila sana sana wanakuuliza unajua Flutter au Angular,
I'm Out
Ushambiwa UN ndugu unadhani ni. Mchezo mchezo ππNchi hiii hii au Anga za mbali?
Wanaweka kwenye website unatumia kwa email kazi ilikua masuala programmers experience kidogo Ila Languages na Kuna zile wanaita added advantages km zoteMajengo yao yapo wapi mkuuu kwa hapa dsm
How ukitaka usilemae ubongo utumie nn sasa mkuuuu π€Nilipokua najifunza code nilikua napenda sana kutumia notepad ya computer nikawa nakimbia sublime, notepad ++ & visual studio code sababu ukizitumia sana ingawa sawa zinarahisisha kazi Ila pia zinalemaza ubongo
Oh sawasawa kwaiyo kama ungepata ungefanya kazi zao online sioWanaweka kwenye website unatumia kwa email kazi ilikua masuala programmers experience kidogo Ila Languages na Kuna zile wanaita added advantages km zote
Mkuu angalia kazi za bank km NMB upande wa programmers utaona kitu, kuna kaelimu fulani wanataka uwe nako na hako kaelimu hauwezi ukakapata darasani lazima uwe hustler wa kujipambania kivyako cheti chako weka pembeni una GPa ya 4.9 Ila hujui Python, hujui Flutter, hujui Angular utarudi na vyeti vyako nyumbaniNchi hiii hii au Anga za mbali?
Notepad kavu hata zipo exe ambazo ni kavu, yaan kusiwe na pop up codesHow ukitaka usilemae ubongo utumie nn sasa mkuuuu π€
We jamaa ngumu kuelewa sana, unatumia nguvu nyingi kuelewaOh sawasawa kwaiyo kama ungepata ungefanya kazi zao online sio
Mshahara ulikua sh ngapi mkuu
Ohh sawasawa mkuu shukraniNotepad kavu hata zipo exe ambazo ni kavu, yaan kusiwe na pop up codes
π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Kuuliza sio ujinga mkuuWe jamaa ngumu kuelewa sana, unatumia nguvu nyingi kuelewa
Hapana we kuelewa kwako ni kugumu,π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Kuuliza sio ujinga mkuu
Ninadadisi tu
Duuh haya sawaHapana we kuelewa kwako ni kugumu,
Unadadisi tu, we code editor ipi unanipenda zaidi ?Duuh haya sawa
πππ nitajua tyu mana wadau mpoJamani nitumieni codes za Boostrap5-image automatic sliding mnayotumia ili nicopy na kupaste kwenye website ninayocreate.....
mana niliyodownload naona inanizingua, nilivyopaste na kuedit ilinionesha picha tano zipo tu zimesimama vertically na hazimove!
Jamani, me sio programmer ila najifunza mwenyewe kupitia mitandao kwani nimeingia kuipendapenda hii fun, so msaada wenu nimuhimu!
Vs code, notepad, devops c and c++, android studioUnadadisi tu, we code editor ipi unanipenda zaidi ?
Ingia hii link uchukueJamani nitumieni codes za Boostrap5-image automatic sliding mnayotumia ili nicopy na kupaste kwenye website ninayocreate.....
mana niliyodownload naona inanizingua, nilivyopaste na kuedit ilinionesha picha tano zipo tu zimesimama vertically na hazimove!
Jamani, me sio programmer ila najifunza mwenyewe kupitia mitandao kwani nimeingia kuipendapenda hii fun, so msaada wenu nimuhimu!
Waalimu ama wakutubi ndo wa kuchunguzwa uwezo wao.Tanzania nchi yetu hakika programming imekuwa shida haswa kwa vyuo vyetu shida ni nn? Walimu wabobezi hatuna au watanzania wagumu kufikiri?
Daaa wewe acha kukatisha watu tamaa.... hivi wanosoma programming ni maTO mana mziki huu sio!Hapana we kuelewa kwako ni kugumu,