Doz m
Member
- Nov 17, 2022
- 6
- 1
Kwanini PSSR siku hizi wanaita watu kazini kwa awamu, badala ya kuita wote kwa mkupuo kama ilivyozoeleka?
Yaani mfano, tumeomba kazi mwezi wa 5 mwaka jana, tukaitwa interview mwezi wa kwanza na wa pili, placement ndio inafanyika sasa lakini kwa awamu.
Watu tumefanya usaili siku moja, halafu wengine sasa wako kazini, sisi tunarushwa matumbo joto tu. Sioni mantiki ya kutoa kwa awamu, mianya ya rushwa hapa inapigwa kama kawaida, tuendelee kuteseka. Yaani mchakato unatumia zaidi ya mwaka mmoja, wenzetu TAMISEMI wanatumia miezi mitano.
Hawa PSSR kuna haja ya kuchunguzwa na Wajibu, kwani uratibu wao umekuwa wa tofauti na ilivyozoeleka, kwanini wanatumia muda mrefu namna hii?!
Yaani mfano, tumeomba kazi mwezi wa 5 mwaka jana, tukaitwa interview mwezi wa kwanza na wa pili, placement ndio inafanyika sasa lakini kwa awamu.
Watu tumefanya usaili siku moja, halafu wengine sasa wako kazini, sisi tunarushwa matumbo joto tu. Sioni mantiki ya kutoa kwa awamu, mianya ya rushwa hapa inapigwa kama kawaida, tuendelee kuteseka. Yaani mchakato unatumia zaidi ya mwaka mmoja, wenzetu TAMISEMI wanatumia miezi mitano.
Hawa PSSR kuna haja ya kuchunguzwa na Wajibu, kwani uratibu wao umekuwa wa tofauti na ilivyozoeleka, kwanini wanatumia muda mrefu namna hii?!