Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

Aksante kwa kumbukumbu hii! Nyongeza kidogo kwenye kumbukumbu hii wanafunzi waliokamatwa kwenye zoezi la utambuzi walipelekwa Segerea kufungua gereza jipya!
 
Facebook Kuna account ya group la mabaharia. Ukiulizia humkosi. Wanajuana sana.
 
Lazima tulete nyodo. Watu hatujazaliwa nyie mko secondary leo tupo wote JF tunachati. Kuna sehemu mtakuwa mmekosea lazima naelewa now kwanini wengi humu hamuipendi CCM.
Wewe ni mdogo inaonekana na akili yako ni ndogo pia maana sioni connection kati ya mada na unachokiandika havina uhusiano wowote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…