Kwanini Raia wa Syria wanashangilia kifo Cha Nasrallah?

Kwanini Raia wa Syria wanashangilia kifo Cha Nasrallah?

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Baada ya Taarifa ya kifo Cha Nasrallah kutoka, nimeshangaa raia wengi wa Syria hasa eneo la Idlib wakishangilia kifo Cha Nasrallah. Ninachojiuliza ni kivipi kifo Cha Nasrallah huko Lebanon kinawafanya raia wa nchi nyingine ya Syria kushangilia. Tena wakisema Allahu Akbar!!!.

Mwenye jibu anisaidie.
 
Baada ya Taarifa ya kifo Cha Nasrallah kutoka, nimeshangaa raia wengi wa Syria hasa eneo la Idlib wakishangilia kifo Cha Nasrallah. Ninachojiuliza ni kivipi kifo Cha Nasrallah huko Lebanon kinawafanya raia wa nchi nyingine ya Syria kushangilia. Tena wakisema Allahu Akbar!!!.

Mwenye jibu anisaidie.
Kwani hujui mziki wa Hezbollah wakati wanapambana na US funded thugs /rebels na ISIS Kyle Syria kipindi kile cha Syrian war ,?
 
Hawapendi ugaidi
Wewe ni mpumbavu , unajua maana ya Gaidi wewe ,,?
Unajua ni mission gani Hezbollah wameshiriki hapo mashariki ya kati hasa Syria wewe ,zoba ?
Gaidi anapigana na ISIS na Al nusra ,(Alqaida branch) iliyofadhiliwa na Marekani ili kuiangusha serikali ya Assad ?
Muwe mnatafiti mambo na kuacha kuandika upuuzi
 
Wewe ni mpumbavu , unajua maana ya Gaidi wewe ,,?
Unajua ni mission gani Hezbollah wameshiriki hapo mashariki ya kati hasa Syria wewe ,zoba ?
Gaidi anapigana na ISIS na Al nusra ,(Alqaida branch) iliyofadhiliwa na Marekani ili kuiangusha serikali ya Assad ?
Muwe mnatafiti mambo na kuacha kuandika upuuzi
Lakin kabla ya hayo makundi kuingia hapo Syria ukweli ni kwamba watu walikuwa wamechoshwa na utawala wa Assad na walitaka mageuzi katika kipind kile cha arabs spring.
 
Yan islamic countries ni rahisi sn kuwatawala na kuwapiganisha, ww cheza na sunn na Shia, sambaza propaganda Kwa Wasunni kuwa rais ni Mshia anawapendelea washia, hilo Tu, watarudi kwenye Quran then watakuja na adhabu Rais apindulie na kuuwawa.

Ww kaa pembeni Kula fegi, utaona wanavyouana, then baadae jiokotee mafuta utakavyo, waunge mkono wassuni walioshika madaraka baada ya vita.

Njoo tena baadae wape silaha washia kumbuka Wana visasi mioyoni mwao juu ya kutolewa Rais wao, vita vitaanza tena and vice versa is true and working.

Vitabu vyao vinawadanganya sn , just check wanachoamini now, Kwa Israel hawaitanbui wakati Quran inawataja na kuwatambua.

Nafikiri uwezo mdogo wa waraabu katika elimu dunia ndo shida.
 
Wewe ni mpumbavu , unajua maana ya Gaidi wewe ,,?
Unajua ni mission gani Hezbollah wameshiriki hapo mashariki ya kati hasa Syria wewe ,zoba ?
Gaidi anapigana na ISIS na Al nusra ,(Alqaida branch) iliyofadhiliwa na Marekani ili kuiangusha serikali ya Assad ?
Muwe mnatafiti mambo na kuacha kuandika upuuzi
Umepaniki sana dogo. Issue hapo ni ugaidi tu
 
Baada ya Taarifa ya kifo Cha Nasrallah kutoka, nimeshangaa raia wengi wa Syria hasa eneo la Idlib wakishangilia kifo Cha Nasrallah. Ninachojiuliza ni kivipi kifo Cha Nasrallah huko Lebanon kinawafanya raia wa nchi nyingine ya Syria kushangilia. Tena wakisema Allahu Akbar!!!.

Mwenye jibu anisaidie.
Hata raia wa Lebanon pia wanashangilia
 
Yan islamic countries ni rahisi sn kuwatawala na kuwapiganisha, ww cheza na sunn na Shia, sambaza propaganda Kwa Wasunni kuwa rais ni Mshia anawapendelea washia, hilo Tu, watarudi kwenye Quran then watakuja na adhabu Rais apindulie na kuuwawa.

Ww kaa pembeni Kula fegi, utaona wanavyouana, then baadae jiokotee mafuta utakavyo, waunge mkono wassuni walioshika madaraka baada ya vita.

Njoo tena baadae wape silaha washia kumbuka Wana visasi mioyoni mwao juu ya kutolewa Rais wao, vita vitaanza tena and vice versa is true and working.

Vitabu vyao vinawadanganya sn , just check wanachoamini now, Kwa Israel hawaitanbui wakati Quran inawataja na kuwatambua.

Nafikiri uwezo mdogo wa waraabu katika elimu dunia ndo shida.​
Mkuu zhang laoshi Salam kwako. Hivi Wasuni na Washia utofauti wao si unatokana tu mitizamo michache juu ya Quran? Mbona ulivyoeleza hapa inaonekana issue sio mitizamo (perspective) juu ya Quran bali uadui na visasi? Je mkuu zhang laoshi Quran inaruhusu Uadui & Visasi? Je wakuu wote akiwamo FaizaFixy naomba kuelimishwa hivi kwenye kuiamamini Quran, mtume na zile Sala tano hakuna provision ya mtu kupata Devine editing ya Moyo wake ili usiwe pahala pa shetani kupajaza uadui, visasi na magomvi? Kwa mtizamo wangu tatizo kuu la mwanadamu ni uovu wa Moyo na sio mtizamo.
Ahsante​
 
Baada ya Taarifa ya kifo Cha Nasrallah kutoka, nimeshangaa raia wengi wa Syria hasa eneo la Idlib wakishangilia kifo Cha Nasrallah. Ninachojiuliza ni kivipi kifo Cha Nasrallah huko Lebanon kinawafanya raia wa nchi nyingine ya Syria kushangilia. Tena wakisema Allahu Akbar!!!.

Mwenye jibu anisaidie.
Propaganda hizo.

Wasyria qanashangilia kusambaratishwa ngome (base) ya marekani iliyopo Syria, inayoitwa conoco.

Mazayuni mabwabwa wenzao hawaleti hizo habari. Marufuku.

Ngome hiyo imesambaratishwa kiasi ambacho haijulikani nani au wangapi wametoka salama.

Wasyria walipokuwa wanashangilia hilo wabakaji wa habari wakaligeuza.
 
Back
Top Bottom