Kwanini Raia wa Syria wanashangilia kifo Cha Nasrallah?

Kwanini Raia wa Syria wanashangilia kifo Cha Nasrallah?

Huyo huwa anaendeshwa na mihemko
Yaani yeye Houthi huwatetea, Hezbollah huwatetea, Taleban huwa tetea,hamas huwatetea,boko Haram huwa tetea, alqaida huwa tetea. Yaaaani huwa simuelew akili zake zipo kama Ayatollah anataka wote tuwe waislamu
 
Mtu wa mpwapwa Dodoma anaposhabikia Hezbollah anakuwa na interest zipi? NISAIDIE NDUGU YANGU USINICHOKE
 
Yaani yeye Houthi huwatetea, Hezbollah huwatetea, Taleban huwa tetea,hamas huwatetea,boko Haram huwa tetea, alqaida huwa tetea. Yaaaani huwa simuelew akili zake zipo kama Ayatollah anataka wote tuwe waislamu

Ni mdini na yupo uninformed. Yeye ilimradi ni kikundi Cha kiislamu hajali.
 
Mtu wa mpwapwa Dodoma anaposhabikia Hezbollah anakuwa na interest zipi? NISAIDIE NDUGU YANGU USINICHOKE

Anakuwa Hana interest zaidi ya ushabiki wa kijinga. Hizbollah imeifanya Lebanon Kama koloni lake. Yani Hizbollah Wana nguvu kuliko jeshi la Taifa na pia Wana mamlaka kuliko serikali. Kama hawamtaki Waziri Mkuu wa Lebanon wanamuua Kama walivyofanya kwa Waziri Mkuu wa Lebanon Rafeek Hariri aliyeuawa na Hizbollah kisa alitofautiana nao. Ni kama Tanzania kuwepo na JWTZ na jeshi la watu wasio julikana, na jeshi la watu wasiojulikana liwe na nguvu kuliko JWTZ. Ukijifanya unawapinga wanakumaliza na hakuna wakuwafanya lolote.

Hivyo, Israel ikiwamaliza Hawa Hizbollah itakuwa imerudisha heshima ya Lebanon na serikali yake. Kwa maana nyingine serikali itafanya kazi kwa uhuru na jeshi litakuwa na nguvu ya kulinda mipaka ya nchi.
 
Anakuwa Hana interest zaidi ya ushabiki wa kijinga. Hizbollah imeifanya Lebanon Kama koloni lake. Yani Hizbollah Wana nguvu kuliko jeshi la Taifa na pia Wana mamlaka kuliko serikali. Kama hawamtaki Waziri Mkuu wa Lebanon wanamuua Kama walivyofanya kwa Waziri Mkuu wa Lebanon Rafeek Hariri aliyeuawa na Hizbollah kisa alitofautiana nao. Ni kama Tanzania kuwepo na JWTZ na jeshi la watu wasio julikana, na jeshi la watu wasiojulikana liwe na nguvu kuliko JWTZ. Ukijifanya unawapinga wanakumaliza na hakuna wakuwafanya lolote.

Hivyo, Israel ikiwamaliza Hawa Hizbollah itakuwa imerudisha heshima ya Lebanon na serikali yake. Kwa maana nyingine serikali itafanya kazi kwa uhuru na jeshi litakuwa na nguvu ya kulinda mipaka ya nchi.
Daaah! Wote wanaoishabikia Hezbollah ni wapumbavu wao na wazazi wao
 
Watu wa syria jana na leo ni sikukuu aisee mtu shazi wanashangilia siku nzima.
 
Baada ya Taarifa ya kifo Cha Nasrallah kutoka, nimeshangaa raia wengi wa Syria hasa eneo la Idlib wakishangilia kifo Cha Nasrallah. Ninachojiuliza ni kivipi kifo Cha Nasrallah huko Lebanon kinawafanya raia wa nchi nyingine ya Syria kushangilia. Tena wakisema Allahu Akbar!!!.

Mwenye jibu anisaidie.
Hizbollah ni mshrika wa wa rais wa Syia, Asad. Chini ya huyu kiongozi, Hizbollar imepeleka wapiganaji wengi Syria kwenda kumsaidia Asad kupigana na wananachi wanaompinga.
 
Hemu nisaidie role ya Hezbollah hapo Mashariki ya kati ni ipi? Hemu nieleweshe vzr kabsa nielewe vyema naje uwepo wake una tija kuliko kisingekuwepo hiki kikundi? Tija nina maanisha amani na ustawi wa Mashariki ya kati
Hezbollah ni jeshi la Iran lenye lengo la kuwanyang'anya Wayahudi Ardhi yao
 
Back
Top Bottom