Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mpumbavu , unajua maana ya Gaidi wewe ,,?
Unajua ni mission gani Hezbollah wameshiriki hapo mashariki ya kati hasa Syria wewe ,zoba ?
Gaidi anapigana na ISIS na Al nusra ,(Alqaida branch) iliyofadhiliwa na Marekani ili kuiangusha serikali ya Assad ?
Muwe mnatafiti mambo na kuacha kuandika upuuzi
Yan islamic countries ni rahisi sn kuwatawala na kuwapiganisha, ww cheza na sunn na Shia, sambaza propaganda Kwa Wasunni kuwa rais ni Mshia anawapendelea washia, hilo Tu, watarudi kwenye Quran then watakuja na adhabu Rais apindulie na kuuwawa.
Ww kaa pembeni Kula fegi, utaona wanavyouana, then baadae jiokotee mafuta utakavyo, waunge mkono wassuni walioshika madaraka baada ya vita.
Njoo tena baadae wape silaha washia kumbuka Wana visasi mioyoni mwao juu ya kutolewa Rais wao, vita vitaanza tena and vice versa is true and working.
Vitabu vyao vinawadanganya sn , just check wanachoamini now, Kwa Israel hawaitanbui wakati Quran inawataja na kuwatambua.
Nafikiri uwezo mdogo wa waraabu katika elimu dunia ndo shida.
Kwani Kuna kiongozi ambaye hajawahi kuchokwa duniani? Huyo mzazi tu kunawatoto wanasubiri afe Ili wauze nyumbaKweli kabisa mkuu
Hemu nisaidie role ya Hezbollah hapo Mashariki ya kati ni ipi? Hemu nieleweshe vzr kabsa nielewe vyema naje uwepo wake una tija kuliko kisingekuwepo hiki kikundi? Tija nina maanisha amani na ustawi wa Mashariki ya katiWewe ni mpumbavu , unajua maana ya Gaidi wewe ,,?
Unajua ni mission gani Hezbollah wameshiriki hapo mashariki ya kati hasa Syria wewe ,zoba ?
Gaidi anapigana na ISIS na Al nusra ,(Alqaida branch) iliyofadhiliwa na Marekani ili kuiangusha serikali ya Assad ?
Muwe mnatafiti mambo na kuacha kuandika upuuzi
Lakini wewe binafsi uliwacheza watu waliposema gaidi kiongozi wa Hezbollah kafa that means na wewe ni mbaka taarifa hukutaka kuamini kama bwana yako kafaPropaganda hizo.
Wasyria qanashangilia kusambaratishwa ngome (base) ya marekani iliyopo Syria, inayoitwa conoco.
Mazayuni mabwabwa wenzao hawaleti hizo habari. Marufuku.
Ngome hiyo imesambaratishwa kiasi ambacho haijulikani nani au wangapi wametoka salama.
Wasyria walipokuwa wanashangilia hilo wabakaji wa habari wakaligeuza.
Mkuu zhang laoshi Salam kwako. Hivi Wasuni na Washia utofauti wao si unatokana tu mitizamo michache juu ya Quran? Mbona ulivyoeleza hapa inaonekana issue sio mitizamo (perspective) juu ya Quran bali uadui na visasi? Je mkuu zhang laoshi Quran inaruhusu Uadui & Visasi? Je wakuu wote akiwamo FaizaFixy naomba kuelimishwa hivi kwenye kuiamamini Quran, mtume na zile Sala tano hakuna provision ya mtu kupata Devine editing ya Moyo wake ili usiwe pahala pa shetani kupajaza uadui, visasi na magomvi? Kwa mtizamo wangu tatizo kuu la mwanadamu ni uovu wa Moyo na sio mtizamo.
Ahsante
Pengine alikuwa kama bashite au mavweleBaada ya Taarifa ya kifo Cha Nasrallah kutoka, nimeshangaa raia wengi wa Syria hasa eneo la Idlib wakishangilia kifo Cha Nasrallah. Ninachojiuliza ni kivipi kifo Cha Nasrallah huko Lebanon kinawafanya raia wa nchi nyingine ya Syria kushangilia. Tena wakisema Allahu Akbar!!!.
Mwenye jibu anisaidie.
Propaganda hizo.
Wasyria qanashangilia kusambaratishwa ngome (base) ya marekani iliyopo Syria, inayoitwa conoco.
Mazayuni mabwabwa wenzao hawaleti hizo habari. Marufuku.
Ngome hiyo imesambaratishwa kiasi ambacho haijulikani nani au wangapi wametoka salama.
Wasyria walipokuwa wanashangilia hilo wabakaji wa habari wakaligeuza.
Hemu nisaidie role ya Hezbollah hapo Mashariki ya kati ni ipi? Hemu nieleweshe vzr kabsa nielewe vyema naje uwepo wake una tija kuliko kisingekuwepo hiki kikundi? Tija nina maanisha amani na ustawi wa Mashariki ya kati