mbarika JF-Expert Member Joined Apr 1, 2015 Posts 6,290 Reaction score 8,600 Sep 29, 2024 #81 Accumen Mo said: Sunni hao na wale ni shia....Angalia mavazi yao ndio utajua . Click to expand... Mavaz yao yapoje mkuu
Accumen Mo said: Sunni hao na wale ni shia....Angalia mavazi yao ndio utajua . Click to expand... Mavaz yao yapoje mkuu
joseph_mbeya JF-Expert Member Joined Nov 20, 2023 Posts 1,123 Reaction score 2,935 Sep 29, 2024 #82 econonist said: Na sababu ya kuchukiana ni ndogo Sana. Wanapishana kwenye mrithi halali wa Mtume Muhammad ni nani. Click to expand... kiufupi kila mmoja anajiona yupo sahihi ni sawa na wasabato na makanisa mengine ya kikrito kuhusu siku ya kuabudu na ulaji wa vyakula
econonist said: Na sababu ya kuchukiana ni ndogo Sana. Wanapishana kwenye mrithi halali wa Mtume Muhammad ni nani. Click to expand... kiufupi kila mmoja anajiona yupo sahihi ni sawa na wasabato na makanisa mengine ya kikrito kuhusu siku ya kuabudu na ulaji wa vyakula