Hivi jamani Musiba yuko wapi siku hizi mbona kazimika ghafla kama mshumaa?Mataga ndani ya siku hizo hizo 100 zikifika utawasikia tena ,hawa ni zao la kipindi cha (wenye akili wanyamazapo wapumbavu uongezeka ) kina musiba hao
Hao woote wanao mbeza na kutoa kasoro ni wale waliokuwa wanufaika wa utawala wa awamu ya 5.Watu wa CCM mmepoteza dira sasa mnasema amepoteza mvuto, poleni sana watu mliozoea kufokewa na kuitwa Wanyonge. Rais wetu Samia ni Mama. Toka lini mama akapoteza mvuto kwa watoto wake.
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Hapo unataka kuwaumiza kabisa ukiwaambia hadi 2030 maana wanajipanga 2025 wafanye kila hila waingize mmoja wa wana sukuma gang ili aendelee kuwabeba.Kwani amekuambia anahitaji kura yako wakati atake asitake mpaka 2030
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Meku huyo siyo Bwashee ni NgoshaInawezekana wewe ndio umepoteza mvuto bwashee!
Ndio wataona tutakavyo gawana mbaoHapo unataka kuwaumiza kabisa ukiwaambia hadi 2030 maana wanajipanga 2025 wafanye kila hila waingize mmoja wa wana sukuma gang ili aendelee kuwabeba.
Tatizo tulishazoea kufokewa na kupigwa mkwara na kufyata mikia......ila kuna kaukweli kwa style ya Mama has ile ripoti ya BOT imekuwa kimya ghafla.....kuna miamba inatakiwa ing'oleweJamani wafuasi wa Jiwe hebu muacheni Mama afanye kazi zake. Mbona Jiwe kila alipohutubia ni yale yale. Alikuwa na mapya yapi au msisimko upi?!
Kwa ujumla unayoyaona ni madhaifu yaliomo ndani ya chama. Na tusitarajie makuuubwa kwa mama , kwa sababu waliomzunguka kuanzia usalama, chamani, serikalini all most ni wale wale.
Hayo majamaa ni wa hovyo sana wanajiona wao ndiyo wenye umiliki wa hii nchi.
Tumpe muda hata miaka miwili tuone..Habari wanaJF,
Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi
Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana ndani ya muda mfupi.
Nadhani yafuatayo yamechangia yeye kupoteza mvuto kwa kasi:
- Hotuba zake zimekosa msisimko, nadhani ni kwasababu Waandishi wake wamekuwa waki-copy na kupaste hotuba zake. Kila hotuba tunasikia yale yale (Taifa kufiwa, Jinsia yake, lazima aombe epewe muda nk)
- Wizara ya Habari inamuangusha kwa 100% watu wanatamani kuona ubabaishaji unaondoka Serikalini lakini ndani ya wiki Moja Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imetoa maboko mara mbili (1: BASATA na Wasanii, 2: Mechi ya Simba SC vs Yanga SC)
- Kuendelea kuwepo Madarakani kwa baadhi ya Watendaji ambao Wananchi tuliamini walipaswa kuondoka baada ya zama za Mwendazake kuisha. Ameondoka mmoja tu, yule aliyekuwa boss wa Manispaa ya Temeke. Lakini bado kuna wengine wengi wanapaswa kupumzishwa.
Hayo ni kwa uchache, nakushauri fanya yafuatayo kujinusuru dhidi ya chuki na visirani vya Wananchi kabla haujachelewa.
- Safisha Serikali yako, baki na watu Wenye weledi tu (mfano ni Mama wa Afya anapaswa kupumzika ametulaghai sana)
- Kama kuna wafungwa wa kisiasa basi nakusihi wape uhuru wao. Familia zao zinawapenda na kuwahitaji.
- Ile ripoti ya matumizi ya fedha Serikalini ambayo uliomba bado haijakamilika? kama tayari basi tuweke wazi na ikiwezekana watu wawajibike kama kuna makandokando
- Usijidanganye ukaendelea kugawa Mabenz ya Serikali au ya fedha za walipa Kodi. Wananchi hatuoni mantiki ya kufanya hivyo.
- Acha kuwa na hotuba zinazojirudia rudia. Siku hizi ukianza tu tunajua unakoelekea.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Hayo ndiyo maombi yao na bado wanasubiri ufuguko maana wanajidanganya kuwa ni malaikaMama yupo fair sana.....tumpe muda tu.
Kwani nyie mnatamani JPM arudi, ama?
Yeye kama Amiri jeshi mkuu lazima awe na huo ubavu
Mbona umepaniki Maisha yenyewe hayahaya unapata pressure tulia Mama ndio RaisWho said kwamba JPM alikuwa bora?
Au kwamba tunataka afufuke?
Acheni kuwa insecure, kila anayewakosoa mnakimbilia kumtaja JPM, that man was disgrace, we thought his death will get us better but it is looking like we got the worst.
Rais wa wapi tena? Au Karia wa TFF?Habari wanaJF,
Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi
Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana ndani ya muda mfupi.
Nadhani yafuatayo yamechangia yeye kupoteza mvuto kwa kasi:
- Hotuba zake zimekosa msisimko, nadhani ni kwasababu Waandishi wake wamekuwa waki-copy na kupaste hotuba zake. Kila hotuba tunasikia yale yale (Taifa kufiwa, Jinsia yake, lazima aombe epewe muda nk)
- Wizara ya Habari inamuangusha kwa 100% watu wanatamani kuona ubabaishaji unaondoka Serikalini lakini ndani ya wiki Moja Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imetoa maboko mara mbili (1: BASATA na Wasanii, 2: Mechi ya Simba SC vs Yanga SC)
- Kuendelea kuwepo Madarakani kwa baadhi ya Watendaji ambao Wananchi tuliamini walipaswa kuondoka baada ya zama za Mwendazake kuisha. Ameondoka mmoja tu, yule aliyekuwa boss wa Manispaa ya Temeke. Lakini bado kuna wengine wengi wanapaswa kupumzishwa.
Hayo ni kwa uchache, nakushauri fanya yafuatayo kujinusuru dhidi ya chuki na visirani vya Wananchi kabla haujachelewa.
- Safisha Serikali yako, baki na watu Wenye weledi tu (mfano ni Mama wa Afya anapaswa kupumzika ametulaghai sana)
- Kama kuna wafungwa wa kisiasa basi nakusihi wape uhuru wao. Familia zao zinawapenda na kuwahitaji.
- Ile ripoti ya matumizi ya fedha Serikalini ambayo uliomba bado haijakamilika? kama tayari basi tuweke wazi na ikiwezekana watu wawajibike kama kuna makandokando
- Usijidanganye ukaendelea kugawa Mabenz ya Serikali au ya fedha za walipa Kodi. Wananchi hatuoni mantiki ya kufanya hivyo.
- Acha kuwa na hotuba zinazojirudia rudia. Siku hizi ukianza tu tunajua unakoelekea.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Swali la kitoto,kipumbavu.Amekosa mvuto kwa naniπ³π³
Au namna gani jameni?πππππHabari wanaJF,
Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi
Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana ndani ya muda mfupi.
Nadhani yafuatayo yamechangia yeye kupoteza mvuto kwa kasi:
- Hotuba zake zimekosa msisimko, nadhani ni kwasababu Waandishi wake wamekuwa waki-copy na kupaste hotuba zake. Kila hotuba tunasikia yale yale (Taifa kufiwa, Jinsia yake, lazima aombe epewe muda nk)
- Wizara ya Habari inamuangusha kwa 100% watu wanatamani kuona ubabaishaji unaondoka Serikalini lakini ndani ya wiki Moja Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imetoa maboko mara mbili (1: BASATA na Wasanii, 2: Mechi ya Simba SC vs Yanga SC)
- Kuendelea kuwepo Madarakani kwa baadhi ya Watendaji ambao Wananchi tuliamini walipaswa kuondoka baada ya zama za Mwendazake kuisha. Ameondoka mmoja tu, yule aliyekuwa boss wa Manispaa ya Temeke. Lakini bado kuna wengine wengi wanapaswa kupumzishwa.
Hayo ni kwa uchache, nakushauri fanya yafuatayo kujinusuru dhidi ya chuki na visirani vya Wananchi kabla haujachelewa.
- Safisha Serikali yako, baki na watu Wenye weledi tu (mfano ni Mama wa Afya anapaswa kupumzika ametulaghai sana)
- Kama kuna wafungwa wa kisiasa basi nakusihi wape uhuru wao. Familia zao zinawapenda na kuwahitaji.
- Ile ripoti ya matumizi ya fedha Serikalini ambayo uliomba bado haijakamilika? kama tayari basi tuweke wazi na ikiwezekana watu wawajibike kama kuna makandokando
- Usijidanganye ukaendelea kugawa Mabenz ya Serikali au ya fedha za walipa Kodi. Wananchi hatuoni mantiki ya kufanya hivyo.
- Acha kuwa na hotuba zinazojirudia rudia. Siku hizi ukianza tu tunajua unakoelekea.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Kwani uraisi wake ulimpigia kurakwa sisi wapiga kura
Tundu hajawahi kuwa Rais au Salumu Mwalimu hajawahi kuwa makamu wa Rais ukapima performance yao.Wape kwanza hayo madaraka ndiyo uwalinganishe.una mawazo ya kijinga sana.sijui mara nyingi unawaza kwa kutumia nini.Usiniwekee maneno mdomoni..... nimeachana na nani?
Serikali yetu ipo imara
Huwezi mlinganisha SAMIA SULUHU au DR MPANGO na SALUM MWALIMU au TUNDU
Ungesoma post niliyo i quote naamini ungeuliza jambo ambalo umelielewaHata magu na yeye alikua amiri jeshi, yuko wapi sasa hiv ??