Kwanini Rais amepoteza mvuto kabla ya kutimiza siku 100?

Kwanini Rais amepoteza mvuto kabla ya kutimiza siku 100?

Habari wanaJF,

Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi

Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana ndani ya muda mfupi.

Nadhani yafuatayo yamechangia yeye kupoteza mvuto kwa kasi:

- Hotuba zake zimekosa msisimko, nadhani ni kwasababu Waandishi wake wamekuwa waki-copy na kupaste hotuba zake. Kila hotuba tunasikia yale yale (Taifa kufiwa, Jinsia yake, lazima aombe epewe muda nk)

- Wizara ya Habari inamuangusha kwa 100% watu wanatamani kuona ubabaishaji unaondoka Serikalini lakini ndani ya wiki Moja Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imetoa maboko mara mbili (1: BASATA na Wasanii, 2: Mechi ya Simba SC vs Yanga SC)

- Kuendelea kuwepo Madarakani kwa baadhi ya Watendaji ambao Wananchi tuliamini walipaswa kuondoka baada ya zama za Mwendazake kuisha. Ameondoka mmoja tu, yule aliyekuwa boss wa Manispaa ya Temeke. Lakini bado kuna wengine wengi wanapaswa kupumzishwa.

Hayo ni kwa uchache, nakushauri fanya yafuatayo kujinusuru dhidi ya chuki na visirani vya Wananchi kabla haujachelewa.

- Safisha Serikali yako, baki na watu Wenye weledi tu (mfano ni Mama wa Afya anapaswa kupumzika ametulaghai sana)

- Kama kuna wafungwa wa kisiasa basi nakusihi wape uhuru wao. Familia zao zinawapenda na kuwahitaji.

- Ile ripoti ya matumizi ya fedha Serikalini ambayo uliomba bado haijakamilika? kama tayari basi tuweke wazi na ikiwezekana watu wawajibike kama kuna makandokando

- Usijidanganye ukaendelea kugawa Mabenz ya Serikali au ya fedha za walipa Kodi. Wananchi hatuoni mantiki ya kufanya hivyo.

- Acha kuwa na hotuba zinazojirudia rudia. Siku hizi ukianza tu tunajua unakoelekea.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Kuna Asilimia 15 watamuunga mkono kwa nguvu zote, kunanyingine 15% watapinga kila kitu na kuna 70% wanasubiti kushawishiwa na matokeo. Jitambue uko wapi.

Ila sisi tumeshachukua viti vya mbele kabisa, tunakwenda na Rais SSH
 
Hamna Rais humu, uliona wapi Rais naye analalamika kama wananchi badala ya kutoa ufumbuzi!
kuna rais alikuwa analalamika kila siku kuwa tuliibiwa sana wakati yeye alilitumikia taifa kwa vyeo mbalimbali chini ya utawala dhalimu wa ccm,Hivi yule mtu alikuwa anaitwa nani?
 
Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi

Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana ndani ya muda mfupi.
Hivi bado hamjaona kuna mtu ameshika remote control!!!?
 
Usimfananishe jiwe na Mother Teresa , jina lake tu lenyewe lilikua ni tishio, JIWE they didn’t call him for nothing , he was unshakable, alikua ni kiongozi wa aina yake, kumfananisha na vituko vingine ni kumkosea heshima... ebu kaa kwa kutulia
Woyooooooooooooh binamu.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Kwani hawajui si wanajifanya tu kupoteza aibu zao, maana walijua huyu atakua kiboko ya magu kumbe gegedu so itabid tu wamsifie kiunafik ila ukweli wanaujua kuwa tumepigwa hamna kitu hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Kama kiongozi unatakiwa kukemea na kufokea pale inapobidi, haiwezekan kuona sehemu flan inafanya uozo then unarembesha tu sauti kama unataka kukata roho hivi unadhan kuna atakayekusikiliza? Magu he was a great leader c tukubali tu , hata kama Alikua dictator but alikua anajua anachokifanya hakuyumbishwa hovyo wala alikua hafanyi kazi kwa kufuraisha matajiri, yeye alikua busy na maskin wenzake

Mother Teresa kuingia tu madarakan, kashaanza kudemka, mara uganda, mara kenya, mara kaanza kugawa ma Benz , mara wawekezaji sasa wamepewa full support kuingia nchin bila kikwazo, come on guys really ? This is so digusting n annoying
Mother Theresa yupo buzzy kugawa takrima kwa wastaafu, kuzurura na kutoa mipasho ya kipemba ktk hotuba zake za uozo. [emoji23][emoji23][emoji23] anakera sana huyu bi mdashi.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Magu alikua jembe bwana, akisema leo watu wote hakuna kuvaa nguo utaona jiji zima liko uchi[emoji23], c mtoto sio mzee, Mungu amuweke panapostahili, baba wa watu kazi aliifanya kwa kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzee fulan mstaafu na genge lao waliufyata, kwa mwamba kutoka chattle.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Habari wanaJF,

Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi

Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana ndani ya muda mfupi.

Nadhani yafuatayo yamechangia yeye kupoteza mvuto kwa kasi:

- Hotuba zake zimekosa msisimko, nadhani ni kwasababu Waandishi wake wamekuwa waki-copy na kupaste hotuba zake. Kila hotuba tunasikia yale yale (Taifa kufiwa, Jinsia yake, lazima aombe epewe muda nk)

- Wizara ya Habari inamuangusha kwa 100% watu wanatamani kuona ubabaishaji unaondoka Serikalini lakini ndani ya wiki Moja Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imetoa maboko mara mbili (1: BASATA na Wasanii, 2: Mechi ya Simba SC vs Yanga SC)

- Kuendelea kuwepo Madarakani kwa baadhi ya Watendaji ambao Wananchi tuliamini walipaswa kuondoka baada ya zama za Mwendazake kuisha. Ameondoka mmoja tu, yule aliyekuwa boss wa Manispaa ya Temeke. Lakini bado kuna wengine wengi wanapaswa kupumzishwa.

Hayo ni kwa uchache, nakushauri fanya yafuatayo kujinusuru dhidi ya chuki na visirani vya Wananchi kabla haujachelewa.

- Safisha Serikali yako, baki na watu Wenye weledi tu (mfano ni Mama wa Afya anapaswa kupumzika ametulaghai sana)

- Kama kuna wafungwa wa kisiasa basi nakusihi wape uhuru wao. Familia zao zinawapenda na kuwahitaji.

- Ile ripoti ya matumizi ya fedha Serikalini ambayo uliomba bado haijakamilika? kama tayari basi tuweke wazi na ikiwezekana watu wawajibike kama kuna makandokando

- Usijidanganye ukaendelea kugawa Mabenz ya Serikali au ya fedha za walipa Kodi. Wananchi hatuoni mantiki ya kufanya hivyo.

- Acha kuwa na hotuba zinazojirudia rudia. Siku hizi ukianza tu tunajua unakoelekea.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Jumong hana uwezo wowote
 
Magu alikua jembe bwana, akisema leo watu wote hakuna kuvaa nguo utaona jiji zima liko uchi[emoji23], c mtoto sio mzee, Mungu amuweke panapostahili, baba wa watu kazi aliifanya kwa kweli
Nmezoea kuku ona kwenye jukwaa la heka heka kumbe na huku unafika
 
Nchi Nzima mwanaume alikua ni yeye tu, akisema kitu kinakua, nchi ilikua na adabu, nchi ilikua inaenda kunakostahili, dunia nzima ilitamani uongozi wake, hakuyumbishwa wala kuogopa chochote, roho inaniuma sana Jaman , Ina maana watu haya yote hawayakuona kutoka kwa magu kweli??
Mazuri 95 huharibiwa na mabaya matano (5). Hayo mabaya hata wewe unayajua (yeye hakuwa malaika kwamba asifanye mabaya) . Alianza vizuri sana nchi nzima ikampokea, lakini baadaye wewe wajua.
 
Habari wanaJF,

Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi

Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana ndani ya muda mfupi.

Nadhani yafuatayo yamechangia yeye kupoteza mvuto kwa kasi:

- Hotuba zake zimekosa msisimko, nadhani ni kwasababu Waandishi wake wamekuwa waki-copy na kupaste hotuba zake. Kila hotuba tunasikia yale yale (Taifa kufiwa, Jinsia yake, lazima aombe epewe muda nk)

- Wizara ya Habari inamuangusha kwa 100% watu wanatamani kuona ubabaishaji unaondoka Serikalini lakini ndani ya wiki Moja Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imetoa maboko mara mbili (1: BASATA na Wasanii, 2: Mechi ya Simba SC vs Yanga SC)

- Kuendelea kuwepo Madarakani kwa baadhi ya Watendaji ambao Wananchi tuliamini walipaswa kuondoka baada ya zama za Mwendazake kuisha. Ameondoka mmoja tu, yule aliyekuwa boss wa Manispaa ya Temeke. Lakini bado kuna wengine wengi wanapaswa kupumzishwa.

Hayo ni kwa uchache, nakushauri fanya yafuatayo kujinusuru dhidi ya chuki na visirani vya Wananchi kabla haujachelewa.

- Safisha Serikali yako, baki na watu Wenye weledi tu (mfano ni Mama wa Afya anapaswa kupumzika ametulaghai sana)

- Kama kuna wafungwa wa kisiasa basi nakusihi wape uhuru wao. Familia zao zinawapenda na kuwahitaji.

- Ile ripoti ya matumizi ya fedha Serikalini ambayo uliomba bado haijakamilika? kama tayari basi tuweke wazi na ikiwezekana watu wawajibike kama kuna makandokando

- Usijidanganye ukaendelea kugawa Mabenz ya Serikali au ya fedha za walipa Kodi. Wananchi hatuoni mantiki ya kufanya hivyo.

- Acha kuwa na hotuba zinazojirudia rudia. Siku hizi ukianza tu tunajua unakoelekea.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Wewe kwa ufupi tu kama yule mnyama anaezaa na kula watoto wake .You are simply an empty head not proportional with your board
 
Mbona Mumewe yeye anamuona vingine,
Anasema anazidi kuwa Mrembo sikuhizi!
Sasa sijui nyie mnatakaje?

Mushazowea Kufokewa nini Na Mwenda zake na Kupewa haki zenu kwa Masumbulizi kama Munaokirimiwa?
Ukisikia utwana Huu ndio utwana wenyewe.
Mwacheni mama atandike safu zake vizuri taratibu ,bado ni mapema sana kwa mtu mwenye busara zilizotimia kama Mama etu SASHA asiyekuwa limbukeni wa uongozi.Hatua kwa hatua anaibadili taswira ya Tanzania nje na ndani.
Anasimika muhimili wa haki na uwazi ambao ulikuwa umetoweka kabisa.

Kesi zote za uzushi zinashugullikiwa kwa spidi ya mwanga, wafanya biashara waliodhulumiwa kurudishiwa haki zao.
Taratibu Mama anawafundisha Watanzania namna bora ya kutawala raia ILI MUNGU AWE NASI KAMA TAIFA NI LAZIMA HAKI ISIMAMIWE.

Mulisha zowea kusikia Kiongozi kujinasibu Ucha munguna upenzi wa mungu, huku wananchi wanalia kwa dhuluma wanazofanyiwa pengine kwa amri kutoka juu.

Mama Hajinasibu kabisa na Ucha Mungu ,bali anatenda haki kimya kimya.

Labda Haya ndiyo musiyoyataka?
 
Pamoja na madhaifu yake mfano kutengeneza 'kanda pendwa' Jiwe alikuwa mashine kubwa.
 
Habari wanaJF,

Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi

Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana ndani ya muda mfupi.

Nadhani yafuatayo yamechangia yeye kupoteza mvuto kwa kasi:

- Hotuba zake zimekosa msisimko, nadhani ni kwasababu Waandishi wake wamekuwa waki-copy na kupaste hotuba zake. Kila hotuba tunasikia yale yale (Taifa kufiwa, Jinsia yake, lazima aombe epewe muda nk)

- Wizara ya Habari inamuangusha kwa 100% watu wanatamani kuona ubabaishaji unaondoka Serikalini lakini ndani ya wiki Moja Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imetoa maboko mara mbili (1: BASATA na Wasanii, 2: Mechi ya Simba SC vs Yanga SC)

- Kuendelea kuwepo Madarakani kwa baadhi ya Watendaji ambao Wananchi tuliamini walipaswa kuondoka baada ya zama za Mwendazake kuisha. Ameondoka mmoja tu, yule aliyekuwa boss wa Manispaa ya Temeke. Lakini bado kuna wengine wengi wanapaswa kupumzishwa.

Hayo ni kwa uchache, nakushauri fanya yafuatayo kujinusuru dhidi ya chuki na visirani vya Wananchi kabla haujachelewa.

- Safisha Serikali yako, baki na watu Wenye weledi tu (mfano ni Mama wa Afya anapaswa kupumzika ametulaghai sana)

- Kama kuna wafungwa wa kisiasa basi nakusihi wape uhuru wao. Familia zao zinawapenda na kuwahitaji.

- Ile ripoti ya matumizi ya fedha Serikalini ambayo uliomba bado haijakamilika? kama tayari basi tuweke wazi na ikiwezekana watu wawajibike kama kuna makandokando

- Usijidanganye ukaendelea kugawa Mabenz ya Serikali au ya fedha za walipa Kodi. Wananchi hatuoni mantiki ya kufanya hivyo.

- Acha kuwa na hotuba zinazojirudia rudia. Siku hizi ukianza tu tunajua unakoelekea.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Naunga mkono hoja, Rais hana mvuto, kimsingi hana jipya, jinsia ndo zimekuwa hotuba zake
 
Back
Top Bottom