Kwanini Rais amepoteza mvuto kabla ya kutimiza siku 100?

Usiniwekee maneno mdomoni..... nimeachana na nani?
Serikali yetu ipo imara
Huwezi mlinganisha SAMIA SULUHU au DR MPANGO na SALUM MWALIMU au TUNDU
Salum Mwalimu na Tundu wamewahi kuongoza serikali?

Ndio yale yale ya kujifanya kana kwamba CCM ndio kwanza imetutawala.

Amandla...
 
Salum Mwalimu na Tundu wamewahi kuongoza serikali?

Ndio yale yale ya kujifanya kana kwamba CCM ndio kwanza imetutawala.

Amandla...

Oook
Kumbe wangeshinda uchaguzi wangeongoza nini

Kweli Chadema ni wanaharakati🤔🤔🤔
 
Ndio mwenyewe sasa.JPM hafufuki move on maisha lazima yaendelee.Tulisema ajenge mifumo na sio mtu ndio mvumilie tu.Mama mitano tena

Who said kwamba JPM alikuwa bora?

Au kwamba tunataka afufuke?

Acheni kuwa insecure, kila anayewakosoa mnakimbilia kumtaja JPM, that man was disgrace, we thought his death will get us better but it is looking like we got the worst.
 
Ukiachilia mbali speech zake kukopi na kupest pia yeye mwenyewe jinsi anavyodeliver speech yenyewe inatoa mvuto kabisa aaaa. Kuna speech nyingi tu anainama mwanzo mwisho hiyo huwa inaboa Sana.
 
Sukuma gang mlikuwa mnafuja tu sasa teee ...hatutaki mvuto kinachotakiwa kutokuona maiti kwenye viroba coco beach..nchi imetulia tuliiii...
Kwamba nchi imetulia???? basi wewe hujui kinachoendelea nchini juu ya wastaafu wa nafasi za urais kulalamikiwa wakati ni haki zao kisheria, hujui kilichotokea Jmosi ya Dabi ya Simba na Yanga na mengine mengi! Fuatilia kisha utoe mrejesho iwapo kweli nchi imetulia!
 
Oook
Kumbe wangeshinda uchaguzi wangeongoza nini

Kweli Chadema ni wanaharakati🤔🤔🤔
Kumbe unazungumzia hisia zako? Watu hawajawahi kuwa Rais na Makamu wa Rais lakini unawafananisha na walioisha kuwa marais?
Unadhani uanaharakati ni tusi? Hata Nyerere mpaka Mwenyezi Mungu anamchukua alikuwa mwanaharaki.

Amandla....
 
Ukiachilia mbali speech zake kukopi na kupest pia yeye mwenyewe jinsi anavyodeliver speech yenyewe inatoa mvuto kabisa aaaa. Kuna speech nyingi tu anainama mwanzo mwisho hiyo huwa inaboa Sana.
Asante sana
 
Kumbe unazungumzia hisia zako? Watu hawajawahi kuwa Rais na Makamu wa Rais lakini unawafananisha na walioisha kuwa marais?
Unadhani uanaharakati ni tusi? Hata Nyerere mpaka Mwenyezi Mungu anamchukua alikuwa mwanaharaki.

Amandla....
Waligombea ili wawe nini kumbe🤣🤣🤣
 
[emoji120][emoji120][emoji106][emoji106]
 
[emoji120][emoji120]
 
16 bado ni Asilimia ndogo sana
Wewe mama ondoka huko kwenye mavyama. Sasahivi nchi imeshikwa na dereva asiyetaka aina hiyo ya makelele. Subiri uone na kama hujabadirika kisaikolojia, utaumia sana. Soon anakwenda kufanya yasiyowapendeza wana CCM, anamtazamo wa kitaifa huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…