Kwanini Rais Magufuli alimfunga Kabendera?

Kwanini Rais Magufuli alimfunga Kabendera?

Unafikiri kuchokonoa Ile mkataba ya kinyonyaji ya madini ni jambo rahisi ehee?? Unafikiri kila kiongozi WA kiafrika ana ujasiri wa kuwatikisa imperialists kama alivyokuwa anafanya Magu??

Hapa hatuongelei wizi na ulafi wa mafisadi ya ccm ambao ndio maadui wake wakubwa mpaka leo...!!

Huwezi ukaona risk taking aliyoifanya Magu enzi za uhai wake kama wewe ulikuwa ni mlamba makalio WA mafisadi na majizi ya rasilimali za taifa.
Ni kawaida ya mtawala yeyote kua na namna yake ya kuteka hadhira. Ya Magu ilikua babkubwa aliwaweza aisee.
 
Ni kawaida ya mtawala yeyote kua na namna yake ya kuteka hadhira. Ya Magu ilikua babkubwa aliwaweza aisee.
Umeandika kama kimama Cha uswahilini kikikunuu maneno ya kwenye nyimbo ya taarabu.

Akili zako ndogo sana kama kipande Cha vuzi.
 
Umeandika kama kimama Cha uswahilini kikikunuu maneno ya kwenye nyimbo ya taarabu.

Akili zako ndogo sana kama kipande Cha vuzi.
Hii mihemko yako ndivyo alivyokua marehemu mjomba wako (mwendazake). Na yeye kitu kidogo tu anapanick na kufukuza watu hovyo kwa tuhuma mbalimbali za kweli na zisizo za kweli bila tathmini wala chunguzi zozote.

Watu wa kariba yake ni wengi sana nchi hii(ukiwemo wewe) na ni rahisi wao kuelewana kwasababu wanaongea lugha moja( ujuha).
 
Kiufupi,haki haipo Kwa raia wasio wanachama wa chama cha Mapinduzi.

Haki ipo kwa;
1.Chawa
2.Mwanaccn
3.Msifiaji wa vyote
Tatizo linaanzia kwenye Katiba.
Hii ni Nchi inayoongoza kuwa na Raia ambao hawana tofauti na maiti zinazotembea
 
SWALI: kuna mwandishi mmoja aling'olewa meno na kutolewa kucha, akaenda Afrika kusini kutibiwa, anaitwa nani?? Siyo huyu Kabendera?
Hakuwa mwandishi bali ni Dr. Ulimboka aliyeorganise mgomo wa madaktari. Hii ilitokea kipindi cha Kikwete akiwa madarakani na si Magufuli.
 
Hii mihemko yako ndivyo alivyokua marehemu mjomba wako (mwendazake). Na yeye kitu kidogo tu anapanick na kufukuza watu hovyo kwa tuhuma mbalimbali za kweli na zisizo za kweli bila tathmini wala chunguzi zozote.

Watu wa kariba yake ni wengi sana nchi hii(ukiwemo wewe) na ni rahisi wao kuelewana kwasababu wanaongea lugha moja( ujuha).
Mimi kukwambia wewe akili zako nj ndogo kama punje ya mchele na kukuonesha kuwa hauna tofauti na vile vimama vya uswahilini Kwa hayo maneno uliyoandika hapa yenye vinasaba vya taarabu hapo haina mshabiano wowote ule na hulka yangu...

Wewe umebeza jitihada za Magufuli na Mimi nikakuuliza swali kwamba unafikiri alichokuwa anakifanya ni kazi rahisi? Badala ya kujibu kimantiki nilichokuuliza, badala yake unaniletea vijimaneno ambavyo havina kichwa Wala miguu.....!

Sasa Mimi na wewe ni nani mwenye mihemko hapa?

Akili huna kabisa wewe.
 
Kabendera alikuwa anatumika na watu wa nje kumhujumu Magufuli alitaka kupindua utawala wa Magu.
Mwandishi wa habari unaandika artcles 4 kwa mwezi kwenye akaunt yako unalipwa million 300. Unachomoa pesa unazitawanya kwa wakosoaji wa serikali mitandaoni. Hiyo investigative journalism kilikuwa kichaka cha money laundering alikuwa anatumika kwa kazi maalum kazi chafuu
Hizi ni porojo. Lete ushahidi wa kueleweka kuhusu hizo pesa.
Mpaka Sasa hivi ni dhairi kabisa huyo Kibendera sijui Kabendera ni aina ya waafrika ambao Wana mchango mkubwa sana kwenye machafuko yanayoendelea kwenye bara hili la Africa.

Siku zote adui hawezi akakudhuru pasipokupata support yoyote kutoka Kwa mwanafamilia Mmoja wapo anayetoka humo humo ndani kwako.

Machafuko na vikundi vya kigaidi tunavyoviona hapa Africa, waanzilishi au waliofanya vikastawi ni waafrika wenyewe hasa hawa waandish WA habari uchwara wanaojiita investigative journalists.

Ulienda kule Nigeria Kuna mtu Amed Salkida huyu ni mwandishi WA habari ambaye aliwahi kufanya kazi Ikulu enzi za raisi Olisegun Obasanjo, mwishoni mwa mwaka 2015 ilikuja kubainika kwamba anashirikiana bega Kwa bega na kundi la Boko Haram, ina maana mipangi yote ya serikali jamaa ndio alikuwa anaipenyeza enzi hizo Boko Haram inajiimarisha kule kwenye jimbo la Bono na kutengeneza himaya Yao.

So endapo kama Magufuli asingesimama kidete kipindi kile basi upo uwezekano mkubwa sana leo hii Kibiti isingekuwa na bandera ya Tanzania kabisa, na badala yake ingekuwa ni himaya ya magaidi ambayo yangeweza kutusumbua kizazi hadi kizazi, yaani Kwa ufupi na sisi tungekuwa na maboko Haram hapa nchini.

Wakati huo watu kama akina Kabendera ambao ndio chanzo Cha kustawi Kwa magaidi hayo familia zao hazipo nchini..

Kwa hiyo watu kama huyo Kibendera/Kabendera kishughulikiwa na serikali ya Magufuli ilikuwa ni Moja ya maamuzi Bora kabisa kufanyika wakati ule.

Sahihi kabisa, Hawa wanaomshabikia Kibendera/Kabendera leo hii, hawajui kwamba kazi anayoifanya ni sawa na Ile aliyoifanya Amed Salkida WA Nigeria...
JPM alikuwa mwoga na asiyependa kukosolewa. Alipenda kutawala hii nchi kama familia yake. Ndo maana alishindwa hata kumalizia miaka 10 madarakani kwa maana alishaanza kuwa kero secret services. Angekuwa mpole tu kama mzee Jk. anakula zake upepo wa bahari pale Msoga.
 
Kabendera ajiandae kabisa aandike na urithi!

Sidhani kama idara itavumilia kuvuliwa nguo kabisa kiasi hiki!kwamba ilimpitisha!!
 
Kama ni kweli huyu mwandishi ameandika ukweli kuhusu Beni, basi nae angeitwa ikulu na kufanyiwa kama Beni. Beni alikuwa mtu mdogo sana kuitwa ikulu.
 
Mpaka Sasa hivi ni dhairi kabisa huyo Kibendera sijui Kabendera ni aina ya waafrika ambao Wana mchango mkubwa sana kwenye machafuko yanayoendelea kwenye bara hili la Africa.

Siku zote adui hawezi akakudhuru pasipokupata support yoyote kutoka Kwa mwanafamilia Mmoja wapo anayetoka humo humo ndani kwako.

Machafuko na vikundi vya kigaidi tunavyoviona hapa Africa, waanzilishi au waliofanya vikastawi ni waafrika wenyewe hasa hawa waandish WA habari uchwara wanaojiita investigative journalists.

Ulienda kule Nigeria Kuna mtu Amed Salkida huyu ni mwandishi WA habari ambaye aliwahi kufanya kazi Ikulu enzi za raisi Olisegun Obasanjo, mwishoni mwa mwaka 2015 ilikuja kubainika kwamba anashirikiana bega Kwa bega na kundi la Boko Haram, ina maana mipangi yote ya serikali jamaa ndio alikuwa anaipenyeza enzi hizo Boko Haram inajiimarisha kule kwenye jimbo la Bono na kutengeneza himaya Yao.

So endapo kama Magufuli asingesimama kidete kipindi kile basi upo uwezekano mkubwa sana leo hii Kibiti isingekuwa na bandera ya Tanzania kabisa, na badala yake ingekuwa ni himaya ya magaidi ambayo yangeweza kutusumbua kizazi hadi kizazi, yaani Kwa ufupi na sisi tungekuwa na maboko Haram hapa nchini.

Wakati huo watu kama akina Kabendera ambao ndio chanzo Cha kustawi Kwa magaidi hayo familia zao hazipo nchini..

Kwa hiyo watu kama huyo Kibendera/Kabendera kishughulikiwa na serikali ya Magufuli ilikuwa ni Moja ya maamuzi Bora kabisa kufanyika wakati ule.

Sahihi kabisa, Hawa wanaomshabikia Kibendera/Kabendera leo hii, hawajui kwamba kazi anayoifanya ni sawa na Ile aliyoifanya Amed Salkida WA Nigeria...
Inaonekana Ukoo wao ni watu wa vurugu, watafuta pesa kwa style hii. Wazazi wake warijaribu uhuni wao huko kwao Rwanda, kusupport Ugaidi, kuanzisha machafuko wakatimuliwa, Baba yake Kabendera akajaribu hapa, Mkapa akamnyoosha, huyu naye akamjaribu JPM akanyooshwa vizuri tu.

Sasa ameamua alipize kisasi kwa kuandika uchafu wa aina zote unazoweza kumpa binadamu. Hii fiction, fantasy, horror movie yake imefeli itatapa audience, nafasi kwa wasio na uwezo wa kuchambua mambo wachache sana. Wengi wenye akili timamu wanajua it is work of fiction.

Dhamira yake ingefanikiwa hii nchi ingekuwa na machafuko kama nchi aliyoikimbia. Tulishukuru jeshi na uongozi wa wakati ule kusimama imara.
 
Mimi kukwambia wewe akili zako nj ndogo kama punje ya mchele na kukuonesha kuwa hauna tofauti na vile vimama vya uswahilini Kwa hayo maneno uliyoandika hapa yenye vinasaba vya taarabu hapo haina mshabiano wowote ule na hulka yangu...

Wewe umebeza jitihada za Magufuli na Mimi nikakuuliza swali kwamba unafikiri alichokuwa anakifanya ni kazi rahisi? Badala ya kujibu kimantiki nilichokuuliza, badala yake unaniletea vijimaneno ambavyo havina kichwa Wala miguu.....!

Sasa Mimi na wewe ni nani mwenye mihemko hapa?

Akili huna kabisa wewe.
Bila shaka wewe ni mnyonge mmojawapo mwendazake aliokua anajinasibu kuwapambania!!?
Hili povu lote ni la kutetea matangopori uliyolishwa?

Kuongoza watu sampuli yako ni rahisi sana.
 
Bila shaka wewe ni mnyonge mmojawapo mwendazake aliokua anajinasibu kuwapambania!!?
Hili povu lote ni la kutetea matangopori uliyolishwa?

Kuongoza watu sampuli yako ni rahisi sana.
Nani kalishwa matango pori zaidi ya wajinga na wapumbavu kama wewe ambao mnaamini maandishi ya huyo Kabendera yasiokuwa na substantial evidence ya aina yoyote?

Kwa akili yako mbovu ilivyo leo hii huyo Kabendera hata akisema Magufuli alimbaka mama yako mzazi bila uthibitisho wowote utamuamini kutoka na chuki ulizonazo Kwa Magufuli plus Imani kubwa uliyonayo Kwa Kabendera sio?

Mjinga kabisa wewe,
 
Kabendera alikuwa anatumika na watu wa nje kumhujumu Magufuli alitaka kupindua utawala wa Magu.
Mwandishi wa habari unaandika artcles 4 kwa mwezi kwenye akaunt yako unalipwa million 300. Unachomoa pesa unazitawanya kwa wakosoaji wa serikali mitandaoni. Hiyo investigative journalism kilikuwa kichaka cha money laundering alikuwa anatumika kwa kazi maalum kazi chafu.
Hv kwa akili yako tz inapinduliwa na mwandishi wa habari
 
Ndugu wanajamvi,

Tumesikia kuhusu kitabu kipya cha Erick Kabendera kinachoitwa "In the Name of the President: The Memoirs of a Jailed Journalist". Kabendera amefunguka kwa kina juu ya utawala wa Magufuli na madai ya udikteta. Hii inatufanya tujiulize maswali mengi kuhusu sababu halisi za kufungwa kwake.

Ni wazi kuwa Kabendera alikuwa mwandishi wa habari shupavu, lakini je, hatua za kumkamata na kumfungia zilikuwa za haki? Au zilikuwa juhudi za kumnyamazisha kwa sababu ya uandishi wake?

Kwa vile tunafahamu kwamba baadhi ya wanachama wetu hapa ni wafanyakazi wa idara za usalama, jeshi, na ulinzi, wafanyakazi wa ikulu na watumishi wa inner circle tunapenda kupata mitazamo yenu juu ya suala hili:

1. Je, ni nini hasa kilichosababisha Kabendera kuonekana tishio kwa utawala wa Magufuli?

2. Kuna ukweli wowote katika madai kuwa utawala huo ulitumia nguvu za dola kuzima uhuru wa vyombo vya habari?

3. Kwa maoni yenu, je, kufungwa kwa Kabendera kulikuwa na athari gani kwa tasnia ya uandishi wa habari na uhuru wa kujieleza nchini Tanzania?

4. Kwa nini utawala wa Magufuli ulikuwa na wasiwasi mkubwa juu ya waandishi wa habari huru kama Kabendera?

Tunaomba mjadala huu uwe wa kistaarabu, wa kina, na wa kuheshimu maoni tofauti. Ikiwezekana, tusaidiane kupata ukweli ili kuangazia mustakabali wa uhuru wa vyombo vya habari nchini mwetu. Jambo zuri ni kwmaba mzee hayupo tena kwa sababu kipindi cha utawala wake hadi hili jukwaa la siasa lilikuwa compromised. Niliwahi kupost threads zenye hoja na zilifutwa na maadmin bila sababu hali hii ikasababisha nilichukie sana hili jukwaa la siasa.

Karibuni kwa mjadala.

View attachment 3191541
Money laundry alikili na akarudisha .
 
Ku
Yaani mwandishi apindue nchi!,je alikuwa anamiliki jeshi?,,pili je ndo achukuliwe hatua kali kiasi hicho?kwani sheria yasemaje kwa mtu kama huyu,si ni kufunguliwa tu mashtaka mahakamani?,,
Na watubwana matope akili mwandishi gani kwa complex system ya tanzania mkiwq mnaandika husisheni akili
 
Inaonekana Ukoo wao ni watu wa vurugu, watafuta pesa kwa style hii. Wazazi wake warijaribu uhuni wao huko kwao Rwanda, kusupport Ugaidi, kuanzisha machafuko wakatimuliwa, Baba yake Kabendera akajaribu hapa, Mkapa akamnyoosha, huyu naye akamjaribu JPM akanyooshwa vizuri tu.

Sasa ameamua alipize kisasi kwa kuandika uchafu wa aina zote unazoweza kumpa binadamu. Hii fiction, fantasy, horror movie yake imefeli itatapa audience, nafasi kwa wasio na uwezo wa kuchambua mambo wachache sana. Wengi wenye akili timamu wanajua it is work of fiction.

Dhamira yake ingefanikiwa hii nchi ingekuwa na machafuko kama nchi aliyoikimbia. Tulishukuru jeshi na uongozi wa wakati ule kusimama imara.
Watu kama huyo Kabendera kuachwa waendelee kuwa hai ilikuwa ni mistake, hapo ndio Huwa namkubali PK Huwa anajua sana kudeal na watu WA aina hii ambao ni threat Kwa usalama WA taifa.... Ana bahati sana JPM hakuwa na uhodari WA kimafia kama Kagame, huyu asingekuwa hai kutuandikia huu ushuzi ambao hauna manufaa yoyote zaidi ya kupoza hasira zake na za wengine ambao Wana makovu kama yeye.

Eti investigative journalist halafu unaishia kuichunguza serikali Kwa manufaa ya watu WA nje, si ni uhaini huo? Kwanini asingechunguza kuhusu makinikia na uporaji WA rasilimali zingine lukuki unaofanywa nchini kwetu ambao wananchi wengi hatuujui? Yaani unaichunguza serikali kisha unashirikiana na magaidi yanayotishia kuangusha utawala, halafu ukishughulikiwa, umeonewa... Mbaya Zaid Kuna wapumbavu wanamuunga mkono, inatia hasira sana
 
Makosa ya Kabendera ni Kama ya baba yake Kabendera Shinan alipobanwa na SERIKALI ya Mkapa akaamua kujiua Ziwa Victoria Mwaka 2000,

Alionekana kutumiwa na majirani na bbc kufifisha Juhudi za Mkapa !

Mzee Kabendera ni Mnyarwanda aliyeishi katoMa bukoba , hata msiba wake Rwanda Ulitikisa aliacha baadhi ya ndugu zake Erik huko Rwanda


View attachment 3193545View attachment 3193546View attachment 3193547View attachment 3193548

Sijaona uhusiano wa Shinani na Erick kabendera...Sidhani hata kama walifahamiana achilia mbali undugu.
 
Kibendera kaandika kitabu Kwa ajili ya maslahi yake binafsi ya kufedha, pamoja na kujipa relief kutokana na uchungu alionao baada ya kuenyeshwa sana na serikali ya Magufuli uliompelekea kupoteza mzazi....!!

Na kafanya hivyo sababu Kuna wenzake wengi sana ambao bado wana uchungu kama yeye na wanahitaji relief ambapo wataipata kwa kumpa support ya kununua na kukisoma hicho kitabu.

Ila Kwa bahati mbaya kwao hakuna chochote kitakachabadili image na mitazamo waliyonayo watanzania kuhusu Magufuli.

Eti ameona aandike Kwa lugha ya kigeni kabisa hahahhaha..!!
HALAFU WATANZANIA WALA HAWAKO BIZE NA KUSOMA MAJALIDA NA HIYO LUGHA ALIYO TUMIA NDIYO KABISAAA HAKUNA ATAKEYE SOMA NA HAKINA IMPACT YOYOTE KWA TANZANIA NI KAMA KIGAZETI CHA UDAKU TU
 
Watu kama huyo Kabendera kuachwa waendelee kuwa hai ilikuwa ni mistake, hapo ndio Huwa namkubali PK Huwa anajua sana kudeal na watu WA aina hii ambao ni threat Kwa usalama WA taifa.... Ana bahati sana JPM hakuwa na uhodari WA kimafia kama Kagame, huyu asingekuwa hai kutuandikia huu ushuzi ambao hauna manufaa yoyote zaidi ya kupoza hasira zake na za wengine ambao Wana makovu kama yeye.

Eti investigative journalist halafu unaishia kuichunguza serikali Kwa manufaa ya watu WA nje, si ni uhaini huo? Kwanini asingechunguza kuhusu makinikia na uporaji WA rasilimali zingine lukuki unaofanywa nchini kwetu ambao wananchi wengi hatuujui? Yaani unaichunguza serikali kisha unashirikiana na magaidi yanayotishia kuangusha utawala, halafu ukishughulikiwa, umeonewa... Mbaya Zaid Kuna wapumbavu wanamuunga mkono, inatia hasira sana
Imagine alikuwa anaandika nakala za design hizo-hizo za uongo mtupu; kuichafua nchi.

Halafu kuna watu wanakwambia ndio demokrasia, hiyo.

I have always said Magufuli alikuwa soft kwa mtazamo wangu.

Watanzania anahitajika mtu wa kuingia madarakani na kuwanyoosha akili zao, thinking yetu and definition yetu ya ipo chini sana.

Watanzania wanadhani it’s ok to violate people au sijui nafasi za siasa ni birth right yake, kuiba serikalini ni haki yake and so forth of their nonsense.

Kabendera ni flag bearer tu wa permeating culture ya Tanzania hasa kwa wafanyakazi wa umma, serikalini (mawaziri) na ndani ya CCM.
 
Back
Top Bottom