Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Ni kawaida ya mtawala yeyote kua na namna yake ya kuteka hadhira. Ya Magu ilikua babkubwa aliwaweza aisee.Unafikiri kuchokonoa Ile mkataba ya kinyonyaji ya madini ni jambo rahisi ehee?? Unafikiri kila kiongozi WA kiafrika ana ujasiri wa kuwatikisa imperialists kama alivyokuwa anafanya Magu??
Hapa hatuongelei wizi na ulafi wa mafisadi ya ccm ambao ndio maadui wake wakubwa mpaka leo...!!
Huwezi ukaona risk taking aliyoifanya Magu enzi za uhai wake kama wewe ulikuwa ni mlamba makalio WA mafisadi na majizi ya rasilimali za taifa.
Nendeni mahakamani aje athibitisheUnaweza kuthibitisha hizi tuhuma unazomtupia Kabendera ?
Umeandika kama kimama Cha uswahilini kikikunuu maneno ya kwenye nyimbo ya taarabu.Ni kawaida ya mtawala yeyote kua na namna yake ya kuteka hadhira. Ya Magu ilikua babkubwa aliwaweza aisee.
Hii mihemko yako ndivyo alivyokua marehemu mjomba wako (mwendazake). Na yeye kitu kidogo tu anapanick na kufukuza watu hovyo kwa tuhuma mbalimbali za kweli na zisizo za kweli bila tathmini wala chunguzi zozote.Umeandika kama kimama Cha uswahilini kikikunuu maneno ya kwenye nyimbo ya taarabu.
Akili zako ndogo sana kama kipande Cha vuzi.
Hakuwa mwandishi bali ni Dr. Ulimboka aliyeorganise mgomo wa madaktari. Hii ilitokea kipindi cha Kikwete akiwa madarakani na si Magufuli.SWALI: kuna mwandishi mmoja aling'olewa meno na kutolewa kucha, akaenda Afrika kusini kutibiwa, anaitwa nani?? Siyo huyu Kabendera?
Mimi kukwambia wewe akili zako nj ndogo kama punje ya mchele na kukuonesha kuwa hauna tofauti na vile vimama vya uswahilini Kwa hayo maneno uliyoandika hapa yenye vinasaba vya taarabu hapo haina mshabiano wowote ule na hulka yangu...Hii mihemko yako ndivyo alivyokua marehemu mjomba wako (mwendazake). Na yeye kitu kidogo tu anapanick na kufukuza watu hovyo kwa tuhuma mbalimbali za kweli na zisizo za kweli bila tathmini wala chunguzi zozote.
Watu wa kariba yake ni wengi sana nchi hii(ukiwemo wewe) na ni rahisi wao kuelewana kwasababu wanaongea lugha moja( ujuha).
Hizi ni porojo. Lete ushahidi wa kueleweka kuhusu hizo pesa.Kabendera alikuwa anatumika na watu wa nje kumhujumu Magufuli alitaka kupindua utawala wa Magu.
Mwandishi wa habari unaandika artcles 4 kwa mwezi kwenye akaunt yako unalipwa million 300. Unachomoa pesa unazitawanya kwa wakosoaji wa serikali mitandaoni. Hiyo investigative journalism kilikuwa kichaka cha money laundering alikuwa anatumika kwa kazi maalum kazi chafuu
JPM alikuwa mwoga na asiyependa kukosolewa. Alipenda kutawala hii nchi kama familia yake. Ndo maana alishindwa hata kumalizia miaka 10 madarakani kwa maana alishaanza kuwa kero secret services. Angekuwa mpole tu kama mzee Jk. anakula zake upepo wa bahari pale Msoga.Mpaka Sasa hivi ni dhairi kabisa huyo Kibendera sijui Kabendera ni aina ya waafrika ambao Wana mchango mkubwa sana kwenye machafuko yanayoendelea kwenye bara hili la Africa.
Siku zote adui hawezi akakudhuru pasipokupata support yoyote kutoka Kwa mwanafamilia Mmoja wapo anayetoka humo humo ndani kwako.
Machafuko na vikundi vya kigaidi tunavyoviona hapa Africa, waanzilishi au waliofanya vikastawi ni waafrika wenyewe hasa hawa waandish WA habari uchwara wanaojiita investigative journalists.
Ulienda kule Nigeria Kuna mtu Amed Salkida huyu ni mwandishi WA habari ambaye aliwahi kufanya kazi Ikulu enzi za raisi Olisegun Obasanjo, mwishoni mwa mwaka 2015 ilikuja kubainika kwamba anashirikiana bega Kwa bega na kundi la Boko Haram, ina maana mipangi yote ya serikali jamaa ndio alikuwa anaipenyeza enzi hizo Boko Haram inajiimarisha kule kwenye jimbo la Bono na kutengeneza himaya Yao.
So endapo kama Magufuli asingesimama kidete kipindi kile basi upo uwezekano mkubwa sana leo hii Kibiti isingekuwa na bandera ya Tanzania kabisa, na badala yake ingekuwa ni himaya ya magaidi ambayo yangeweza kutusumbua kizazi hadi kizazi, yaani Kwa ufupi na sisi tungekuwa na maboko Haram hapa nchini.
Wakati huo watu kama akina Kabendera ambao ndio chanzo Cha kustawi Kwa magaidi hayo familia zao hazipo nchini..
Kwa hiyo watu kama huyo Kibendera/Kabendera kishughulikiwa na serikali ya Magufuli ilikuwa ni Moja ya maamuzi Bora kabisa kufanyika wakati ule.
Sahihi kabisa, Hawa wanaomshabikia Kibendera/Kabendera leo hii, hawajui kwamba kazi anayoifanya ni sawa na Ile aliyoifanya Amed Salkida WA Nigeria...
Inaonekana Ukoo wao ni watu wa vurugu, watafuta pesa kwa style hii. Wazazi wake warijaribu uhuni wao huko kwao Rwanda, kusupport Ugaidi, kuanzisha machafuko wakatimuliwa, Baba yake Kabendera akajaribu hapa, Mkapa akamnyoosha, huyu naye akamjaribu JPM akanyooshwa vizuri tu.Mpaka Sasa hivi ni dhairi kabisa huyo Kibendera sijui Kabendera ni aina ya waafrika ambao Wana mchango mkubwa sana kwenye machafuko yanayoendelea kwenye bara hili la Africa.
Siku zote adui hawezi akakudhuru pasipokupata support yoyote kutoka Kwa mwanafamilia Mmoja wapo anayetoka humo humo ndani kwako.
Machafuko na vikundi vya kigaidi tunavyoviona hapa Africa, waanzilishi au waliofanya vikastawi ni waafrika wenyewe hasa hawa waandish WA habari uchwara wanaojiita investigative journalists.
Ulienda kule Nigeria Kuna mtu Amed Salkida huyu ni mwandishi WA habari ambaye aliwahi kufanya kazi Ikulu enzi za raisi Olisegun Obasanjo, mwishoni mwa mwaka 2015 ilikuja kubainika kwamba anashirikiana bega Kwa bega na kundi la Boko Haram, ina maana mipangi yote ya serikali jamaa ndio alikuwa anaipenyeza enzi hizo Boko Haram inajiimarisha kule kwenye jimbo la Bono na kutengeneza himaya Yao.
So endapo kama Magufuli asingesimama kidete kipindi kile basi upo uwezekano mkubwa sana leo hii Kibiti isingekuwa na bandera ya Tanzania kabisa, na badala yake ingekuwa ni himaya ya magaidi ambayo yangeweza kutusumbua kizazi hadi kizazi, yaani Kwa ufupi na sisi tungekuwa na maboko Haram hapa nchini.
Wakati huo watu kama akina Kabendera ambao ndio chanzo Cha kustawi Kwa magaidi hayo familia zao hazipo nchini..
Kwa hiyo watu kama huyo Kibendera/Kabendera kishughulikiwa na serikali ya Magufuli ilikuwa ni Moja ya maamuzi Bora kabisa kufanyika wakati ule.
Sahihi kabisa, Hawa wanaomshabikia Kibendera/Kabendera leo hii, hawajui kwamba kazi anayoifanya ni sawa na Ile aliyoifanya Amed Salkida WA Nigeria...
Bila shaka wewe ni mnyonge mmojawapo mwendazake aliokua anajinasibu kuwapambania!!?Mimi kukwambia wewe akili zako nj ndogo kama punje ya mchele na kukuonesha kuwa hauna tofauti na vile vimama vya uswahilini Kwa hayo maneno uliyoandika hapa yenye vinasaba vya taarabu hapo haina mshabiano wowote ule na hulka yangu...
Wewe umebeza jitihada za Magufuli na Mimi nikakuuliza swali kwamba unafikiri alichokuwa anakifanya ni kazi rahisi? Badala ya kujibu kimantiki nilichokuuliza, badala yake unaniletea vijimaneno ambavyo havina kichwa Wala miguu.....!
Sasa Mimi na wewe ni nani mwenye mihemko hapa?
Akili huna kabisa wewe.
Nani kalishwa matango pori zaidi ya wajinga na wapumbavu kama wewe ambao mnaamini maandishi ya huyo Kabendera yasiokuwa na substantial evidence ya aina yoyote?Bila shaka wewe ni mnyonge mmojawapo mwendazake aliokua anajinasibu kuwapambania!!?
Hili povu lote ni la kutetea matangopori uliyolishwa?
Kuongoza watu sampuli yako ni rahisi sana.
Hv kwa akili yako tz inapinduliwa na mwandishi wa habariKabendera alikuwa anatumika na watu wa nje kumhujumu Magufuli alitaka kupindua utawala wa Magu.
Mwandishi wa habari unaandika artcles 4 kwa mwezi kwenye akaunt yako unalipwa million 300. Unachomoa pesa unazitawanya kwa wakosoaji wa serikali mitandaoni. Hiyo investigative journalism kilikuwa kichaka cha money laundering alikuwa anatumika kwa kazi maalum kazi chafu.
Money laundry alikili na akarudisha .Ndugu wanajamvi,
Tumesikia kuhusu kitabu kipya cha Erick Kabendera kinachoitwa "In the Name of the President: The Memoirs of a Jailed Journalist". Kabendera amefunguka kwa kina juu ya utawala wa Magufuli na madai ya udikteta. Hii inatufanya tujiulize maswali mengi kuhusu sababu halisi za kufungwa kwake.
Ni wazi kuwa Kabendera alikuwa mwandishi wa habari shupavu, lakini je, hatua za kumkamata na kumfungia zilikuwa za haki? Au zilikuwa juhudi za kumnyamazisha kwa sababu ya uandishi wake?
Kwa vile tunafahamu kwamba baadhi ya wanachama wetu hapa ni wafanyakazi wa idara za usalama, jeshi, na ulinzi, wafanyakazi wa ikulu na watumishi wa inner circle tunapenda kupata mitazamo yenu juu ya suala hili:
1. Je, ni nini hasa kilichosababisha Kabendera kuonekana tishio kwa utawala wa Magufuli?
2. Kuna ukweli wowote katika madai kuwa utawala huo ulitumia nguvu za dola kuzima uhuru wa vyombo vya habari?
3. Kwa maoni yenu, je, kufungwa kwa Kabendera kulikuwa na athari gani kwa tasnia ya uandishi wa habari na uhuru wa kujieleza nchini Tanzania?
4. Kwa nini utawala wa Magufuli ulikuwa na wasiwasi mkubwa juu ya waandishi wa habari huru kama Kabendera?
Tunaomba mjadala huu uwe wa kistaarabu, wa kina, na wa kuheshimu maoni tofauti. Ikiwezekana, tusaidiane kupata ukweli ili kuangazia mustakabali wa uhuru wa vyombo vya habari nchini mwetu. Jambo zuri ni kwmaba mzee hayupo tena kwa sababu kipindi cha utawala wake hadi hili jukwaa la siasa lilikuwa compromised. Niliwahi kupost threads zenye hoja na zilifutwa na maadmin bila sababu hali hii ikasababisha nilichukie sana hili jukwaa la siasa.
Karibuni kwa mjadala.
View attachment 3191541
Na watubwana matope akili mwandishi gani kwa complex system ya tanzania mkiwq mnaandika husisheni akiliYaani mwandishi apindue nchi!,je alikuwa anamiliki jeshi?,,pili je ndo achukuliwe hatua kali kiasi hicho?kwani sheria yasemaje kwa mtu kama huyu,si ni kufunguliwa tu mashtaka mahakamani?,,
Watu kama huyo Kabendera kuachwa waendelee kuwa hai ilikuwa ni mistake, hapo ndio Huwa namkubali PK Huwa anajua sana kudeal na watu WA aina hii ambao ni threat Kwa usalama WA taifa.... Ana bahati sana JPM hakuwa na uhodari WA kimafia kama Kagame, huyu asingekuwa hai kutuandikia huu ushuzi ambao hauna manufaa yoyote zaidi ya kupoza hasira zake na za wengine ambao Wana makovu kama yeye.Inaonekana Ukoo wao ni watu wa vurugu, watafuta pesa kwa style hii. Wazazi wake warijaribu uhuni wao huko kwao Rwanda, kusupport Ugaidi, kuanzisha machafuko wakatimuliwa, Baba yake Kabendera akajaribu hapa, Mkapa akamnyoosha, huyu naye akamjaribu JPM akanyooshwa vizuri tu.
Sasa ameamua alipize kisasi kwa kuandika uchafu wa aina zote unazoweza kumpa binadamu. Hii fiction, fantasy, horror movie yake imefeli itatapa audience, nafasi kwa wasio na uwezo wa kuchambua mambo wachache sana. Wengi wenye akili timamu wanajua it is work of fiction.
Dhamira yake ingefanikiwa hii nchi ingekuwa na machafuko kama nchi aliyoikimbia. Tulishukuru jeshi na uongozi wa wakati ule kusimama imara.
Makosa ya Kabendera ni Kama ya baba yake Kabendera Shinan alipobanwa na SERIKALI ya Mkapa akaamua kujiua Ziwa Victoria Mwaka 2000,
Alionekana kutumiwa na majirani na bbc kufifisha Juhudi za Mkapa !
Mzee Kabendera ni Mnyarwanda aliyeishi katoMa bukoba , hata msiba wake Rwanda Ulitikisa aliacha baadhi ya ndugu zake Erik huko Rwanda
View attachment 3193545View attachment 3193546View attachment 3193547View attachment 3193548
HALAFU WATANZANIA WALA HAWAKO BIZE NA KUSOMA MAJALIDA NA HIYO LUGHA ALIYO TUMIA NDIYO KABISAAA HAKUNA ATAKEYE SOMA NA HAKINA IMPACT YOYOTE KWA TANZANIA NI KAMA KIGAZETI CHA UDAKU TUKibendera kaandika kitabu Kwa ajili ya maslahi yake binafsi ya kufedha, pamoja na kujipa relief kutokana na uchungu alionao baada ya kuenyeshwa sana na serikali ya Magufuli uliompelekea kupoteza mzazi....!!
Na kafanya hivyo sababu Kuna wenzake wengi sana ambao bado wana uchungu kama yeye na wanahitaji relief ambapo wataipata kwa kumpa support ya kununua na kukisoma hicho kitabu.
Ila Kwa bahati mbaya kwao hakuna chochote kitakachabadili image na mitazamo waliyonayo watanzania kuhusu Magufuli.
Eti ameona aandike Kwa lugha ya kigeni kabisa hahahhaha..!!
Imagine alikuwa anaandika nakala za design hizo-hizo za uongo mtupu; kuichafua nchi.Watu kama huyo Kabendera kuachwa waendelee kuwa hai ilikuwa ni mistake, hapo ndio Huwa namkubali PK Huwa anajua sana kudeal na watu WA aina hii ambao ni threat Kwa usalama WA taifa.... Ana bahati sana JPM hakuwa na uhodari WA kimafia kama Kagame, huyu asingekuwa hai kutuandikia huu ushuzi ambao hauna manufaa yoyote zaidi ya kupoza hasira zake na za wengine ambao Wana makovu kama yeye.
Eti investigative journalist halafu unaishia kuichunguza serikali Kwa manufaa ya watu WA nje, si ni uhaini huo? Kwanini asingechunguza kuhusu makinikia na uporaji WA rasilimali zingine lukuki unaofanywa nchini kwetu ambao wananchi wengi hatuujui? Yaani unaichunguza serikali kisha unashirikiana na magaidi yanayotishia kuangusha utawala, halafu ukishughulikiwa, umeonewa... Mbaya Zaid Kuna wapumbavu wanamuunga mkono, inatia hasira sana