Uchaguzi 2020 Kwanini Rais Magufuli asichaguliwe tena

Uchaguzi 2020 Kwanini Rais Magufuli asichaguliwe tena

RaisMagufuli umejitahidi Sana kwenye ujenzi wa miundombinu, na kurejesha nidhamu kwenye utumishi wa umma na kiasi fulani kupunguza rushwa "ndogondogo". (Rushwa kubwa kubwa imeongezeka Sana).

Lakini mafanikio yake haya yanafutwa, yanavizwa na yanafichwa na silka yake ya dharau, kutojali utu na kutotaka kukosolewa. Na haya kwa ujumla wake ndiyo yamepelekea serikali na chama chake kufanya mambo ya hovyo kama ifuatavyo:-

(a) kutunga sheria kandamizi,
(b) kutekwa kwa watu hovyo,
(c) kuuawa kwa watu hovyo
(d) watu kupigwa risasi
(e) kuundwa kwa kikundi Cha watu wasiojulikana. Kwenye hili taarifa zilizopo ni kwamba ameiga mtindo wa serikali ya hayati Nkurunziza aliyekuwa na kikundi cha utekaji na mauaji kiitwacho "Mbonela kule".
(f) kuibuka kwa watu kama akina Musiba ambao wanatumia kodi zetu lkn kazi yao kubwa ni kutukana watu wa kila aina: - viongozi wastaafu, viongozi waliomo serikalini, viongozi wa upinzani, wafanyabiashar, n.k ili mradi tu wameonekana kutofautiana fikra na Magufuli. Who is Magufuli?? Ni Mungu? Hakuna atakayempa kura Magufuli.
(g) rais Magufuli ameanza kutugawa na kutubagua kwa misingi ya kisiasa
Na mengine mengi.

Watanzania hatukupigania Uhuru ili tuje tusimangiwe madaraja, au majengo ya zahanati yasiyo na vifaa tiba wala dawa. Tulipigania Uhuru ili tuwe na Uhuru wa kufanya mambo yetu kwa Uhuru.

Kwa mapungufu haya Rais Magufuli wallah nawaapia hachaguliki. Ana maadui ndani na nje ya chama chake.

Hapiti NG'O! Najua mtaji wake na mategemeo yake makubwa ni mwenyekiti wa tume kumtangaza kwa nguvu kama livyofanyika kwenye chaguzi ndogo za ubunge wa Kinondoni na maeneo mengine.
Jihadharini!!
Kwani umekatazwa kumchagua?
 
RaisMagufuli umejitahidi Sana kwenye ujenzi wa miundombinu, na kurejesha nidhamu kwenye utumishi wa umma na kiasi fulani kupunguza rushwa "ndogondogo". (Rushwa kubwa kubwa imeongezeka Sana).

Lakini mafanikio yake haya yanafutwa, yanavizwa na yanafichwa na silka yake ya dharau, kutojali utu na kutotaka kukosolewa. Na haya kwa ujumla wake ndiyo yamepelekea serikali na chama chake kufanya mambo ya hovyo kama ifuatavyo:-

(a) kutunga sheria kandamizi,
(b) kutekwa kwa watu hovyo,
(c) kuuawa kwa watu hovyo
(d) watu kupigwa risasi
(e) kuundwa kwa kikundi Cha watu wasiojulikana. Kwenye hili taarifa zilizopo ni kwamba ameiga mtindo wa serikali ya hayati Nkurunziza aliyekuwa na kikundi cha utekaji na mauaji kiitwacho "Mbonela kule".
(f) kuibuka kwa watu kama akina Musiba ambao wanatumia kodi zetu lkn kazi yao kubwa ni kutukana watu wa kila aina: - viongozi wastaafu, viongozi waliomo serikalini, viongozi wa upinzani, wafanyabiashar, n.k ili mradi tu wameonekana kutofautiana fikra na Magufuli. Who is Magufuli?? Ni Mungu? Hakuna atakayempa kura Magufuli.
(g) rais Magufuli ameanza kutugawa na kutubagua kwa misingi ya kisiasa
Na mengine mengi.

Watanzania hatukupigania Uhuru ili tuje tusimangiwe madaraja, au majengo ya zahanati yasiyo na vifaa tiba wala dawa. Tulipigania Uhuru ili tuwe na Uhuru wa kufanya mambo yetu kwa Uhuru.

Kwa mapungufu haya Rais Magufuli wallah nawaapia hachaguliki. Ana maadui ndani na nje ya chama chake.

Hapiti NG'O! Najua mtaji wake na mategemeo yake makubwa ni mwenyekiti wa tume kumtangaza kwa nguvu kama livyofanyika kwenye chaguzi ndogo za ubunge wa Kinondoni na maeneo mengine.
Jihadharini!!
Anapita huku unajiona!!!

Bado tunamuamini JPM
 
Anapita huku unajiona!!!

Bado tunamuamini JPM
We! We! We! Temea mate chini.

Hajapandisha mishahara ya watumishi tangu 2015. Nqni atamchagua?

Ndugu, jamaa na marafiki zetu wameuawa, wametekwa na wamepigwa risasi kwasabb tu ya kumkosoa. Nani atamchagua?

Bei za mazao yote zimeshuka tangu 2015. Nani atamchagua?

Biashara nyingi za watu zimekufa tangu 2015. Aliahidi matajiri wataishi kama mashetani. Nani atamchagua?
 
RaisMagufuli umejitahidi Sana kwenye ujenzi wa miundombinu, na kurejesha nidhamu kwenye utumishi wa umma na kiasi fulani kupunguza rushwa "ndogondogo". (Rushwa kubwa kubwa imeongezeka Sana).

Lakini mafanikio yake haya yanafutwa, yanavizwa na yanafichwa na silka yake ya dharau, kutojali utu na kutotaka kukosolewa. Na haya kwa ujumla wake ndiyo yamepelekea serikali na chama chake kufanya mambo ya hovyo kama ifuatavyo:-

(a) kutunga sheria kandamizi,
(b) kutekwa kwa watu hovyo,
(c) kuuawa kwa watu hovyo
(d) watu kupigwa risasi
(e) kuundwa kwa kikundi Cha watu wasiojulikana. Kwenye hili taarifa zilizopo ni kwamba ameiga mtindo wa serikali ya hayati Nkurunziza aliyekuwa na kikundi cha utekaji na mauaji kiitwacho "Mbonela kule".
(f) kuibuka kwa watu kama akina Musiba ambao wanatumia kodi zetu lkn kazi yao kubwa ni kutukana watu wa kila aina: - viongozi wastaafu, viongozi waliomo serikalini, viongozi wa upinzani, wafanyabiashar, n.k ili mradi tu wameonekana kutofautiana fikra na Magufuli. Who is Magufuli?? Ni Mungu? Hakuna atakayempa kura Magufuli.
(g) rais Magufuli ameanza kutugawa na kutubagua kwa misingi ya kisiasa
Na mengine mengi.

Watanzania hatukupigania Uhuru ili tuje tusimangiwe madaraja, au majengo ya zahanati yasiyo na vifaa tiba wala dawa. Tulipigania Uhuru ili tuwe na Uhuru wa kufanya mambo yetu kwa Uhuru.

Kwa mapungufu haya Rais Magufuli wallah nawaapia hachaguliki. Ana maadui ndani na nje ya chama chake.

Hapiti NG'O! Najua mtaji wake na mategemeo yake makubwa ni mwenyekiti wa tume kumtangaza kwa nguvu kama livyofanyika kwenye chaguzi ndogo za ubunge wa Kinondoni na maeneo mengine.
Jihadharini!!
Jipeni matumaini hewa mwishoni mtuambie mmeibiwa wakati Rais MAGUFULI kazi yake imeonekana. Msipoteze muda atashinda saa 12 asubuhi
 
Kwani alishinda 2015?Kile kizee kiliogopa kikamtangaza mashindi...EL alipata 62%
 
We! We! We! Temea mate chini.

Hajapandisha mishahara ya watumishi tangu 2015. Nqni atamchagua?

Ndugu, jamaa na marafiki zetu wameuawa, wametekwa na wamepigwa risasi kwasabb tu ya kumkosoa. Nani atamchagua?

Bei za mazao yote zimeshuka tangu 2015. Nani atamchagua?

Biashara nyingi za watu zimekufa tangu 2015. Aliahidi matajiri wataishi kama mashetani. Nani atamchagua?
Msitegemee kupewa Urais kwa kuonewa huruma za risasi alizopigwa Lissu,,,

Aliyoyafanya JPM yanaonekana kwa macho na yanagusa maisha halisi ya mtanzania,,, ndo Rais pekee mwenye vision ya kuifikisha Tanzania mahali panapotakiwa, ni Rais pekee anae ijali Tanzania kama Tanzania bila kujali mabeberu wanasemaje


Sio kuongeza mishahara tu ki dezodezo.. acha aijenge nchi kwanza mambo ya mishahara baadae mbona kama kula mnakula vzuri tu!!!

Hebu muacheni bwana afungue fursa na kwa vijana ambao wanahitaji sana miradi hii inayoanzishwa wapate kujipatia ajira humohumo!!!

Bado tunamuamini JPM
 
RaisMagufuli umejitahidi Sana kwenye ujenzi wa miundombinu, na kurejesha nidhamu kwenye utumishi wa umma na kiasi fulani kupunguza rushwa "ndogondogo". (Rushwa kubwa kubwa imeongezeka Sana).

Lakini mafanikio yake haya yanafutwa, yanavizwa na yanafichwa na silka yake ya dharau, kutojali utu na kutotaka kukosolewa. Na haya kwa ujumla wake ndiyo yamepelekea serikali na chama chake kufanya mambo ya hovyo kama ifuatavyo:-

(a) kutunga sheria kandamizi,
(b) kutekwa kwa watu hovyo,
(c) kuuawa kwa watu hovyo
(d) watu kupigwa risasi
(e) kuundwa kwa kikundi Cha watu wasiojulikana. Kwenye hili taarifa zilizopo ni kwamba ameiga mtindo wa serikali ya hayati Nkurunziza aliyekuwa na kikundi cha utekaji na mauaji kiitwacho "Mbonela kule".
(f) kuibuka kwa watu kama akina Musiba ambao wanatumia kodi zetu lkn kazi yao kubwa ni kutukana watu wa kila aina: - viongozi wastaafu, viongozi waliomo serikalini, viongozi wa upinzani, wafanyabiashar, n.k ili mradi tu wameonekana kutofautiana fikra na Magufuli. Who is Magufuli?? Ni Mungu? Hakuna atakayempa kura Magufuli.
(g) rais Magufuli ameanza kutugawa na kutubagua kwa misingi ya kisiasa
Na mengine mengi.

Watanzania hatukupigania Uhuru ili tuje tusimangiwe madaraja, au majengo ya zahanati yasiyo na vifaa tiba wala dawa. Tulipigania Uhuru ili tuwe na Uhuru wa kufanya mambo yetu kwa Uhuru.

Kwa mapungufu haya Rais Magufuli wallah nawaapia hachaguliki. Ana maadui ndani na nje ya chama chake.

Hapiti NG'O! Najua mtaji wake na mategemeo yake makubwa ni mwenyekiti wa tume kumtangaza kwa nguvu kama livyofanyika kwenye chaguzi ndogo za ubunge wa Kinondoni na maeneo mengine.
Jihadharini!!
Nani kakukataza kumchagua?
 
Huyu hata angeanza kutujengea nyumba bure watanzania wote hafai. Ana majivuno,dharau, kihuri na nimbaguzi asiyefaa kabisa.
Mkuu tafadhali naomba tusameheane kuna sehemu nime ku quote kimakosa kwenye bandiko lako hapo juu.
 
Kwa hapa jukwaani tundu lisu kashashinda lakini huku mtaani atakua mpenzi musindikizaji nawaambia mutaona, nyie mnashinda humu kupiga porojo wakati % kubwa ya watanzania hawapo mitandaoni kampeni zikiaanza rasimi jitokezeni kuongea na watu kwenye mikutano ya hadhara mpaka vijijini huko musije kusema mumeibiwa kura.
Unadhani watanzania wa leo ni wale wa juzi wa kuburuzwa buruzwa? Jiandaeni kisaikolojia maana baada ya October chuma cha pua mh Lissu ndiyo atakuwa next prezidaa
photo%20266%2012-18-0.jpg
 
Kwanza hili la kuwachukulia mama, dada, mabinti, wake zetu, na wanawake wote kwa ujumla kama ni vifaa vya kukidhi matamanio yasio kikomo ya kingono yaliyo kichwani mwake ni sababu tosha ya kumuweka pembeni cha pombe, now.
 
RaisMagufuli umejitahidi Sana kwenye ujenzi wa miundombinu, na kurejesha nidhamu kwenye utumishi wa umma na kiasi fulani kupunguza rushwa "ndogondogo". (Rushwa kubwa kubwa imeongezeka Sana).

Lakini mafanikio yake haya yanafutwa, yanavizwa na yanafichwa na silka yake ya dharau, kutojali utu na kutotaka kukosolewa. Na haya kwa ujumla wake ndiyo yamepelekea serikali na chama chake kufanya mambo ya hovyo kama ifuatavyo:-

(a) kutunga sheria kandamizi,
(b) kutekwa kwa watu hovyo,
(c) kuuawa kwa watu hovyo
(d) watu kupigwa risasi
(e) kuundwa kwa kikundi Cha watu wasiojulikana. Kwenye hili taarifa zilizopo ni kwamba ameiga mtindo wa serikali ya hayati Nkurunziza aliyekuwa na kikundi cha utekaji na mauaji kiitwacho "Mbonela kule".
(f) kuibuka kwa watu kama akina Musiba ambao wanatumia kodi zetu lkn kazi yao kubwa ni kutukana watu wa kila aina: - viongozi wastaafu, viongozi waliomo serikalini, viongozi wa upinzani, wafanyabiashar, n.k ili mradi tu wameonekana kutofautiana fikra na Magufuli. Who is Magufuli?? Ni Mungu? Hakuna atakayempa kura Magufuli.
(g) rais Magufuli ameanza kutugawa na kutubagua kwa misingi ya kisiasa
Na mengine mengi.

Watanzania hatukupigania Uhuru ili tuje tusimangiwe madaraja, au majengo ya zahanati yasiyo na vifaa tiba wala dawa. Tulipigania Uhuru ili tuwe na Uhuru wa kufanya mambo yetu kwa Uhuru.

Kwa mapungufu haya Rais Magufuli wallah nawaapia hachaguliki. Ana maadui ndani na nje ya chama chake.

Hapiti NG'O! Najua mtaji wake na mategemeo yake makubwa ni mwenyekiti wa tume kumtangaza kwa nguvu kama livyofanyika kwenye chaguzi ndogo za ubunge wa Kinondoni na maeneo mengine.
Jihadharini!!
Hatukumtuma akajijengee uwanja wa ndege kwao Ni mbinafsi hatufai
 
Hatukumtuma akajijengee uwanja wa ndege kwao Ni mbinafsi hatufai
Ulitaka ajenge kwenu???

Mbona termina 3 ipo dar na SGR ipo dar to moro,, mbona mradi wa umeme upo morogoro!! Hana ubinafsi wewe ndo mwenye ubinafsi

Bado tunamuamini JPM
 
RaisMagufuli umejitahidi Sana kwenye ujenzi wa miundombinu, na kurejesha nidhamu kwenye utumishi wa umma na kiasi fulani kupunguza rushwa "ndogondogo". (Rushwa kubwa kubwa imeongezeka Sana).

Lakini mafanikio yake haya yanafutwa, yanavizwa na yanafichwa na silka yake ya dharau, kutojali utu na kutotaka kukosolewa. Na haya kwa ujumla wake ndiyo yamepelekea serikali na chama chake kufanya mambo ya hovyo kama ifuatavyo:-

(a) kutunga sheria kandamizi,
(b) kutekwa kwa watu hovyo,
(c) kuuawa kwa watu hovyo
(d) watu kupigwa risasi
(e) kuundwa kwa kikundi Cha watu wasiojulikana. Kwenye hili taarifa zilizopo ni kwamba ameiga mtindo wa serikali ya hayati Nkurunziza aliyekuwa na kikundi cha utekaji na mauaji kiitwacho "Mbonela kule".
(f) kuibuka kwa watu kama akina Musiba ambao wanatumia kodi zetu lkn kazi yao kubwa ni kutukana watu wa kila aina: - viongozi wastaafu, viongozi waliomo serikalini, viongozi wa upinzani, wafanyabiashar, n.k ili mradi tu wameonekana kutofautiana fikra na Magufuli. Who is Magufuli?? Ni Mungu? Hakuna atakayempa kura Magufuli.
(g) rais Magufuli ameanza kutugawa na kutubagua kwa misingi ya kisiasa
Na mengine mengi.

Watanzania hatukupigania Uhuru ili tuje tusimangiwe madaraja, au majengo ya zahanati yasiyo na vifaa tiba wala dawa. Tulipigania Uhuru ili tuwe na Uhuru wa kufanya mambo yetu kwa Uhuru.

Kwa mapungufu haya Rais Magufuli wallah nawaapia hachaguliki. Ana maadui ndani na nje ya chama chake.

Hapiti NG'O! Najua mtaji wake na mategemeo yake makubwa ni mwenyekiti wa tume kumtangaza kwa nguvu kama livyofanyika kwenye chaguzi ndogo za ubunge wa Kinondoni na maeneo mengine.
Jihadharini!!
Pamoja na hayo yote Bado Magufuli ni Rais 2020-202......
 
Back
Top Bottom