Uchaguzi 2020 Kwanini Rais Magufuli asichaguliwe tena

Uchaguzi 2020 Kwanini Rais Magufuli asichaguliwe tena

Tusiangalie itikadi zetu, tujiunge kwa pamoja kumsaidia kamanda Lissu tumpe Nchi ipige spana . Tupate nchi yenye mifumo mizuri ya sheria hata ikitokea wewe unakua Rais utaweza kutuongoza bila shida .
Maneno mazuri yenye kujenga nchi na siyo kubomoa
 
Wan
Wananchi wanakula mlo mmoja kwa siku na maisha yamekuwa hayaende .mtu mmoja mmoja Hali sio kimaisha ,kifedga,kibiashara, na wauzahi wamekuwa wengi kuliko wanunuzi,ajira hakuna,watu wanaishi maisha ya yoga,mishahara hakuna nyongeza,mazao hayana Bei sokoni.ongezea....
Double standard kwenye maamuzi ya watawala, kuna watu wametumbuliwa kisa hawana vyeti, lkn kuna watu wameachwa kisa wanajua kufanya kazi lkn vyeti hawana!

Hili jambo ndiyo litaitoa ccm madarakani lipo mioyoni kwetu linatukereketa sana, ccm ndiyo mwisho wake mwaka huu.
 
Ndo hivyo magu atashinda kwa % kubwa...hapa jf tunatiana moyo tu....ngoja niendelee na kazi niingize pesa kwanza Mkuu
Jiandaeni kisaikolojia maana Lissu atawashangaza na itabidi mrudi makwenu mliko zoea maana kwa kuishi mijini hamtaweza tena
 
Ndo maana kila anaeingia ana shabaha yake ya kufanya ndani ya miaka mitano,,, Just vision ya kiongoz husika!!!

Waliopita hawakuwa na shabaha hizi za magufuli ndani ya uongozi wao

Bado tunamuamini JPM
Tuna imani kubwa sana na mh Lissu
photo%20266%2012-18-0.jpg
 
Jiandaeni kisaikolojia maana Lissu atawashangaza na itabidi mrudi makwenu mliko zoea maana kwa kuishi mijini hamtaweza tena
Umekariri Mkuu unafikiri wote ni wajinga.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mabaya mengi, mazuri machache mno. Inatosha
 
RaisMagufuli umejitahidi Sana kwenye ujenzi wa miundombinu, na kurejesha nidhamu kwenye utumishi wa umma na kiasi fulani kupunguza rushwa "ndogondogo". (Rushwa kubwa kubwa imeongezeka Sana).

Lakini mafanikio yake haya yanafutwa, yanavizwa na yanafichwa na silka yake ya dharau, kutojali utu na kutotaka kukosolewa. Na haya kwa ujumla wake ndiyo yamepelekea serikali na chama chake kufanya mambo ya hovyo kama ifuatavyo:-

(a) Kutunga sheria kandamizi,
(b) Kutekwa kwa watu hovyo,
(c) Kuuawa kwa watu hovyo
(d) Watu kupigwa risasi
(e) Kuundwa kwa kikundi Cha watu wasiojulikana. Kwenye hili taarifa zilizopo ni kwamba ameiga mtindo wa serikali ya hayati Nkurunziza aliyekuwa na kikundi cha utekaji na mauaji kiitwacho "Mbonela kule".
(f) Kuibuka kwa watu kama akina Musiba ambao wanatumia kodi zetu lkn kazi yao kubwa ni kutukana watu wa kila aina: - viongozi wastaafu, viongozi waliomo serikalini, viongozi wa upinzani, wafanyabiashar, n.k ili mradi tu wameonekana kutofautiana fikra na Magufuli. Who is Magufuli?? Ni Mungu? Hakuna atakayempa kura Magufuli.
(g) Rais Magufuli ameanza kutugawa na kutubagua kwa misingi ya kisiasa
Na mengine mengi.

Watanzania hatukupigania Uhuru ili tuje tusimangiwe madaraja, au majengo ya zahanati yasiyo na vifaa tiba wala dawa. Tulipigania Uhuru ili tuwe na Uhuru wa kufanya mambo yetu kwa Uhuru.

Kwa mapungufu haya Rais Magufuli wallah nawaapia hachaguliki. Ana maadui ndani na nje ya chama chake.

Hapiti NG'O! Najua mtaji wake na mategemeo yake makubwa ni mwenyekiti wa tume kumtangaza kwa nguvu kama livyofanyika kwenye chaguzi ndogo za ubunge wa Kinondoni na maeneo mengine.

Jihadharini!!
View attachment 1531753
Ilikuwaje yule kibaka aliyemchomolea bwana mdogo nape bastola hadharani hasichukuliwe hatua yoyote ?
 
Ulitaka ajenge kwenu???

Mbona termina 3 ipo dar na SGR ipo dar to moro,, mbona mradi wa umeme upo morogoro!! Hana ubinafsi wewe ndo mwenye ubinafsi

Bado tunamuamini JPM
Angejenga Geita mjini angeeleweka,muone aibu kutetea baadhi ya mambo, amejitakia haya.
 
Heri yako wewe mwenye kazi. Sisi wakulima koroaho zetu zilichukuliwa na huyu mgombea urais wa CCM 2017 mpk leo hatujalipwa.

Juzi katokaLupaso bila haya anatuahidi kutulipa. Hivi kwa mtindo huu sisiwakulima tutatoboa kweli? Korosho za 2017 tunalopwa 2020?
Ndiyo unataka tumchague tena huyu?
Mkirudia kosa hamtolipwa milele
 
Ndo maana kila anaeingia ana shabaha yake ya kufanya ndani ya miaka mitano,,, Just vision ya kiongoz husika!!!

Waliopita hawakuwa na shabaha hizi za magufuli ndani ya uongozi wao

Bado tunamuamini JPM
Huwezi walaza njaa wanao na kuwanyima haki zao kwa kigezo Cha kufanya maendeleo huku wanakuona unahonga,unalewa na kununulia wengine.
 
RaisMagufuli umejitahidi Sana kwenye ujenzi wa miundombinu, na kurejesha nidhamu kwenye utumishi wa umma na kiasi fulani kupunguza rushwa "ndogondogo". (Rushwa kubwa kubwa imeongezeka Sana).

Lakini mafanikio yake haya yanafutwa, yanavizwa na yanafichwa na silka yake ya dharau, kutojali utu na kutotaka kukosolewa. Na haya kwa ujumla wake ndiyo yamepelekea serikali na chama chake kufanya mambo ya hovyo kama ifuatavyo:-

(a) Kutunga sheria kandamizi,
(b) Kutekwa kwa watu hovyo,
(c) Kuuawa kwa watu hovyo
(d) Watu kupigwa risasi
(e) Kuundwa kwa kikundi Cha watu wasiojulikana. Kwenye hili taarifa zilizopo ni kwamba ameiga mtindo wa serikali ya hayati Nkurunziza aliyekuwa na kikundi cha utekaji na mauaji kiitwacho "Mbonela kule".
(f) Kuibuka kwa watu kama akina Musiba ambao wanatumia kodi zetu lkn kazi yao kubwa ni kutukana watu wa kila aina: - viongozi wastaafu, viongozi waliomo serikalini, viongozi wa upinzani, wafanyabiashar, n.k ili mradi tu wameonekana kutofautiana fikra na Magufuli. Who is Magufuli?? Ni Mungu? Hakuna atakayempa kura Magufuli.
(g) Rais Magufuli ameanza kutugawa na kutubagua kwa misingi ya kisiasa
Na mengine mengi.

Watanzania hatukupigania Uhuru ili tuje tusimangiwe madaraja, au majengo ya zahanati yasiyo na vifaa tiba wala dawa. Tulipigania Uhuru ili tuwe na Uhuru wa kufanya mambo yetu kwa Uhuru.

Kwa mapungufu haya Rais Magufuli wallah nawaapia hachaguliki. Ana maadui ndani na nje ya chama chake.

Hapiti NG'O! Najua mtaji wake na mategemeo yake makubwa ni mwenyekiti wa tume kumtangaza kwa nguvu kama livyofanyika kwenye chaguzi ndogo za ubunge wa Kinondoni na maeneo mengine.

Jihadharini!!
View attachment 1531753

Huyo jamaa picha anaetoa binduki ni fala sana
 
Me nachofurahi kifo kipo la sivyo wenye pesa wangetutesa sana

We fanya yote iba uwezavyo ila mwisho wako utafika tutakuzika au watakuzika....lets wait and see
 
Kwa hapa jukwaani tundu lisu kashashinda lakini huku mtaani atakua mpenzi musindikizaji nawaambia mutaona, nyie mnashinda humu kupiga porojo wakati % kubwa ya watanzania hawapo mitandaoni kampeni zikiaanza rasimi jitokezeni kuongea na watu kwenye mikutano ya hadhara mpaka vijijini huko musije kusema mumeibiwa kura.
walioko hapa ndo wako mtaani
 
Kinachoniuma nilimpa kura yangu, hii inanisumbua mpaka kesho, najuta sana! Na Hatapita namlaani moja kwa moja... Mtaona!
 
Back
Top Bottom