Kwanini Rais Magufuli hakutupa takwimu za uwekezaji wa Watanzania Kenya?

Kwanini Rais Magufuli hakutupa takwimu za uwekezaji wa Watanzania Kenya?

Cicero

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2016
Posts
2,924
Reaction score
3,074
Ni swali tu.
Makampuni ya Kitanzania ni mangapi yaliyowekeza Kenya? Na ni uwekezaji wenye thamani ya dola ngapi? Ajira ngapi zimeundwa kwa raia wa Kenya?
Haya mambo ya kutoa takwimu za upande mmoja tu yamepitwa na wakati.
Ujumbe umfikie Mheshimiwa Rais. Huu ushirikiano ni wa nchi mbili. Ukitaja upande mmoja taja na mwingine. Au sisi wabongo kazi tu ni kupokea wawekezaji tu? Ina maana uhusiano wetu na Kenya ni wa Investor-Recipient na siyo as equal partners?
Nawasilisha.
 
Rais Kenyatta ndio angetoa hizo takwimu maana yeye ndio anakusanya kodi kutoka katika hizo Kampuni za kitanzania huko Kenya
Ina maana TIC hawana hizo takwimu?
 
Hakuna kampuni ya Tanzania Kenya. Kama IPO nimeona icecream Mombasa pwani tu. Nazo wanasafirisha uku hamna kiwanda. data inafaa iwe mwanzo na ubalozi wa Tz Kenya kabla yoyote mwingine.
 
Hakuna kampuni ya Tanzania Kenya. Kama IPO nimeona icecream Mombasa pwani tu. Nazo wanasafirisha uku hamna kiwanda. data inafaa iwe mwanzo na ubalozi wa Tz Kenya kabla yoyote mwingine.
kama kenya si conducive kwa business je? Did u ask urself why the likes of METL and Bakhresa are all over Southern Africa and Eastern Africa but skip Kenya?
 
kama kenya si conducive kwa business je? Did u ask urself why the likes of METL and Bakhresa are all over Southern Africa and Eastern Africa but skip Kenya?

Bla..bla..bla...bla,...bla!
 
kama kenya si conducive kwa business je? Did u ask urself why the likes of METL and Bakhresa are all over Southern Africa and Eastern Africa but skip Kenya?
It's because whatever it is they wanna do in Kenya, a Kenyan is already doing it if not even better hence the competition in Kenya creates an uncondusive environment for them. It's the same reason as to why bakhresa group has no operations in South Africa, shop rite has no operations in Kenya, KCB has no operations in Egypt.
 
It's because whatever it is they wanna do in Kenya, a Kenyan is already doing it if not even better hence the competition in Kenya creates an uncondusive environment for them. It's the same reason as to why bakhresa group has no operations in South Africa, shop rite has no operations in Kenya, KCB has no operations in Egypt.

Hilo hawalijui nyumbu wa mwalimu hawa!
 
It's because whatever it is they wanna do in Kenya, a Kenyan is already doing it if not even better hence the competition in Kenya creates an uncondusive environment for them. It's the same reason as to why bakhresa group has no operations in South Africa, shop rite has no operations in Kenya, KCB has no operations in Egypt.
If that's the case Msingekuwa na njaa! FYI Bakhresa Group wapo Durban
 
Come on Geza Ulole and Usher-smith tukiweka siasa kando....aren't you even curious to know? Mi sijawai kusikia mtu akitaja hizo takwimu always watu wanageneralize by saying "Trade between the two countries stood at....." without going into the details au wanataja tu uwekezaji wa Kenya nchini Tanzania.
I've tried even googling statistics za Tanzanian investments in Kenya hakuna (na kama unazo please share)
 
It's because whatever it is they wanna do in Kenya, a Kenyan is already doing it if not even better hence the competition in Kenya creates an uncondusive environment for them. It's the same reason as to why bakhresa group has no operations in South Africa, shop rite has no operations in Kenya, KCB has no operations in Egypt.

We don't sale cheap goods like Kenya's do, binzari, maziwa, and curry powder. We sale industrial goods like metal, iron ore, pipes, poles for electric distribution, electricity, cereals, safari vans and soon gas and fertiliser.
 
Livale, Mbona Betacare owned by Shellys pharmaceutical na pia unataka kusema mmi steel largest in EA wanashindwa kuingia Kenya wakitaka? If i were u i would hav looked at proximity of Nrb from Arusha, Mombasa from Tanga n Kisumu from Mwanza n see no need to put a plant in Kenya if these three cities have production units. U need to be in Tanzanian business mentality to know they look at ur popln concentration in South Western as a factor to not invest in Kenya.
 
Livale, a reason we can do anything na ukaufyata as u don't have those many neighbors u can trade with unlike us!
 
Livale the other thing is those Kenyan companies in Tanzania r eyeing incentives to trade within SADC a thing Tanzania isn't interested in COMESA looking at her immediate neighbors being also in ever expanding EAC or SADC
 
And the poor state is the infrastructure within COMESA member states
 
Kuwekeza Kenya hakutaki uwoga uwoga, lazima ujitolee maana tupo aggressive na ukija ukiwa mvivu na mwoga hutoweza. Hilo nawaambia bila kupepesa macho au kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Mimi nimehusika kwenye biashara za Bongo na kwa uhakika kwenu huko huwa kama holiday vile, hamna ushindani kabisa. Mnaachiana tu ilmradi mambo yaende, akiingia nyang'au huko ndio huwa mnaamka.

Mkenya akiingia Bongo mara ya kwanza huwa anabaibaika sana, unakuta hakuna mtu anayeonekana kujali hadi mambo yanakwenda vibaya, deadline zinapita kwenye miradi ndio Wabongo wanaanza kukurupuka.
Kuna mradi mmoja ulichelewa hadi siku zikapita kabisa, yaani nilikua nawaambia Wabongo jameni kitu kama hiki Kenya, upitilize deadline hivi unaishia pabaya, unapigwa chini bila huruma. Wao wapo wapo tu mambo yanaenda.

Kuwekeza Kenya lazima uwe tayari na sio kuingia tu. Wapo Wachagga wengi ambao wanafanya yao, wakirudi huko nafikiri huwa wanawapa taarifa kamili. Wazaramo na hayo mambo yenu ya Uswahili hamwezani. Msubiri tu Wahindi, Wachina, Wasouth na Wakenya waje kuwekeza.
Wasouth kidogo huwa wanajitutumua na kuwekeza Kenya.
 
Ni swali tu.
Makampuni ya Kitanzania ni mangapi yaliyowekeza Kenya? Na ni uwekezaji wenye thamani ya dola ngapi? Ajira ngapi zimeundwa kwa raia wa Kenya?
Haya mambo ya kutoa takwimu za upande mmoja tu yamepitwa na wakati.
Ujumbe umfikie Mheshimiwa Rais. Huu ushirikiano ni wa nchi mbili. Ukitaja upande mmoja taja na mwingine. Au sisi wabongo kazi tu ni kupokea wawekezaji tu? Ina maana uhusiano wetu na Kenya ni wa Investor-Recipient na siyo as equal partners?
Nawasilisha.

Ni swali tu.
Makampuni ya Kitanzania ni mangapi yaliyowekeza Kenya? Na ni uwekezaji wenye thamani ya dola ngapi? Ajira ngapi zimeundwa kwa raia wa Kenya?
Haya mambo ya kutoa takwimu za upande mmoja tu yamepitwa na wakati.
Ujumbe umfikie Mheshimiwa Rais. Huu ushirikiano ni wa nchi mbili. Ukitaja upande mmoja taja na mwingine. Au sisi wabongo kazi tu ni kupokea wawekezaji tu? Ina maana uhusiano wetu na Kenya ni wa Investor-Recipient na siyo as equal partners?
Nawasilisha.
 
Niliskia kuna benki ipo jiani yaja, labda iwe kampuni ya kwanza ya Tanzania kuwekeza Kenya. Kama kuna ingine labda ya mabasi yakipitia Kenya kwenda kampala
 
Back
Top Bottom