Kwanini Rais Magufuli hakutupa takwimu za uwekezaji wa Watanzania Kenya?

Kwanini Rais Magufuli hakutupa takwimu za uwekezaji wa Watanzania Kenya?

yomboo, n yet mnakufa kwa kunywa illicit brews zilizochanganywa na formalin! How ironic is ur bragging?
 
Watu huwekeza palipo na faida.Sasa wakenya walivyowabaguzi si utavuna hasara tu! Ona Azam anavyofanya vizuri Uganda,Rwanda na Burundi.Pamoja na kwamba yupo Kenya wao wanaona bora ligi yao wauze kwa wasouth kuliko wa afrika mashariki wenzio.Kcb wapo Bongo hawabaguliwi wanafanya vizuri.Hiyo ndio Tofauti ya mbongo na Nyang'au.
 
kama kenya si conducive kwa business je? Did u ask urself why the likes of METL and Bakhresa are all over Southern Africa and Eastern Africa but skip Kenya?
Did you ask urself why
Google
Cocacola
IBM
microsoft
Nokia
Xinhua
CCTV
Motorola and about 400 other companies are in kenya and not TZ?
 
Watu huwekeza palipo na faida.Sasa wakenya walivyowabaguzi si utavuna hasara tu! Ona Azam anavyofanya vizuri Uganda,Rwanda na Burundi.Pamoja na kwamba yupo Kenya wao wanaona bora ligi yao wauze kwa wasouth kuliko wa afrika mashariki wenzio.Kcb wapo Bongo hawabaguliwi wanafanya vizuri.Hiyo ndio Tofauti ya mbongo na Nyang'au.[/waQUOTE]

Sasa biashara hamna cha undugu.ni ushindani sokoni. Wenzenu wanashindwa kupata wateja Kenya Kwa sababu ya ushindani mkali unalia ubaguzii.pathetic bongo ni kutoa vijisababu Toka usubui mpaka jioni!!!! wakilemewa
 
Did you ask urself why
Google
Cocacola
IBM
microsoft
Nokia
Xinhua
CCTV
Motorola and about 400 other companies are in kenya and not TZ?
Having those multinational companies in Kenya, has accelerate the decay of Kenya indigenous innovation. Most of those company bring in ready made technology which has been thought elsewhere, design elsewhere, sometimes even built elsewhere. Home grown innovation is the key for future development, multinational ni bedera fata upepo, take a note from brexit.
 
Mwanzi1 eti wanataka tusaini EPA..
Mimi nilisha semaga Kenya wanang'ang'ania EAC kwasababu wanjiona wata benefit zaidi ya wengine. Kwa tabia yao tunayo ijuwa, tukianza kutengeneza hela zaidi ya wao, watakimbika kuvunja EAC. Monetary union hawaja saini mpaka leo, karatasi zinajaa vumbi kwenye filing cabinet la bunge lao.
 
Did you ask urself why
Google
Cocacola
IBM
microsoft
Nokia
Xinhua
CCTV
Motorola and about 400 other companies are in kenya and not TZ?
It is because Kenyans are traitors,
Nyie ni mbwa wa wazungu and u can't stand anything in front of wazungu,
Ndio maana because of your misplaced ego mmemuuzia dstv ligi yenu mkambania Azam japo ligi yenu is the most pathetic in the region.(ligi ya Kenya ni haina mvuto kuliko ligi zote za ukanda wa Africa mashariki)
And I am sure Tz market welcomes Kenyan investments but the vise versa isn't true,
Hata KQ have been kindly intertained in JNIA but you ate a witness how long it took for FJ to get flights to JKIA, and U are very much aware vile mnafikiria kufitini ATCL hapo JKIA,
Kenyans are very selfish idiots I ha e ever seen
Kuna wakenya wengine humu wanajisifu kwa kuwekeza Tz, hamjui kuwa ni sisi watz tumewaruhusu na kuwatengenezea mazingira conducive,.
Poor you.
 
Did you ask urself why
Google
Cocacola
IBM
microsoft
Nokia
Xinhua
CCTV
Motorola and about 400 other companies are in kenya and not TZ?
well brother, some people here are blind to facts and reason. So when foreign multinationals rush to Kenya it's a sign of Kenyan weakness but when Kenyan multinationals rush to Tanzania it's a sign of Tanzanian strength SMH.

I think most people here, having worked their entire lives and run no serious business venture have a distorted notion of the mannerisms behind firm mobility. A company will open a branch/plant in another country because it anticipated a gap there or has a competitive advantage over local firms in existence there. Coca-Cola and the like are in Kenya because of the inexistence or weakness of local businesses. Safal group and the like are in Tanzania for the same reason. Sizable untapped market, competitive advantage over locals, those are the 2 main reasons with a conducive business environment just hastening them, and if you can't get that, I rest my case
 
so when Forbes says Bakhresa yearly turnover is over $800 mln, whats ur take?
Well the world of accounting operates on hard facts. The only person to make that claim should be Bakhresa or their auditors. And unless they back it up with financial statements, I wouldn't really believe them either.
 
Kisha tuelewe tofauti Kati ya opening a branch and setting up a regional hq. The former implies wanataka kucapture a slice of your market while the latter means wanataka kuset up a launch pad ya capturing very many markets outside the country or they already have captured these markets and now consider your country as the one with the most conducive business environment, efficient logistics and strategic location to administer all other branches in the region.

100s of Kenyan companies have branches in Tanzania while 100s of foreign multinationals have regional or African hqs in Kenya
 
Akili ni nyele, kila mtu anazake. When you can't own your story, don't complain if someone call you a slave of thought and destiny.
 
Livale SAFAL group n ALAF group r owned by Mauritius investors! Wacha upumbavu steel business is not ur thing
 
It is because Kenyans are traitors,
Nyie ni mbwa wa wazungu and u can't stand anything in front of wazungu,
Ndio maana because of your misplaced ego mmemuuzia dstv ligi yenu mkambania Azam japo ligi yenu is the most pathetic in the region.(ligi ya Kenya ni haina mvuto kuliko ligi zote za ukanda wa Africa mashariki)
And I am sure Tz market welcomes Kenyan investments but the vise versa isn't true,
Hata KQ have been kindly intertained in JNIA but you ate a witness how long it took for FJ to get flights to JKIA, and U are very much aware vile mnafikiria kufitini ATCL hapo JKIA,
Kenyans are very selfish idiots I ha e ever seen
Kuna wakenya wengine humu wanajisifu kwa kuwekeza Tz, hamjui kuwa ni sisi watz tumewaruhusu na kuwatengenezea mazingira conducive,.
Poor you.
Hongera sana mama, vigodoro vipi hapo kitaa??![emoji3]
 
Has someone noticed that the thread still hasn't been answered? Who are the Tanzanian investors in Kenya? Kazi kwenu
 
Livale SAFAL group n ALAF group r owned by Mauritius investors! Wacha upumbavu steel business is not ur thing
So says the same guy claiming mmi is the largest steel producer in East Africa.

And Wow, must you be informed on every single thing. The head of office of safal group has been in mombasa since 1962 to 2003, when it was moved to ebene, Mauritius. This was because of Mauritius' better infrastructure and business environment, even better than that of South Africa where safal has a factory. Its largest, flagship company and major share holder is Kenya's Mabati rolling mills which is also its first ever plant. It isn't listed in the Mauritius stocks exchange and isn't also listed in the list of largest Mauritian multi-nationals, but it is in the Kenyan list.
 
Akili ni nyele, kila mtu anazake. When you can't own your story, don't complain if someone call you a slave of thought and destiny.
Kakosa cha kunena wewe, à divergent rhetoric won't hide your scarcity of meaningful contribution if any
The story of "mine is mine and your is mine too".
The workings of this world are not like the A's and B's you learnt as a toddler, is it?
 
Kakosa cha kunena wewe, à divergent rhetoric won't hide your scarcity of meaningful contribution if any

The workings of this world are not like the A's and B's you learnt as a toddler, is it?
It's laughable when you hear someone like you who think they have brains to take them to mars and back. Hizi kampuni unalilia hapa, how much shares do you hold?
 
Back
Top Bottom