Kwanini Rais Museveni ameamua kujengea watanzania shule ya kisasa wakati kwake hali mbaya kuliko Tz?

mulwanaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
5,262
Reaction score
12,855
Hivi Maraisi wa Africa wana shauriwa kweli? Museveni Raisi wa uganda kafungua shule zuri ya kisasa Mkoani Geita wilaya ya Chato elio jengwa kwa gharama za serikali ya uganda kwa pesa ya walipa kodi ya waganda, wakati Tz aliko jenga hiyo shule ina afuenu katika miundombinu ya shule kuliko Uganda.

Nini lengo la Museveni kunyima waganda shule nzuri na kuja kuijenga Tz?
Museveni analenga nini kupata kutoka Tz?

Hizi ndo hari ya baathi ya shule za sarikali kule nchini uganda

 
Kwa Sisi tuliosoma na kuishi Uganda tumesikitika Kwa haya kwasababu shule zao ni Duni kweli kweli lakini huku kwetu wanajenga nzuri kweli kweli hii ni nini?!!..Huyu M7 bado anataka uraisi wa Africa Mashariki au kuna Jambo zaidi?
 
Museveni kwani unavyoona ni kiongozi mzuri? Anagoma kutoka madarakani na hakuna cha maana anafanya. Umaskini Uganda unazidi tu na wanaelekea kutawaliwa na waChina? Huu ni uamuzi mbaya kama maaumuzi mengine mengi mabaya yaliyofanywa na Museveni. Always jenga nyumbani kwenu, kabla ya kujenga ugenini.. tena nyumba ya zawadi ambayo haikufaidishi chochote.
 
Upeo wako ni mdogo sana kwenye tasnia ya diplomasia mkuu ! si kwamba Watanzania hatuna uwezo wa kuijenga shule kama hiyo la-hasha bali ni kujenga undugu na kumbukumbu baina ya haya mataifa mawili katika nyanja zote iwe kiuchumi,kisiasa na kijamii ! That's just a gesture that we need to enhance our regional cooperation
 
Unajifanya kujua diplomasia ila uelewa wako utakua duni sana, mahusiano ya Tz na Uganda sio ya kubembeleza kwa kujenga ka shule ka moja, hizi nchi ni jilani na wako vizuri sana kwa mda mrefu. Kwa akili za kawaida huwezi kulisha watoto wa jilani lishe nzuri wakati wako wana hali mbaya ya afya, na (utapilamulo) ni ujinga unafiki na ubinafsi. Mbona Rwanda Kenya Congo Sudani hawaja jenga mashule? unataka kuniambia hawajui diplomasia? Acha ujinga tumia akili yako kupambanua mambo mengine usikalilishwe Tz inejenga shule ngapi Uganda au Kenya?
 
Hiyo ni Mali ya Uganda...ni katika kuweka Alama..nasikia Iringa pia Kuna msitu wa Malkia wa Uingereza...sijui kama ni kweli
 
Biashara kazini...

Hangaya kashikwa shikio na kina vasco.
.
...... .....hamna kitu hapo!

Haiajengwa shule tu hapo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…