Kwanini Rais Museveni ameamua kujengea watanzania shule ya kisasa wakati kwake hali mbaya kuliko Tz?

Kwanini Rais Museveni ameamua kujengea watanzania shule ya kisasa wakati kwake hali mbaya kuliko Tz?

Mmh paka leo Cuba na urusi wanadai Tz kwajiri ya madeni ya vita ya Kagera, katika makosa makubwa mwl Nyerere alio fanya ni kuingiza Tz kwenye hiyo vita wakati kulikua na njia nyingi za kumaliza huo mzozo na Idi Amini, ila kwasbb alitaka kumsaidia pan Africanist rafiki yake Obote akaiingiza nchi katika matatizo makibwa,.....uchumi wa Uganda hauna uwezo wa kufidia Tz na pia hawakusain mkataba wa msada kwa malipo ya badaye.
Ongea tu Kama huna meno kinywani vile....kwahiyo nchi imevamiwa na mtu ambae Hana masikilizano na jirani yake na ametengeneza makundi yake ulitaka Rais anyamaze tu?
Usirudie siku nyingine kusema upuuzi huo, nyumbani kwako pamevamiwa mkeo na wanao wanakula kichapo hadi kifo unaenda kufanya mazungumzo? Uko serious kweli wewe?
 
Yah katupa donation hata kwenye tetemeko la kagera alikuwa wa kwanza kupeleka msaada 🤣🤣
Mu7 hajawah kuishiwa vituko huuu urafik haulewek juz Kat rafik yake kafariki hata Hakuja kumzika best wako urafik wake unamashaka
 
Ongea tu Kama huna meno kinywani vile....kwahiyo nchi imevamiwa na mtu ambae Hana masikilizano na jirani yake na ametengeneza makundi yake ulitaka Rais anyamaze tu?
Usirudie siku nyingine kusema upuuzi huo, nyumbani kwako pamevamiwa mkeo na wanao wanakula kichapo hadi kifo unaenda kufanya mazungumzo? Uko serious kweli wewe?
Una ushahidi wowote kwamba tulivamiwa au, Tz ndo elikua inafanya madalizi ya kuvamia Uganda kwa kuhifadhi wa haasi wa Iddi Amini wakina Obote na Museven, na kumshawishi Nyerere awasaidie kumuondawa Amini, husifuata propaganda kasome vitabu, utagundua makosa yetu yalikua wapi.
 
Mu7 hajawah kuishiwa vituko huuu urafik haulewek juz Kat rafik yake kafariki hata Hakuja kumzika best wako urafik wake unamashaka
Hahaha mzee alikuwa anaogopa kufa kwa corona. M7 anapenda kuishi maana uraisi kwake burudani na hataki kufa kabla hajala pesa ya mafuta awe kama masheikh wa UAE
 
Kwani hayo magari wana nunulia nchi nyingine hao ni ya tz hapa hapa, hayo mambo mawili tofauti
At mama amesema na sisi tutawajengea wa UG skull moja Kama ishara ya upendo

Maana hata M7 na yy ametuomba tujenge soul pale UG
 
Hivi Maraisi wa Africa wana shauriwa kweli? Museveni Raisi wa uganda kafungua shule zuri ya kisasa Mkoani Geita wilaya ya Chato elio jengwa kwa gharama za serikali ya uganda kwa pesa ya walipa kodi ya waganda, wakati Tz aliko jenga hiyo shule ina afuenu katika miundombinu ya shule kuliko Uganda.

Nini lengo la Museveni kunyima waganda shule nzuri na kuja kuijenga Tz?
Museveni analenga nini kupata kutoka Tz?

Hizi ndo hari ya baathi ya shule za sarikali kule nchini uganda

Viongozi wa Africa wanachekesha sana
 
Upeo wako ni mdogo sana kwenye tasnia ya diplomasia mkuu ! si kwamba Watanzania hatuna uwezo wa kuijenga shule kama hiyo la-hasha bali ni kujenga undugu na kumbukumbu baina ya haya mataifa mawili katika nyanja zote iwe kiuchumi,kisiasa na kijamii ! That's just a gesture that we need to enhance our regional cooperation
Sisi na uchumi wetu wa kati, kuna mahali tumejenga au kufanya chochote katika nchi ya wengine? Kama ni kweli kinachosemwa kuhusu shule za Uganda, Museveni hajafanya poa kujengea shule Tanzania.
 
Sidhani kama shule hiyo imejengwa na Raisi Museven,bali ni pesa za Tanzania na kupewa jina la Museven
Kama nakuelewa vile. Usikute baada ya kelele dhidi ya Mwendazake kuwa kila kitu Chato ndo akaamua kujenga shule hiyo kwa kutumia jina la Museveni. INAWEZEKANA.
 
Hivi Maraisi wa Africa wana shauriwa kweli? Museveni Raisi wa uganda kafungua shule zuri ya kisasa Mkoani Geita wilaya ya Chato elio jengwa kwa gharama za serikali ya uganda kwa pesa ya walipa kodi ya waganda, wakati Tz aliko jenga hiyo shule ina afuenu katika miundombinu ya shule kuliko Uganda.

Nini lengo la Museveni kunyima waganda shule nzuri na kuja kuijenga Tz?
Museveni analenga nini kupata kutoka Tz?

Hizi ndo hari ya baathi ya shule za sarikali kule nchini uganda

Anataka atuuzie sukari mkuu
 
Inabidi umsaidie jirani yako ukiwa na ziada, siyo kwako watoto wanalala njaa unasaidia ili uonekane unajali wakati njaa kali
Mkuu hata USA inatoa misaada in millions of $$ lakini bado ina watu homeless.
 
Inabidi umsaidie jirani yako ukiwa na ziada, siyo kwako watoto wanalala njaa unasaidia ili uonekane unajali wakati njaa kali
Sio kweli ! Nimeamua kugawana na jirani yangu kibaba cha unga nilicho nacho, nusu kwa nusu wanawe pia wasilale na njaa.
 
Back
Top Bottom