Kweli kabisa hiyo kitu imeegemea kwenye diplomasia.Na diplomasia ni mchongo Sana kwa national intereste than one person interesteUpeo wako ni mdogo sana kwenye tasnia ya diplomasia mkuu ! si kwamba Watanzania hatuna uwezo wa kuijenga shule kama hiyo la-hasha bali ni kujenga undugu na kumbukumbu baina ya haya mataifa mawili katika nyanja zote iwe kiuchumi,kisiasa na kijamii ! That's just a gesture that we need to enhance our regional cooperation
Kitendo hiki ni chema au kibaya?Kuongoza binadamu ni kazi sana, ukitenda mema watahoji ukitenda mabaya watahoji.
Aliye nacho uzidishiwa ila asiyenacho hata kile kidogo alicho nacho uchukuliwaHivi Maraisi wa Africa wana shauriwa kweli? Museveni Raisi wa uganda kafungua shule zuri ya kisasa Mkoani Geita wilaya ya Chato elio jengwa kwa gharama za serikali ya uganda kwa pesa ya walipa kodi ya waganda, wakati Tz aliko jenga hiyo shule ina afuenu katika miundombinu ya shule kuliko Uganda.
Nini lengo la Museveni kunyima waganda shule nzuri na kuja kuijenga Tz?
Museveni analenga nini kupata kutoka Tz?
Hizi ndo hari ya baathi ya shule za sarikali kule nchini uganda
Kabishane na vichaa wenzako.Lete wivu wako wa akili. Usipouleta na wewe utakuwa una wivu huo huo wa kipumbavu. Na wewe utakuwa unatoka Chato.
Kabishane na vichaa wenzako.Lete wivu wako wa akili. Usipouleta na wewe utakuwa una wivu huo huo wa kipumbavu. Na wewe utakuwa unatoka Chato.
Sijamlaumu Samia, nimelaumu mfumo uliomchagua mtu kama Samia, a lightweight schlepper, asiye na distinguished track record yeyote, tukamfanya Vice President, na hatimaye Rais. Tunavuna tulichopanda.Husiwe mkali kwa Mama she is a woman president kwamba kutokana na upole wake ndo maana akachaguliwa kua makamu wa Raisi, hamna Raisi anaependa makamu wake amzidi mtu wakulaumu ni mfumo wa chama Tawala sio Raisi wa sasa she is just a victim of circumstance.