Kwanini rais Samia amerudi nyuma kwenye masuala ya maridhiano? Neno maridhiano sasa limekuwa na ukakasi mkubwa

Kwanini rais Samia amerudi nyuma kwenye masuala ya maridhiano? Neno maridhiano sasa limekuwa na ukakasi mkubwa

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Rais Samia aliporithi kiti cha urais watu wengi walijawa na matumini kuwa sasa demokrasia na uhuru wa kujieleza vingeongezeka na kusitawi.

Hivi karibuni matumaini hayo yamefifia na watu hawaoni tofauti kati ya awamu ya tano na ya sita katika masuala ya kidemokrasia.

Maridhiano ilikuwa ni moja ya slogan za rais Samia na ilimpandisha kisiasa lakini sasa inaonekana dosari kubwa imeingia na inaleta ukakasi hata kulitamka neno maridhiano hadharani.

Serikali imekosa uvumilivu kwa mawazo kinzani na tayari matumizi makubwa ya nguvu dhidi ya wapinzani yameichafua nchi ndani na nje.
 
Rais Samia aliporithi kiti cha urais watu wengi walijawa na matumini kuwa sasa demokrasia na uhuru wa kujieleza vingeongezeka na kusitawi.

Hivi karibuni matumaini hayo yamefifia na watu hawaoni tofauti kati ya awamu ya tano na ya sita katika masuala ya kidemokrasia.

Maridhiano ilikuwa ni moja ya slogan za rais Samia na ilimpandisha kisiasa lakini sasa inaonekana dosari kubwa imeingia na inaleta ukakasi hata kulitamka neno maridhiano hadharani.

Serikali imekosa uvumilivu kwa mawazo kinzani na tayari matumizi makubwa ya nguvu dhidi ya wapinzani yameichafua nchi ndani na nje ya nchi.
Tangu mwanzo ....kama kweli alikuwa nia thabiti basi hapo kati washauri wamemtisha sana .....sasa amebadilika sana sababu ana uchu madaraka....wamemtisha kuwa atakwenda na maji hana mizizi Tanganyika.....sasa anatumia nguvu kutawala.....4R wapi wrweee......hakuna kitu labda NGO sio Tanganyika
 
Shida yake kubwa ni kukubali kufanya kazi na wahuni waliojaa ubinafsi na uchu wa madaraka.
 
Rais Samia aliporithi kiti cha urais watu wengi walijawa na matumini kuwa sasa demokrasia na uhuru wa kujieleza vingeongezeka na kusitawi.

Hivi karibuni matumaini hayo yamefifia na watu hawaoni tofauti kati ya awamu ya tano na ya sita katika masuala ya kidemokrasia.

Maridhiano ilikuwa ni moja ya slogan za rais Samia na ilimpandisha kisiasa lakini sasa inaonekana dosari kubwa imeingia na inaleta ukakasi hata kulitamka neno maridhiano hadharani.

Serikali imekosa uvumilivu kwa mawazo kinzani na tayari matumizi makubwa ya nguvu dhidi ya wapinzani yameichafua nchi ndani na nje.
Wapinzani ndiyo walijawa na matumaini, wakazani sasa wanaweza chukua kiti cha urais kwa urahisi kutoka kwa mwanamke kisa tu alianza kutekeleza maagizo ya CDM, na CDM walivyokua wajinga wakaanza na dharau na kejeli kwa Amiri Jeshi Mkuu, sasa tulieni mnyolewe barabara!!
 
Wapinzani ndiyo walijawa na matumaini, wakazani sasa wanaweza chukua kiti cha urais kwa urahisi kutoka kwa mwanamke kisa tu alianza kutekeleza maagizo ya CDM, na CDM walivyokua wajinga wakaanza na dharau na kejeli kwa Amiri Jeshi Mkuu, sasa tulieni mnyolewe barabara!!
Yeyote anayeshabikia CCM lazima ni mjinga tu.
 
Wapinzani ndiyo walijawa na matumaini, wakazani sasa wanaweza chukua kiti cha urais kwa urahisi kutoka kwa mwanamke kisa tu alianza kutekeleza maagizo ya CDM, na CDM walivyokua wajinga 4wakaanza na dharau na kejeli kwa Amiri Jeshi Mkuu, sasa tulieni mnyolewe barabara!!
Sio kweli, ukiangalia zile 4R zilikuwa ni utapeli ili atawale bila pressure. Lakini kadiri muda unavyosogelea uchaguzi haoni kuungwa mkono, na hii kuuza na kukabidhi raslimali za nchi ndio alikoposhania na wapinzani, kwani walianza kutumia lugha kali dhidi yake, na yeye alitaka wake kimya kwakuwa aliwapa uhuru bandia.

Baada ya kuona wapinzani wamekuwa mwiba kwake, akaona aanze kutumia njia alizotumia mtangulizi wake akiamini atawanyamazisha. Matokeo yake imekuwa kuiga tembo kunya. Mqgufuli alikuwa na roho mbaya ya asili, huyu anaiga kitu asichoweza, ngoja akutane na uhalisia.
 
Back
Top Bottom