Kwanini Rais Samia anataka kusifiwa zaidi kuliko kukosolewa?

Kwanini Rais Samia anataka kusifiwa zaidi kuliko kukosolewa?

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Mama Samia amekuwa akisifiwa na kupambwa kila mahali hapa nchini.

Watu wanaomsifia mama, hawatekwi, hawapotezwi, wanapata nafasi za uoendeleo na teuzi kedekede.

Lakini kwa wakosoaji hali ni tofauti, wakitekwa na kupotezwa hamna anayejali.

Sativa alikutwa na Jambo, akamtaja @mafwelele kuhusika, lakini hamna kilichofanyika na hali inazidi kuwa mbaya zaidi.

Kina Soka wana miezi zaidinya siita sasa hamna anayejali Usalama wao wala uhai wao.

Watanzania tuna haki ya kuishi salama, kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, ukawe mwezi wa huruma na sio mwezi wa hujuma.

Kukosolewa na kusifiwa ndio ubinadamu wenyewe.
 
Hakuna binadamu anayependa kukosolewa hakuna ,kama yupo mtaje ,ni unafiki tu .

Ushu ya kupenda sifa ni kitu kikubwa ana maana tumecopy kutoka kwa Mungu ,Mungu anapenda sifa sana na akatuumba kwa mfano wake

USSR
 
Hakuna binadamu anayependa kukosolewa hakuna ,kama yupo mtaje ,ni unafiki tu .

Ushu ya kupenda sifa ni kitu kikubwa ana maana tumecopy kutoka kwa Mungu ,Mungu anapenda sifa sana na akatuumba kwa mfano wake

USSR
Labda binadam wa nchi zenye weatu weusi. Wenzetu wako free and open, na ukionyesha kutokupenda kukosolewa unaonekana wa ajabu
 
Mama Samia amekuwa akisifiwa na kupambwa kila mahali hapa nchini.

Watu wanaomsifia mama, hawatekwi, hawapotezwi, wanapata nafasi za uoendeleo na teuzi kedekede.

Lakini kwa wakosoaji hali ni tofauti, wakitekwa na kupotezwa hamna anayejali.

Sativa alikutwa na Jambo, akamtaja @mafwelele kuhusika, lakini hamna kilichofanyika na hali inazidi kuwa mbaya zaidi.

Kina Soka wana miezi zaidinya siita sasa hamna anayejali Usalama wao wala uhai wao.

Watanzania tuna haki ya kuishi salama, kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, ukawe mwezi wa huruma na sio mwezi wa hujuma.

Kukosolewa na kusifiwa ndio ubinadamu wenyewe.
Hizo ni tabia za viongozi wa Jinsia hiyo!
Wapo pia, RC Dodoma, waziri wa Ulinzi, Mkurugenzi Moshi manispaa, Manyara,na wengine wengi!
 
Mama Samia amekuwa akisifiwa na kupambwa kila mahali hapa nchini.

Watu wanaomsifia mama, hawatekwi, hawapotezwi, wanapata nafasi za uoendeleo na teuzi kedekede.

Lakini kwa wakosoaji hali ni tofauti, wakitekwa na kupotezwa hamna anayejali.

Sativa alikutwa na Jambo, akamtaja @mafwelele kuhusika, lakini hamna kilichofanyika na hali inazidi kuwa mbaya zaidi.

Kina Soka wana miezi zaidinya siita sasa hamna anayejali Usalama wao wala uhai wao.

Watanzania tuna haki ya kuishi salama, kwenye mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, ukawe mwezi wa huruma na sio mwezi wa hujuma.

Kukosolewa na kusifiwa ndio ubinadamu wenyewe.
Ukiona kiongozi siyo mzalendo wala hapendi wazalendo ila
anapenda kusifiwa sana maana yake huyo kiongozi yupo katika Daraja ya juu kabisa ya upumbavu ...na hata sababisha hasara kubwa sana kwa taifa au kitu nanacho kiongoza....
 
Huyo Mkwere usione anacheka Cheka ni mkatili sana huyo !! Mikono yake imetapakaa damu ikiwemo ya mwandishi wa Habari Mwangosi aliyeamuru mapolisi wamuue Kule Iringa.
hapa kwa Mwangosi unampaka tope tu, uchawa wa askari ndio ulipelekea kifo cha mwandishi

kama ilivyo sasa hivi, kuna watendaji machawa wanafanya mambo ya kijinga kumfurahisha raisi
 
Back
Top Bottom